Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Uliwaona Wamasai?

Yale yalikuwa maandamano ya CHADEMA kudai mambo fulanifulani. Waô ndîo walikuwa wanajua Kwa nini wanaandamana, Samia, sijui Jeshi la Polisi na Wengine kuwaingiza Hapo NI visingizio.

Kwanza hao ilishajulikana nawawasapoti na siô lazima wawasapoti. Hivyo ninyi ndîo mlitakiwa mjue chakufanya

Polisi na Samia siô CHADEMA

Wamasai wana imani Moja inayoeleweka.

Vivyo hivyo HAMAS, Hezbollah au wa Houthi.

Watu wanakuwa tayari kufia Imani zao.
 
Tatizo ni kuwa na association isiyojua inaamini au inasimia nini:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

Matokeo yake ni kubakia kulaumu wengine Hadi Simba na yanga huko.

Hilo ndîo tatizo
Bado CHADEMA haijajenga kitu inaitwa ITIFADI Kwa wanachama wake.

Simba na Yanga hizô NI timu z Mpira Huwezi kuzilaumu na kulaumu washabiki wake Wakati haohao washabiki unatakiwa kuwashawishi ili wajiunge na Chama Chako.

Angalia Chama cha Hammas n Hezbollah, Dunia nzima Iko opposite na waô lakini Mwaka WA 30 huu Dunia inashindwa kufuta vyama hivyo zaidi ya kuishia kuita vyama vya kigaidi
 
Mtiberi wetu mwandamizi, kwanza hongera kwa kupata tuzo humu JF kwa kazi yako nzuri.

Mkuu kuhusu hili hutendi haki kusema hivyo, wapinzani wale waliandaa maandamano ya amani. Viongozi wao wote walikamatwa mapema asubuhi, wafuasi wao wangefanyaje kwa tishio lile la askari kote Dar.

Ni ajabu watu kuitisha maandamano ya amani wakati huo polisi wanatishia amani ya maandamano hayo!!!

Labda Mtiberi mwenzangu ungesema wapinzani wakaze kuendelea kuandamana ili polisi watande mitaani tulale, maana usiku ule hakukatiza kibaka hata mmoja.

Kwa kweli hakuna haja ya kuwa na sungusungu sijui ulinzi shirikishi mitaani kama wapinzani wakiwa na utaratibu wa kukomaa kuandama namna ile kila usiku!!!

Kumbe polisi wapo wa kutosha na wanaweza kutuliza Jiji hili!! Tunahitaji kuanza kudai haki ya kulindwa. Kazi ya polisi kuwinda wapinzani kama digi digi porini sio kazi yao!!!

Watulinde kila usiku!!!
 
Tatizo lao wanarukiarukia ajenda, hata haileweki unaandamana kwa sababu ipi hasa.

Hivyohivyo wanachadema wangetakiwa kuonyesha umoja waô. Wanajambo Lao.

Sasa waô wanasema wanachama wa Wengine kama Simba na Yanga kushawishi Watu
Au Wafuasi wa Mwamposa.

CHADEMA hili waliangalie
 
Wewe ukiangalia unaona ilikuwa Sawa?

Watu zaidi ya Milioni Sita washindwe kujitokeza hata Watu elfu Kumi. Unaona NI kawaida?
GYfLuiLXUAAXFMw.jpeg
 
Nilikua nakuchukulia poa ila kwa post yako hii nimekubali utaikon wako. We jamaa ni bonge la mwandishi na usije kujichukulia poa fasihi yako.
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Nikubali uwasilishaji wako wa hoja
 
Mtiberi wetu mwandamizi, hutendi haki kusema hivyo, wapinzani wale waliandaa maandamano ya amani.

Mkûu Hapa naongea ukweli wa kilichotokea.
Kama yalikuwa ya Amani wangejitokeza tuu ili hao Polisi na serikali ya Samia iwafanye hicho itakachowafanya lakini walimuacha Mbowe na viongozi kadhaa.

Mbona Wamasai wameandamana Nonstop Kwa Amani tenà Wengine wakaumizwa na kujeruhiwa lakini walibaki na Msimamo. mpaka wametoboa

Mkuu viongozi wao wote walikamatwa mapema asubuhi, wafuasi wao wangefanyaje kwa tishio lile la askari kote Dar.

Ni ajabu watu kuitisha maandamano ya amani wakati huo polisi wanatishia amani ya maandamano!!!

Labda Mtiberi mwenzangu ungesema wapinzani wakaze kuendelea kuandamana ili polisi watande mitaani tulale.

Kwa hîyo Kila CHADEMA wakisema wanaandamana kudai Haki Fulani alafu Polisi na serikali ikisema itatandaza Askari kîla Kona hawataandamana tenà?
Basi Hapo Kazi Ipo.

Kwa kweli hakuna haja ya kuwa na sungusungu mitaani kama wapinzani wakiwa na utaratibu wa kukomaa kuandama namna ile kila siku!!!

Hakuna haja ya waô Kutoa matamko ya maandamano huku wakijua wakutosha kidôgo hawataandamana.
Inawashushia ushawishi katika medani za Kisiasa.
 
Watu kuchagua AMANI sio wajinga.
Ccm wajifunze kuls na kipofu.wasidhani watu kila siku watabaki hivi hivi.
Ipo siku kitakuja kuchafuka alafu hawataamini.mnatakiwa mshukuru upole huu wa wananchi maana kama wangetii basi mjue hali ingekuwa mbaya.
 
Vyovyote walivyokuwa wamepanga lakini lazima wangetakiwa Kulinda heshima ya Mwenyekiti Mbowe na heshima ya Chama

Embu Fikiria maandamano ya Chama kikubwa chenye Watu Milioni Sita ati waliojitokeza hawafiki elfu Moja, waliokamatwa hafiki hata Mia. Huo siô utani?
Kwani Freeman Mbowe hakufanikiwa kuongea na waandishi wa Habari na kufikisha Ujumbe?

Usiwe na thinking ya kizamani bwashee 😂😂😂😂

Siasa ni sayansi
 
Back
Top Bottom