Ukiachilia hayo uliyoyasema, kubwa kabisa ni kwa sababu zifuatazo;
1. Ni raia wa nchi nyingine ya Zanzibar. Tanganyika hatuwezi tena kuongozwa na raia wa nchi ya kigeni, mkoloni!
2. Ni mwanamke. Hii nchi haiwezi kuongozwa na mwanamke abadani. Ni kosa kubwa lilitendeka huyu mama kupewa na nafasi hii. Sasa inatosha. Aondoke na kupotea kabisa!
3. Ni m - CCM. Hawa tayari walisha expire. Hawahitajiki tena. Wasitulazimishe kuwataka. CCM haihitajiki teba
NOTE:
All in all, mpaka Sasa hakuna mtu mwingine katika macho na ufahamu wangu ambaye ni "The Chosen one" kuwa kiongozi mkuu wa Taifa hili toka nje ya CCM isipokuwa TUNDU ANTIPASY MUGWAY LISSU pekee.
Ni lazima mjue kuwa, Mungu alikuwa na kusudi maalumu la kuutunza na kuuhifadhi uhai wa huyu binadamu licha ya kuwa kwa hali ya kawaida zile risasi zile 37 zilikuwa ni lazima afe, lakini Mungu akasema HAPANA, nakuhitaji kwa ajili ya kusudi langu ktk nchi yako ya Tanganyika
Watawala wa CCM hii hawapendi na wasingependa kuona huyu mtu anakuwa kiongozi mkuu wa Taifa hili kwa sababu wanaogopa kulipia madhambi na makosa yao waliyotenda kwa miaka mingi dhidi ya taifa hili na watu wake.
Na Tundu Lissu ni lazima atachukua hatua tu za kisheria dhidi ya uhalifu wa viongozi Hawa na ndiyo maana Mungu ameamua ampe yeye nchi hii.
Bwana
Robert Heriel Mtibeli najua huna sababu ya maana juu ya mtu huyu kuwa Rais wa nchi hii. Lakini itakuwa hivyo na waambie wenzako kuwa, ".....
for ever action, there's equal and opposite reaction..."
Katika lugha rahisi ni kuwa, hakuna tendo baya au zuri ambalo limefanywa au linafanywa au litafanywa na mwanadamu na lisipate hukumu yake
Kila mtu mtu atapata ujira wa matendo yake. Hii ni kanuni ya asili. Hakuna pa kukimbilia wala pa kujificha!!