Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tanzania tuna uhaba wa viongozi imara.

Tulionao wengi ni waigizaji tu.

Ukiachana na hao wazee wa maigizo.

Sisi pia wananchi tuna matatizo makubwa maana hatupendi kufanya kazi tunapenda short cut.

Ndio maana hao mitume na manabii kujaza watu wanaotafuta miujiza ni kawaida sana.
 
Mkuu natamani sana Hizi Sala Mwenyezi Mungu azisikilize atuokoe sisi wana wake
Haki ni haki na mpango wa Mungu hauzuiliwi! Waliojaribu kuuzuia aliwaua! Mifano ni mingi eg. JPM 2021 March
 
Onyo!! Tundu Lissu ni mpango wa Mungu! Ayakayejaribu kumzuia atayapata ya March 2021 JPM
 
Chawa wamebandika picha za Mama kwenye mabango nchi nzima utafikiri Mama wa watu kapotea anatafutwa!!
 
Nina uhakika Chura Kiziwi akipata hata kura ml 1 za uhalali, nahama nchi
 
Sema CHADEMA wanajifanya kupinga ila 2020 JPM alishinda kabisa licha ya mapungufu ya hapa na pale!
 
Jana bimkubwa ananiambia amechoka kuona watu wa CCM wanakuja nyumbani kumuambia habari za kadi na kuwa mwanachama, amesema wakija tena hawafungulii mlango
 
CCM waanze mbinu za kuiba kura mapema,
1. Kutafuta mchapishaji wa makaratasi ya kura kwa dili
2. Kuhakikisha nusu ya kura zimeshapigwa tayari kabla ya siku yenyewe.
3. Kuimarisha ulimzi mkali vituoni, ukipiga kura memda nyumbani kwako jifungie usubiri matokeo.
4. Kukata mitamdao yote siku 7 kabla ya uchaguzi.
5 Kuviweka vikosi vyetu vya ulinzi na usalama mguu sawa.
 
Kwani Magu alishinda?
 
Wanawake hawafai kuwa viongozi kutokana na kuonewa huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…