Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.

Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kailishampeni.

Acha nipumzike sasa
Ccm ilishawahi shinda uchaguzi lini
 
Penda wasipende! Kataa goma susa Rais wa JMT ni Tundu Antiphas Lissu. Hata arembue mimacho na kuyatuma majini ya kizmkz hakuna namna!
Mkuu natamani sana Hizi Sala Mwenyezi Mungu azisikilize atuokoe sisi wana wake
 
Ila kupunguza zereuuu za CCM inabidi kweli apite mpinzani 2025,Heshima itarudi hata wakija kuchukua nchi.Angalizo,Mbowe hatumtaki,Lisu atulie tunajua nimtu smart lakini Energy ya kazi kubwa kama Urais hataweza.Wamchukue Makonda au Mpina au yeyote hakika nchi wanabeba.
Unamdanganya Nan? Chadema wameshavuka hatua huyo. Na Makonda anapenda sifa hafai uraisi
 
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.

Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
Kwanza Samia lazima ashinde hata Wapinzani wangemuweka nani? Au wewe kwako Hadi Sasa unahisi mtu sahihi wa kumshinda Samia ni nani huko Upinzani? Tuanze na wewe utampogia kura huyo mtu wa Upinzani?

Pili WataTanzania(Waafrika) Huwa hawachagui viongozi Kwa Kufuata au kulinganisha ufanisi au nini amefanya,wao Huwa Wana sababu zao za kipuuzi na uzushi Kwa vile jamii kubwa Haina Elimu na inawezamkuwa manipulated kirahisi.

Tatu hakuna system (the state) inaweza kukubali kumpoteza Rais wa aina ya Samia in favour ya wajinga,haipo sio tuu Tanzania Bali Duniani kote.DRC ni mfano mzuri.

Mwisho ni kweli Samia sio Muongeaji lakini Je wewe unahisi uongeaji ndio jambo Nchi inataka au uwezo wa kiungozi na kuleta matokeo? Mambo ya kuongea vizuri,kujaza watu matumaini hewa huzingatiwa na wajinga au watu wenye akili ndogo.
 
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.

Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
Uko sahihi
 
Kwanza Samia lazima ashinde hata Wapinzani wangemuweka nani? Au wewe kwako Hadi Sasa unahisi mtu sahihi wa kumshinda Samia ni nani huko Upinzani? Tuanze na wewe utampogia kura huyo mtu wa Upinzani?

Watibeli tutatoa tamko kuwa tutakuwa upande wa Samia au Laa.

Pili WataTanzania(Waafrika) Huwa hawachagui viongozi Kwa Kufuata au kulinganisha ufanisi au nini amefanya,wao Huwa Wana sababu zao za kipuuzi na uzushi Kwa vile jamii kubwa Haina Elimu na inawezamkuwa manipulated kirahisi.
Watanzania wanachagua kiongozi kwa ushabiki wa uchama. Hata kama kiongozi hana sifa lakini kwa vile ni chama chake atamchagua. Wengi wapo hivyo
Tatu hakuna system (the state) inaweza kukubali kumpoteza Rais wa aina ya Samia in favour ya wajinga,haipo sio tuu Tanzania Bali Duniani kote.DRC ni mfano mzuri.
.😄
Samia anamazuri yake na mabaya yake.
Ila ninampongeza katika suala la utulivu na kuwa mvunilivu kwa wapinzani wake. Ingawaje sio uvumilivu wa 100% lakini unaridhisha
Mwisho ni kweli Samia sio Muongeaji lakini Je wewe unahisi uongeaji ndio jambo Nchi inataka au uwezo wa kiungozi na kuleta matokeo? Mambo ya kuongea vizuri,kujaza watu matumaini hewa huzingatiwa na wajinga au watu wenye akili ndogo.

Kwenye siasa uongeaji ni sehemu ya siasa. Tunazungumzia nguvu ya kushawishi watu.
Sio lazima uwajaze watu matumain hewa ndipo uwashasishi.
Unaweza kuwaambia ukweli na ukawashawishi
 
Watibeli tutatoa tamko kuwa tutakuwa upande wa Samia au Laa.


Watanzania wanachagua kiongozi kwa ushabiki wa uchama. Hata kama kiongozi hana sifa lakini kwa vile ni chama chake atamchagua. Wengi wapo hivyo

.😄
Samia anamazuri yake na mabaya yake.
Ila ninampongeza katika suala la utulivu na kuwa mvunilivu kwa wapinzani wake. Ingawaje sio uvumilivu wa 100% lakini unaridhisha


Kwenye siasa uongeaji ni sehemu ya siasa. Tunazungumzia nguvu ya kushawishi watu.
Sio lazima uwajaze watu matumain hewa ndipo uwashasishi.
Unaweza kuwaambia ukweli na ukawashawishi
Sio lazima aongee yeye wataobgea wengine Kwa niaba yake,na chama ni muhimu Kwa watu kuliko mtu.

By the way malkia lazima alindwe at any cost.

Mtu kama Mimi siwezi chaguo Wapinzani Kwa sababu sijaona sera Wala hawana mshikamano wa Chama lakini mbaya zaidi nimeona sarakasi zao kwenye uchaguzi wa ndani wanashutumiana Kwa Rushwa na kukosa Demokrasia mambo ambayo eti wanailalamikia ccm,mpaka hapo kule Kuna Watoto wa madaraka na sio kama wanavyowadanganya watu majukwaani.
 
Sio lazima aongee yeye wataobgea wengine Kwa niaba yake,na chama ni muhimu Kwa watu kuliko mtu.

By the way malkia lazima alindwe at any cost.

Mtu kama Mimi siwezi chaguo Wapinzani Kwa sababu sijaona sera Wala hawana mshikamano wa Chama lakini mbaya zaidi nimeona sarakasi zao kwenye uchaguzi wa ndani wanashutumiana Kwa Rushwa na kukosa Demokrasia mambo ambayo eti wanailalamikia ccm,mpaka hapo kule Kuna Watoto wa madaraka na sio kama wanavyowadanganya watu majukwaani.

Sema huwezi chagua kitu ambacho hakipo.
Hakuna upinzani kwenye nchi yetu

Kwenye upinzani wapo Mamluki wengi wa CCM. Hao wanaorudi CCM sio kwamba waliwahi kuwa upinzani.
 
Mkuu una haki ya kutoa maoni yako. Kwa upande wangu na utafiti mdogo usiokuwa rasmi niliofanya nimegundua Tundu Lissu hakubaliki kama anavyokubalika William Lukuvi.

Lakini kila mtu yuko huru kutoa maoni yake.

Sababu za Watanzania kumkataa Lissu ni pamoja na mafungamano aliyonayo na wazungu ambao wanaunga mkono sera za mashoga.
Yes..................

Kwa kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni, basi hayo yabaki kuwa yako. I respect that

Lakini kuna kweli fulani ktk maisha ambazo ni very unique and unchangeable

Mfano akitokea mtu kupinga kuwa jua halichomezei mashariki na kuzamia magharibi, huyo atakuwa mtu wa ajabu sana hata kama atadai kuwa hayo ni maoni yake.!

However, naheshimu mawazo yako, na ibaki hivyo
 
Anashinda mapema sana. Hao upinzani wabongo wachumia tumbo tu. Wapo ili wapewe hela, hawana utofauti na bongo movie waliopelekwa Korea. Hadi leo hawana agenda ya maana zaidi kudandia matukio. CCM kwenye uchaguz ni wamoja, ila hao majungu tu na kuzungukana
 
Back
Top Bottom