Kiwanda cha biskuti za bangi chagunduliwa Kawe

Mbona nasikia ukivuta bange unaweza geuka mwehu? au uwongo?
kila kilevi kina utaratibu wake wa maandalizi na matumizi, hata ulanzi ukiugema ndivyo sivyo sio ulanzi tena, na bangi ni hivyo hivyo, tena kwavile ni haramu jukumu lote la kuhakikisha kwamba imekomaa, imelimwa vizuri, imevunwa vizuri, aina yake, n.k. ni la mtumiaji kwahio inabidi ujielimishe kwa ufasaha, ukijielimisha hata mitandaoni kuna forums kabisa za bangi ni kilevi salama kabisa ila ukiingia kwa kuiga iga ama kimazoea lolote laweza tokea , ukiona huko Ulaya na Marekani mpaka matajiri kama Elom Musk wanaitumia na hawaweuki ila huku wanawehuka unapata jibu kwamba huku kwetu watu wanatumia bila elimu yake
 
Bongo skanka inatumiwa na watu wa kila aina kuanzia wasomi,wafanyabiashara,masista duh
Mabrazamen

Ova
 
Kitu cha cookies ..

2020 hapo dangisinade I got a taste of it ... Gadeeeeim .. the sheet is lit .. dakika za kuhesabu .. Niko America, mara Niko Jamaica , mara nipo nasolve equations za kwenda mwezini mara nipo na Mr Presidaaa tunaplann...


Mara existential crisis ..


Nikaapa sitokuja tumia tena
 
Hizo biskuti au kashata wadada mjini wanazipenda kweli kweli

Ova
Kuna kitu nimekigundua zama hizi tuendako wadada wataongoza kwa kunywa na kuvuta bangi na sigara kuliko wanaume.

Kuna siku nilishangaa dada mmoja advocate mzima smart kabisa kimuonekano watoto wa mjini wanaita pisi kali anavuta bangi baada ya kutembelea maeneo ya kwake ghafla nilishangaa sana.
 
Unaongea kitu usichokielewa. Kuna biskuti zimeokwa kwenye oven kabisa na zina sukari ila zimechanganywa na bangi hata ngano imehusika. Kitaalam zinaitwa cookies wala sio biskuti. Binafsi nimezitumia mara moja. Moja inauzwa elfu 2500. Kwa elfu 15 unapata 6. Na ni size ya kawaida tu na ni za duara. Ila hiyo moja hata mkigawana wawili mziki wake ni balaa. Sijajua kama ni bangi tu wanaweka au Kuna kitu kingine ila zinaleta wenge la hatari. Skanka inatoka Swaziland ndo wanaweka humo. Ila skanka kama skanka pia inauzwa kivyake ukitaka, sema umechanganya mada.
 
Kama ambavyo mimi nategemewa kwenye maswala mbali mbali ya kijamii na kiuchumi.

Na hawajui kama ni mtumiaji mzuri wa mmea.
 
Lazima ushangae kwasababu umekua brainwashed kuhusu huu mmea ( bangi )
 
Sasa huko kawe hawajakuta kiwanda cha kutengeneza hizo za 2500 mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…