Kiungo mshambuliaji Augustine Okrah raia wa Ghana, atambulishwa Simba SC

sometimes najiuliza tatizo la Kibu kukosa kosa chances za wazi kibao ni tatizo linalorekebishika au sugu? Maana jamaa kakosa chances nyingi sana now naanza kupata furaha labda kuna mtu ataziba lile pengo
Kyombo yupo clinical sana, nje ya box, ndani ya box, na free kicks!
 
Huyu biringanya ni kama kuuziwa bdhaa online kupitia Kikuu..washapigwa watu huko...wamebweteka na kwa kuona kuchezea ulaya miaka 12 ndo bdo upo vile vile...jamaa kashaachana na carrier ya mpira...alikuwa store keeper pale stockharm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna dhambi nyie khaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna dhambi nyie khaaaah.
Haha!ukwel lazima usemwe...Ila Kaze anacheza sanaa na akili za wana utopolo.,..kaamua kuwa kuhadi wa garasa kutoka ulaya
 
[emoji23][emoji23] Manzoki
 
Kiko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…