Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Sasa kuna Biringanya ilitoka ulaya ikaja UTOHuyu kapotea njia wenzake wanakwenda Ulaya yy anakwenda MAKOLO kweli wanders shall never end...
Haya haya Makolo ambayo hata kikombe cha chai hayana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuna Biringanya ilitoka ulaya ikaja UTOHuyu kapotea njia wenzake wanakwenda Ulaya yy anakwenda MAKOLO kweli wanders shall never end...
Haya haya Makolo ambayo hata kikombe cha chai hayana
Mkuu andika hivi"ni fayaaaaaa[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]"Ni fireeee[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mkuu andika hivi"ni fayaaaaaa[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]"Ni fireeee[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ina maana hamuelewi tofauti ya mchezaji aliyecheza Ulaya anayeelekea kustaafu. Na kijana anayepaswa kwenda kucheza Ulaya?Kama huyu aliyetoka Ghana kuja Tz inaonekana wonder, yule aliyetoka hukokuko ulaya ambako unatamani huyu angeenda si ndio Umk*nd kabisa?
Kwenye ile saga haukuona wonder na ukawa unapingana na wanaishangaa, ila hapa unajitia kushangaa?
Kweli mwenye akili huko utopolo ni Sunday na Jk tu.
Wanaweza kupambana kwa ubavu na mabeki wa timu za Kaskazini ambao wengi ni vipande vya watu kwa stamina ?Kkwa hiyo Peter Banda na Sakho sio vijana wenye nguvu yaani?
Simba SC taifa kubwa, jamaa akawaambia ana mambo yake private wamuache kwanza.Mghana wa Simba anaitwa timu ya taifa mpaka anagoma yule wa utopolo analalamika kwanini haitwi
Mnakimbilia kusajili rejects toka Congo mpaka Ulaya halafu mnatupigia kelele!HII LIGI IANZE TUONE MBIVU NA MBICHI
Tuliaaminishwa kwamba Bigirimana ana miaka 28 sawa kabisa na Okrah na tulipojaribu kupinga tulioenekana hatuna akili, haya leo wewe unajaribu kusema kuwa Biringanya ni mzee na anaelekea kustaafu?Ina maana hamuelewi tofauti ya mchezaji aliyecheza Ulaya anayeelekea kustaafu. Na kijana anayepaswa kwenda kucheza Ulaya?
Makolo mna tabia ya kufikiria nyuma mbele! Mbele nyuma
Anacheza na akina nani huko kwenye ligi atokayo?Imagine huyo ni kiungo ana goli 14. kuna striker topolo mechi 40 gali 2
Hivi yule ng'ombe wa mayele alipona kwenye iddi ya juzi hapo?Hapa tumepigwa, anaonekana kama mchunga Ng'ombe
Kuna miqson pia nearest to comeNajaribu kuwaza hapa
6 Akpan
7 Sakho
8 Chama
9 Manzoki
10 Phiri
11 Okrah
Watu wanavuta pumzi ya motooo
Yanga Sport Club, daima mbele nyuma mwikoIna maana hamuelewi tofauti ya mchezaji aliyecheza Ulaya anayeelekea kustaafu. Na kijana anayepaswa kwenda kucheza Ulaya?
Makolo mna tabia ya kufikiria nyuma mbele! Mbele nyuma
Utopolo kimoyomoyo unasema ‘Jamaa wametuweza’Daah ..Mmepigwa...
mbona waandika kinyonge,hujala?HII LIGI IANZE TUONE MBIVU NA MBICHI
mpira wa kasi sana huoNajaribu kuwaza hapa
6 Akpan
7 Sakho
8 Chama
9 Manzoki
10 Phiri
11 Okrah
Watu wanavuta pumzi ya motooo
Huku Okrah...kule Joyce.....Msimu ujao patachimbika.Karibu sana kwenye Klabu yenye hadhi ya Kimataifa..Augustine Okrah Magical left foot