Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna kupepesa macho, hatumtaki Samia SuluhuHassan atuongoze tena.
Nchi imekuwa sio yetu wote, ameshindwa kutu win sisi wananchi.
Shida uchaguzi hii nchi sii wa haki , tungemtoa asubuhi na mapema.
Mimi binafsi sina itikadi ki chama nilimpenda Magufuli .
 
Nina heshima Mkuu.
Rais ni mtu mzima, ni kama mama yangu.
Kuanza kumchambua uzuri wa maumbile yake ni utovu wa nidhamu.

Ni sawa useme nimchambue mama yangu.


Angekuwa rika langu atleast ningefikiria

..Ni Raisi, mwanasiasa, sio Mama yako.

..kama unamuweka ktk daraja moja na Mama mzazi basi hoja yako nzima imemvunjia heshima.

..msimfiche Mama kwenye jinsia yake.
 
Kwenye suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Samia yupo 75% wakati Magufuli 20%

Magufuli shida yake ilikuwa ni moja tuu. Ambayo ni kubwa, nayo ni kuminya haki za kujieleza hasa kwa wapinzani wake.

Huko kwingine alikuwa vizuri
Magufuli hakuhitaji kujieleza kazi zake zinajieleza, hakuna kitu ambacho kilikuwa kinatuumiza kichwa,kwanza ilikuwa kila ikifika saa mbili tunakimbilia kuangalia taarifa ya habari kujua nini ni nini?
Ilikuwa raha tupu,mwananchi anahisi nchi yake ni yake kweli,uzalendo ulikuwepo, mwananchi wa mtwara anafurahia daraja la kigogo busisi huko bila kujali atalitumia ama lah!.
Sasa hivi viongozi wanatuona manyani? Wanatupeleka peleka as if sisi wajinga.
 
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
nchi hii hakuna kura síso nakazi kama ya Urais hata kama CCM ikipitishe jiwe lazima litapita. Ukipiga kura chagua tu mbunge na wengineo Urais ni wao tu.
 
1. NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

2. Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

3. Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

4. Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.
Mkuu Mtibeli, naomba kukiri mimi ni miongoni mwa watu wanaokukubali sana kwa jinsi unavyojua kujenga hoja.

1. Ni kweli Tanzania, has never had any serious opposition to check out CCM!. Tungekuwa na upinzani makini na upinzani imara, siku nyingi CCM ingekuwa imeishapumzishwa!, ugumu ninao uona mimi upinzani uliopo unacheza makida makida tuu, kwa 2025 it's too little too late, kwa projections zangu, the possibility ni uchaguzi wa 2030, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! kama CCM itabweteka!.

2. Hata atokee nani, uchaguzi wa Tanzania ni watu wanachagua watu na vyama, kuna maeneo ni strong holds za CCM, hata CCM ikisimamisha jiwe, jiwe linapita!, hivyo mgombea wa CCM kwa Tanzania ni undefeated!. Hivyo tunapowaambia CCM itatawala milele, mtuelewe.https://www.jamiiforums.com/threads/kupata-maendeleo-ya-kweli-watanzania-ni-lazima-tujifunze-kuukubali-ukweli-hili-la-ccm-kutawala-milele-ni-kweli.1457535/

3. Kwenye urais Tanzania tunachagua vyama a sio watu. Hivyo mgombea urais wa CCM sio lazima awe ni msemaji bingwa, Mwinyi hakuwa msemaji mzuri, Amani Karume hakuwa msemaji mzuri, Mkapa hakuwa msemaji mzuri, hivyo Samia atawekewa a good team ya wasemaji wa kumsemea. Kwa the Political landscape ya siasa zetu Tanzania, mgombea wa CCM ndie rais wa Tanzania, hata aje nani!

4. Wewe endelea kusubiria kwa hamu, chini ya mnazi, ukisubiri dodo bivu, lianguke!.
Mimi nasubiria kujua kama sauti HII ni sauti ya ukweli!.
P
 
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
Kama si mpiganaji. Nakushauri
Usirudie kuigusa taasisi ya Urais.

Hap tayari una kesi ya kusema uongo.

Kifungo cha miaka 3 au faidi ya sh mil 5.
 
Makonda kwako ndiyo anafaa kuwa rais ?

Hivi hii nchi mnaichukuliaje ?
Hana bayaa mkuu,Sema anapapala sana.....basi tu.Ujue watu smart kichwanii hawapendi siasa ndo matokeo yake average mind zinongoza smart people
 
Mkuu Mtibeli, naomba kukiri mimi ni miongoni mwa watu wanaokukubali sana kwa jinsi unavyojua kujenga hoja.

1. Ni kweli Tanzania, has never had any serious opposition to check out CCM!. Tungekuwa na upinzani makini na upinzani imara, siku nyingi CCM ingekuwa imeishapumzishwa!, ugumu ninao uona mimi upinzani uliopo unacheza makida makida tuu, kwa 2025 it's too little too late, kwa projections zangu, the possibility ni uchaguzi wa 2030, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! kama CCM itabweteka!.

2. Hata atokee nani, uchaguzi wa Tanzania ni watu wanachagua watu na vyama, kuna maeneo ni strong holds za CCM, hata CCM ikisimamisha jiwe, jiwe linapita!, hivyo mgombea wa CCM kwa Tanzania ni undefeated!. Hivyo tunapowaambia CCM itatawala milele, mtuelewe.https://www.jamiiforums.com/threads/kupata-maendeleo-ya-kweli-watanzania-ni-lazima-tujifunze-kuukubali-ukweli-hili-la-ccm-kutawala-milele-ni-kweli.1457535/

3. Kwenye urais Tanzania tunachagua vyama a sio watu. Hivyo mgombea urais wa CCM sio lazima awe ni msemaji bingwa, Mwinyi hakuwa msemaji mzuri, Amani Karume hakuwa msemaji mzuri, Mkapa hakuwa msemaji mzuri, hivyo Samia atawekewa a good team ya wasemaji wa kumsemea. Kwa the Political landscape ya siasa zetu Tanzania, mgombea wa CCM ndie rais wa Tanzania, hata aje nani!

4. Wewe endelea kusubiria kwa hamu, chini ya mnazi, ukisubiri dodo bivu, lianguke!.
Mimi nasubiria kujua kama sauti hii ni ya ukweli
P

Hoja ya nne nimecheka sana.

Nimekuelewa vizuri sana.

Upinzani haupo kwa sababu wengi wa watanzania ni CCM iwe kwa kuzaliwa au kuathiriwa na mazingira ya mila nd desturi za kitanzania (Kiccm)
 
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
Wewe ni miongoni mwa watanzania walio wengi waliozoea kudanganywa. Mama atachaguliwa kwa sababu ya matendo yake na sio porojo hizo unazotaka wewe. Wapiga kura wa Tanzania wameshaamka na hawataki janjajanja. CCM hata ikimsimamisha Lucas Mwashambwa au manzi yake ephen_ lazima ishinde kabla misa ya kwanza haijaisha. Huu upinzani ulio bize kuchangisha maskini pesa za kumnunulia Lissu V8 VXR hauwezi kushinda uchaguzi wowote unaohusisha CCM.

Mimi ninawashauri wapinzani waweke wagombea makini kwenye ubunge ili tuwe na bunge lililochangamka tofauti na sasa hivi kuna wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA kumi na tisa (19) na wa kuchaguliwa mmoja.
 
Mkuu Mtibeli, naomba kukiri mimi ni miongoni mwa watu wanaokukubali sana kwa jinsi unavyojua kujenga hoja.

1. Ni kweli Tanzania, has never had any serious opposition to check out CCM!. Tungekuwa na upinzani makini na upinzani imara, siku nyingi CCM ingekuwa imeishapumzishwa!, ugumu ninao uona mimi upinzani uliopo unacheza makida makida tuu, kwa 2025 it's too little too late, kwa projections zangu, the possibility ni uchaguzi wa 2030, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! kama CCM itabweteka!.

2. Hata atokee nani, uchaguzi wa Tanzania ni watu wanachagua watu na vyama, kuna maeneo ni strong holds za CCM, hata CCM ikisimamisha jiwe, jiwe linapita!, hivyo mgombea wa CCM kwa Tanzania ni undefeated!. Hivyo tunapowaambia CCM itatawala milele, mtuelewe.https://www.jamiiforums.com/threads/kupata-maendeleo-ya-kweli-watanzania-ni-lazima-tujifunze-kuukubali-ukweli-hili-la-ccm-kutawala-milele-ni-kweli.1457535/

3. Kwenye urais Tanzania tunachagua vyama a sio watu. Hivyo mgombea urais wa CCM sio lazima awe ni msemaji bingwa, Mwinyi hakuwa msemaji mzuri, Amani Karume hakuwa msemaji mzuri, Mkapa hakuwa msemaji mzuri, hivyo Samia atawekewa a good team ya wasemaji wa kumsemea. Kwa the Political landscape ya siasa zetu Tanzania, mgombea wa CCM ndie rais wa Tanzania, hata aje nani!

4. Wewe endelea kusubiria kwa hamu, chini ya mnazi, ukisubiri dodo bivu, lianguke!.
Mimi nasubiria kujua kama sauti hii ni ya ukweli
P

Hoja ya nne nimecheka sana.

Nimekuelewa vizuri sana.

Upinzani haupo kwa sababu wengi wa watanzania ni CCM iwe kwa kuzaliwa au kuathiriwa na mazingira ya mila nd desturi za kitanzania (Kiccm)
 
Wewe ni miongoni mwa watanzania walio wengi waliozoea kudanganywa. Mama atachaguliwa kwa sababu ya matendo yake na sio porojo hizo unazotaka wewe. Wapiga kura wa Tanzania wameshaamka na hawataki janjajanja. CCM hata ikimsimamisha Lucas Mwashambwa au manzi yake ephen_ lazima ishinde kabla misa ya kwanza haijaisha. Huu upinzani ulio bize kuchangisha maskini pesa za kumnunulia Lissu V8 VXR hauwezi kushinda uchaguzi wowote unaohusisha CCM.

Mimi ninawashauri wapinzani waweke wagombea makini kwenye ubunge ili tuwe na bunge lililochangamka tofauti na sasa hivi kuna wabunge wa viti maalum kupitia CHADEMA kumi na tisa (19) na wa kuchaguliwa mmoja.

Unasema porojo.
Muulize Biden kilichomkuta kwenye mdahalo dhidi ya Trump

Au Magufuli Vs Lowasa
Lowasa kwenye Ringi alishapigwa TKo na jpm.

Siasa inahitaji uwe mzuri wa kujieleza, kufafanua na kuwafanya Watu wakuelewe na kukuamini.
 
Hoja ya nne nimecheka sana.

Nimekuelewa vizuri sana.

Upinzani haupo kwa sababu wengi wa watanzania ni CCM iwe kwa kuzaliwa au kuathiriwa na mazingira ya mila nd desturi za kitanzania (Kiccm)


Je Economic analysis to compare with her successor JPM hapo SSH anakula asilimia ngapi

Economic issue
Security
Ajira

Huduma za jamii generally

Mkuu dadavua hapo ili tuone Kama tumepiga hatua yoyote under SSH?
 
Je Economic analysis to compare with her successor JPM hapo SSH anakula asilimia ngapi

Economic issue
Security
Ajira

Huduma za jamii generally

Mkuu dadavua hapo ili tuone Kama tumepiga hatua yoyote under SSH?

Uchumi Samia anaongoza,
Usalama halikadhalika.
Ajira anaongoza pia.

Magufuli anamzidi Samia maeneo yafuatayo
1. Maendeleo ya miundombinu.
2. Usimamizi wa mali za umma.
3. Ukali
4. Uwezo mzuri wa kujieleza iwe kwa uongo au kwa ukweli.
Hili alilimudu sana.

Mapungufu yake makubwa ni kuchukulia mambo serious sana na kutumia mabavu hata kwa mambo ambayo hakutakiwa kufanya hivyo.
Kuongea na kujibishana na Watu hata kwa mambo ambayo angeweza kukaa kimya.

Kiufupi alipenda ligi
 
Unasema porojo.
Muulize Biden kilichomkuta kwenye mdahalo dhidi ya Trump

Au Magufuli Vs Lowasa
Lowasa kwenye Ringi alishapigwa TKo na jpm.

Siasa inahitaji uwe mzuri wa kujieleza, kufafanua na kuwafanya Watu wakuelewe na kukuamini.
Sasa unadhani Mama Samia alifika hizo ngazi za juu kimiujiza? Hadi mtu awe waziri ina maana lazima awe mbunge kwa mujibu wa katiba. Unajua shughuli ya mwanamke kuupata ubunge wa kuchaguliwa hasa huko visiwani? Ungetafuta kwanza wasifu wa Mama Samia kabla ya kuandika. Umeandika kwa hisia zako tu.
 
Back
Top Bottom