Sasa kwa utaahira huu ni kwanini waziri asijiuzulu?
Sasa kwa utaahira huu ni kwanini waziri asijiuzulu?
Tatizo sio TANESCO ; tatizo ni waziri anaehusika na hio wizara ni seti tupu. mjinga mmoja hivi ambae anawaza na kua na ndoto eti siku moja atakua rais wa nchi. Na huyu mama Hangaya alivyo mpole anajifanya haoni utendaji mbovu wa hii kenge,.Taarifa ya habari ya UTV imeripoti leo magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji.
TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua dizeli ambayo pia yanasaidia uzalishaji kidogo kwa ajili ya miradi ya kimkakati. Je, kwanini uongozi wa Tanesco usiadhibiwe kwa kushindwa kuondoa hili tatizo?
Kwa hali hii kweli tuko serious kuita wawekezaji kuanzisha viwanda nchini? Kwa nini haya matatizo ya TANESCO yamekuwa mengi katika siku za karibu?
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi tafadhali onesha namba ya simu kwa kuwa Tanga kuna viwanda vya cement zaidi ya kimojaTaarifa ya habari ya UTV imeripoti leo magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji.
TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua dizeli ambayo pia yanasaidia uzalishaji kidogo kwa ajili ya miradi ya kimkakati. Je, kwanini uongozi wa Tanesco usiadhibiwe kwa kushindwa kuondoa hili tatizo?
Kwa hali hii kweli tuko serious kuita wawekezaji kuanzisha viwanda nchini? Kwa nini haya matatizo ya TANESCO yamekuwa mengi katika siku za karibu?
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi tafadhali onesha namba ya simu kwa kuwa Tanga kuna viwanda vya cement zaidi ya kimoja
Nimemwagiza waziri hilo nalo akaliangalie
Magufuli alipo kuja na sera ya Viwanda alianza na kutengeneza nishati ya umeme...
Kule kusini...
Unafikiri bila kuwa na nishati ya kutosha ya umeme huwezi kuwa na viwanda
Namba ya simu ya nini wakati Tanga hakuna umeme rudisheni umeme wa kutosha, inamana ile ofisi ya kanda pale Tanga haina taarifa ya tatizo hili?Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi tafadhali onesha namba ya simu kwa kuwa Tanga kuna viwanda vya cement zaidi ya kimoja
Kwani kwa uongo? wakati wa Magufuli hayo mambo hayakuwepo pamoja na kuunganisha vijiji zaidi ya elfu 7 ,na kufungua viwanda kila sehemu,hatukusikia kiwanda kufungwa kwakukosa umeme,hizi ni mbinu za kina Makamba kuijumu tanesco ili tanesco waonekane wameshindwa kazi wapate kujiuzia hili shirika.Wafuasi wa dikteta wanajifariji eti angekuwepo yasingetokea haya.
Kwa serikali hii ya chama chakavu kwanini yasingetokea ?
Kwahiyo enzi za the so called Magufuli umeme ulikuwa haukatiki?Kwani kwa uongo? wakati wa Magufuli hayo mambo hayakuwepo pamoja na kuunganisha vijiji zaidi ya elfu 7 ,na kufungua viwanda kila sehemu,hatukusikia kiwanda kufungwa kwakukosa umeme,hizi ni mbinu za kina Makamba kuijumu tanesco ili tanesco waonekane wameshindwa kazi wapate kujiuzia hili shirika.
Ebu Kipara njoo ujibu hizi tuhuma. Na huko ni nyumban kwako kabisaTaarifa ya habari ya UTV imeripoti leo magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji.
TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua dizeli ambayo pia yanasaidia uzalishaji kidogo kwa ajili ya miradi ya kimkakati. Je, kwanini uongozi wa Tanesco usiadhibiwe kwa kushindwa kuondoa hili tatizo?
Kwa hali hii kweli tuko serious kuita wawekezaji kuanzisha viwanda nchini? Kwa nini haya matatizo ya TANESCO yamekuwa mengi katika siku za karibu?
Kwahiyo enzi za the so called Magufuli umeme ulikuwa haukatiki?
Hapa hatujazungumza kukatika, kiwanda kimekosa kuzalisha mali kwa kukosa umeme,bora siukatike utarudi badae ili Kazi iendelee, wenye kiwanda wanasema kiwanda hakina umeme kabisa.Kwahiyo enzi za the so called Magufuli umeme ulikuwa haukatiki?