chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Teknolojia iko mbele sana na tunaipongeza mahakama kwa kuendesha kesi kimtandao.
Kwa kuwa ugaidi ni jambo zito sana linalohatarisha usalama wa nchi, na hatuna uhakika kama magaidi wote wamekamatwa, ni vyema kesi ya mtuhumiwa wa ugaidi, Mbowe iendeshwe kwa njia ya mtandao akiwa gerezani.
Naona hatari sana endapo magaidi wenzake watajikusanya katika wananchi wakijifanya kuenda kusikiliza kesi kisha wakafanya tukio, ikiwemo kujilipua.
Mtu kama mdude ameshanukuliwa miezi kadhaa kabla hajapelekwa stoo, akisema atafanya tukio
Asanteni, natanguliza shukrani
Kwa kuwa ugaidi ni jambo zito sana linalohatarisha usalama wa nchi, na hatuna uhakika kama magaidi wote wamekamatwa, ni vyema kesi ya mtuhumiwa wa ugaidi, Mbowe iendeshwe kwa njia ya mtandao akiwa gerezani.
Naona hatari sana endapo magaidi wenzake watajikusanya katika wananchi wakijifanya kuenda kusikiliza kesi kisha wakafanya tukio, ikiwemo kujilipua.
Mtu kama mdude ameshanukuliwa miezi kadhaa kabla hajapelekwa stoo, akisema atafanya tukio
Asanteni, natanguliza shukrani