Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Chadema is compromised. Kama Hizbullah chama cha kijeshi kina power kinaweza kua compromised isije kua Chadema. Chadema is naked and irrelevant na kila mtu mpaka Viongozi wa Chadema wanajua ila wanasubiri their bubble ipasuke kila mtu atafute njia yake kama CUF.

Aiseeh!
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Kwa wingi ule wa Askari barabarani ilikuwa ngumu wananchi kujitokeza kwani ingekuwa kusababisha umwagaji wa damu usio wa lazima.
 
Kiukweli aibu aliyoipata Mbowe siku ya maandamano ni kubwa sana.
Siku mbili labla ya maandamano Kwenye Space ya Maria Sarungi kule mtandao wa X watu walikua wanaongea na kuweka viapo kuwa wako tayari kufa ila lazima wajitokeze kuandamana zaidi ya watu 1,800 walikua kwenye hiyo meeting ya space

Nafikiri ile hali ilimpa sana moyo Mbowe kuwa kwenye Space tu wapo watu 1000+ wanaomuunga mkono na wako tayari kuandamana alafu siku ya maandamano huoni hata mmoja akijitokeza
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Nikweli kabisaaa 100%, swali rahisi... Polisi wa nini?!!
 
Kwani Freeman Mbowe hakufanikiwa kuongea na waandishi wa Habari na kufikisha Ujumbe?

Usiwe na thinking ya kizamani bwashee 😂😂😂😂

Siasa ni sayansi

😃😃

Kwani lengo lilikuwa kuongea na Vyombo vya Habari au kufanya maandamano?

Kwani serikali ilimzuia CHADEMA na Mwenyekiti Kutumia Vyombo vya Habari?

Kama lengo NI ujûmbe ufike, mbona kila Siku tunasoma na kusikia CHADEMA kwèñye Online TV?
 
Kiukweli aibu aliyoipata Mbowe siku ya maandamano ni kubwa sana.
Siku mbili labla ya maandamano Kwenye Space ya Maria Sarungi kule mtandao wa X watu walikua wanaongea na kuweka viapo kuwa wako tayari kufa ila lazima wajitokeze kuandamana zaidi ya watu 1,800 walikua kwenye hiyo meeting ya space

Nafikiri ile hali ilimpa sana moyo Mbowe kuwa kwenye Space tu wapo watu 1000+ wanaomuunga mkono na wako tayari kuandamana alafu siku ya maandamano huoni hata mmoja akijitokeza

Hiyo ni AIBU kûbwa NI vile Watu hawataki kusema UKWELI.

Wangejitokeza walau elfu Kumi tuu Kwa heshima ya Mwenyekiti Mbowe na Chama kuliko walivyokitia aibu chama
 
ndugu kumbuka lengo ilikuwa ni kupaza sauti kupinga mauaji na utekaji wa watu unaoendelea nchini. sasa ulitaka watu wakapambane na jeshi kubwa lililokuwa limejihami kwa silaha nzito namna ile? chadema walhandaa maandamano askari wakajiandaa kwa vita. je wewe unapenda damu imwagike? hapakuwa na haja ya kufanya yote hayo. alichofanya mbowe ni sahihi na ni ushujaa.. alijitokeza akakamatwa badala ya waandamanaji akashikiliwa kisha akaachiwa. kwa kawaida ni kwamba serikali imezuia maandamo kwa mabunduk nk lakiin je mioyo ya watu imerizika?
 
Kwa wingi ule wa Askari barabarani ilikuwa ngumu wananchi kujitokeza kwani ingekuwa kusababisha umwagaji wa damu usio wa lazima.

Polisi siô wajinga.

Unafikiri wangepiga piga tuu bila kutoa Ilani?
Ninakuhakikishia kama wangejitokeza wangefanya hayo maandamano ya Amani na Polisi wasingefanya kitu.

Nakuuliza, unafikiri Kule Ngorongoro hakukatazwa kuandamana?
 
Hiyo ni AIBU kûbwa NI vile Watu hawataki kusema UKWELI.

Wangejitokeza walau elfu Kumi tuu Kwa heshima ya Mwenyekiti Mbowe na Chama kuliko walivyokitia aibu chama
Nafikiri Mbowe baada ya kuona ile negative turnout ya maandamano ikiwa haina mtu hata mmoja itakua alikata tamaa huenda kwa nafsi yake hata yeye alitaka asijitokeze ila akaona itakua ni aibu mara mbili akachagua aibu moja ya kujitokeza peke yake
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Aisee
 
ndugu kumbuka lengo ilikuwa ni kupaza sauti kupinga mauaji na utekaji wa watu unaoendelea nchini. sasa ulitaka watu wakapambane na jeshi kubwa lililokuwa limejihami kwa silaha nzito namna ile? chadema walhandaa maandamano askari wakajiandaa kwa vita. je wewe unapenda damu imwagike? hapakuwa na haja ya kufanya yote hayo. alichofanya mbowe ni sahihi na ni ushujaa.. alijitokeza akakamatwa badala ya waandamanaji akashikiliwa kisha akaachiwa. kwa kawaida ni kwamba serikali imezuia maandamo kwa mabunduk nk lakiin je mioyo ya watu imerizika?

Kwa hîyo unaona NI Sahihi Mwenyekiti Mbowe kutangaza maandamano alafu Siku ya tukio awe pekeake? Unaona kabisa NI Sahihi?
 
Tuko tunawaunga mkono cdm
Lakini wanahitani kufanya uchaguzi
Kupata mwenyekiti mpya na katibu mpya.
Hawa waliopo ni wazuri lakini wahitaji kupata viongozi wazuri zaidi ambao ni wahamasishaji
Kweli pamoja na mazingira magumu kisiasa yaliyopo chama kinahotaji kufanya overhauling
 
Nafikiri Mbowe baada ya kuona ile negative turnout ya maandamano ikiwa haina mtu hata mmoja itakua alikata tamaa huenda kwa nafsi yake hata yeye alitaka asijitokeze ila akaona itakua ni aibu mara mbili akachagua aibu moja ya kujitokeza peke yake

Yeah!
Yeye kaibuka Shujaa lakini Kwa aibu kûbwa.
Kuliko asingejitokeza hata Mmoja.
 
Tuko tunawaunga mkono cdm
Lakini wanahitani kufanya uchaguzi
Kupata mwenyekiti mpya na katibu mpya.
Hawa waliopo ni wazuri lakini wahitaji kupata viongozi wazuri zaidi ambao ni wahamasishaji
Kweli pamoja na mazingira magumu kisiasa yaliyopo chama kinahotaji kufanya overhauling

Na inatakiwa Watu weñye falsafa zisizobadilika badilika. Yàani vigeugeu
 
Kama mswahili naamini msemo “Jini likujualo halikuli likakwisha” CCM ni jini ila atleast halitaki kunimaliza sababu lina mfumo(a very stable status quo) ambayo mpaka sasa ina work kwa miaka zaidi ya 60. Right now i trust CCM just because of convenient and Security.

Dont blame me blame the system which influenced me by various method and most of Tanzanian are vulnerable to them same method.
 
Chadema is compromised. Kama Hizbullah chama cha kijeshi kina power kinaweza kua compromised isije kua Chadema. Chadema is naked and irrelevant na kila mtu mpaka Viongozi wa Chadema wanajua ila wanasubiri their bubble ipasuke kila mtu atafute njia yake kama CUF.
Mkuu kama kweli wapinzani hawa wana hali mbaya kihivyo au kama kweli hawa wapinzani ni dhaifu kiasi hicho unacho taka kuwaaminisha watu, je ni kwa nini serikali inatumia nguvu na gharama kubwa kiasi cha kuua kuwadhibiti???

Mkuu ni kwa nini chama tawala kina haha na kukosa usingizi kiasi cha kupora kila uchaguzi kwa gharama kubwa???

Huoni kuwa kinyume cha usemacho ndio kweli??? Au wewe ndiye huoni sawa sawa???
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Ni aibu kubwa sana kwa chama chadomo!! Wakina Erythrocyte waliingia mitini wakamwacha DJ na mtoto wake. Lakini kwenye mitandao walikuwa wanatisha ile mbaya. Sasa hivi hawaongei tena maandamano wamehamia kwa Kampuni ya Tigo!
 
Back
Top Bottom