OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
imekuwa kwenda Ulaya tena sio kuja Yanga kama yule mbeba boxHuyu kapotea njia wenzake wanakwenda Ulaya yy anakwenda MAKOLO kweli wanders shall never end
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imekuwa kwenda Ulaya tena sio kuja Yanga kama yule mbeba boxHuyu kapotea njia wenzake wanakwenda Ulaya yy anakwenda MAKOLO kweli wanders shall never end
Akienda upande wa pili na Aziz Ki ataenda upande wa piliInasemekana huyu jamaa ana tabia ya kucheza timu mbili mahasimu kwenye nchi moja anayoenda kucheza baada ya misimu 2 ataenda upande wa pili.
Na yule mliyesema katokea Newcastle vipi hajapotea njiaHuyu kapotea njia wenzake wanakwenda Ulaya yy anakwenda MAKOLO kweli wanders shall never end...
Haya haya Makolo ambayo hata kikombe cha chai hayana
Yule kachanganyikiwa kabisa utoke ulaya uje jangwaniNa yule mliyesema katokea Newcastle vipi hajapotea njia
[emoji817][emoji817][emoji817]Najaribu kuwaza hapa
6 Akpan
7 Sakho
8 Chama
9 Manzoki
10 Phiri
11 Okrah
Watu wanavuta pumzi ya motooo
imekuwa kwenda Ulaya tena sio kuja Yanga kama yule mbeba box
Kama huyu aliyetoka Ghana kuja Tz inaonekana wonder, yule aliyetoka hukokuko ulaya ambako unatamani huyu angeenda si ndio Umk*nd kabisa?Huyu kapotea njia wenzake wanakwenda Ulaya yy anakwenda MAKOLO kweli wanders shall never end...
Haya haya Makolo ambayo hata kikombe cha chai hayana
safi sana Simba mnatambulisha mchezaji na sifa zake Okrah magoli 14 asist 4.kuna timu inasajili wachezaji kutoka store ya vinywaji.
Labda uyu mchezaji anaweza akainusuru Simba isishuke daraja msimu ujao ngoja tusubiri na kuona.