Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,916
- 2,756
Aisee Pascal Mayalla! Kuwa makini ndg. Kwa comment hii Unaweza kuitwa tena au kuhojiwa na watu wa muhimili uliojichimbia zaidi, usiseme sijakutahadhalisha Wang'wise!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka kipindi cha uchaguzi nilikuwa napenda sana kumtazama Larry King kwenye kipindi chake cha Politiking cha Ruptly TV (RT) nikawa napuuzia kila anachokisema. Baba weeh yaani uchaguzi ulikuja vilevile alivotabiri. Upande wa CNN na Fox walinilisha sana matango pori.Trump haendi popote.. usiamini sana CNN, MSNBC na ABCNews..
Sikubaliani na wewe kwa mambo mengine lakini naamini ni mojawapo ya wa Tanzania wenye kujitambua sana unatumia akili yako vyema tatizo unaishi taifa lenye vipofu.Mkuu Bungua, kwa vile huma jf tunajuana, japo sina uhakika kwa sababu hakuna research yoyote ambayo imefanyika kuthibitisha hili, lakini naamini, hakuna mwana jf, ambaye amelipigia kelele hili la udikiteta wa Magufuli, kama mimi.
Matakwa ya katiba, sheria, taratibu na kanuni ni jambo moja, na matakwa ya Wananchi, wanataka nini ni jambo jingine.
Kuna kitu kinaitwa, "is" and "ought". Is ni kile kinachofanyika sasa, ought ni kile kilichopaswa kufanywa na kufanyika.
Magufuli tumemchagua kwa mujibu wa katiba na akaapa kuilinda katiba, lakini katika kutimiza maendeleo anayoyataka, akajikuta akiifuata katiba, itamchelewesha, hivyo akaamua kuikanyaga katiba ili kuwaletea Watanzania Maendeleo.
Kama wananchi wanachotaka ni maendeleo, na hata kama maendeleo hayo yatapatikana kwa udikiteta, then Magufuli is their hero.
Karibu baadhi ya mada zangu za udikiteta
P
- Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
- Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi ...
- Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
- Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali ...
- Udikiteta ni Dhana Tuu or ni Real?. "Lets Call A Spade A Spade ...
- Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio ...
- Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
- Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli ...
- Gwiji wa Sheria na Katiba, Prof. Issa Shivji, Agoma Kuzungumzia ...
- UDIKTETA: Hongera Sana TWAWEZA, TZ hakuna Udikteta! Ila ...
- Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni ...
- Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
- Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili ...
- Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu ...
- Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
- CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
- Timua Timua CCM, Hongera M/Kiti Magufuli, Wapinzani Mjifunze ...
- Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
- Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni ...
- Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A ...
https://www.jamiiforums.com/threads...t-it-a-nuisance-je-2020-ni-ccm-pekee.1635309/
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.
The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.
Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.
Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.
Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.
Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.
If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
Hapa Tanzania Spika wa Bunge hamwachi Rais wetu alale usingizi. Kila mara anamsumbua ili amwelekeze ni namna gani yeye Spika aliongoze Bunge..
Jamani kimasihara Trump anaondoka Ikulu tayari Jerry Nadler ameshawasilisha articles mbili za impeachment pia Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi, Ivan Ravlov ameenda kuokoa jahazi.
Je, ya Richard Nixon yatajirudia?
Democrats wameamua kumng'oa Trump wanamshtaki Trump kwa Mambo mawili
1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)
2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.
Yetu macho huo ndio Uhuru na demokrasia ya kweli !!
Jamani kimasihara Trump anaondoka Ikulu tayari Jerry Nadler ameshawasilisha articles mbili za impeachment pia Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi, Ivan Ravlov ameenda kuokoa jahazi.
Je, ya Richard Nixon yatajirudia?
Democrats wameamua kumng'oa Trump wanamshtaki Trump kwa Mambo mawili
1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)
2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.
Yetu macho huo ndio Uhuru na demokrasia ya kweli !!
Kalikoroga mwenyewe na misimamo yake ya kipuuzi na kibaguzi dhidi ya dini na mataifa mengine wakati anaingia nyumbe nyeupe.Huwa napitia Tweets na Facebook page ya Donald Trump.
Naamini kwamba ni mmoja wa maraisi wanaoongoza Kwa tabu sana.
Wanamnyanyasa kwelikweli.
Swadakta/kabisa/point/fact/true/kweli.Anawajibishwa kwa[emoji117][emoji117][emoji117]
1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)
2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.
[emoji115][emoji115]this will never happen in Africa superbug,