Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Siyo picha,issue ni jee hicho kiwanda bado kinaendelea kuzalisha?
Tanzania Will not be Outdone, They are Making Trucks, Meet the Nyumbu
kwani wewe bibi yako mzazi bado anaendelea kuzaa-swali lilikuwa je sisi tumewahi kutengeneza gari?
 
Tanzania Will not be Outdone, They are Making Trucks, Meet the Nyumbu
kwani wewe bibi yako mzazi bado anaendelea kuzaa-swali lilikuwa je sisi tumewahi kutengeneza gari?
Nabii Tito
 
Wengine wanasema Kenya wametushunda kwa kila kitu! Kama ndivyo tujiulize kati ya wakenya na watz ni wepi ambao wamejaa ktk nchi ya wenzao kusaka vibarua majumbani na maeneo ya starehe? Hicho kwangu ni kipimo kikubwa cha maendeleo endelevu na jumuifu. Huwezi kuanza majaribio ya kurusha roketi ama kutekeleza magari wakati watu wako zaidi ya asilimia 80 ni masikini wa kutupwa.
Wengine wanasema Kenya wametushunda kwa kila kitu! Kama ndivyo tujiulize kati ya wakenya na watz ni wepi ambao wamejaa ktk nchi ya wenzao kusaka vibarua majumbani na maeneo ya starehe? Hicho kwangu ni kipimo kikubwa cha maendeleo endelevu na jumuifu. Huwezi kuanza majaribio ya kurusha roketi ama kutekeleza magari wakati watu wako zaidi ya asilimia 80 ni masikini wa kutupwa.



1024px-Nairobi_Kibera_04.JPG


wakiondoa hii slum! ambayo ni ivutio cha utalii basi kenya wanaweza kufikia hali ya watanzania wa hali ya maisha inayofanana fanana kwa watu wake wengi, na sio matajiri wa kutupwa na maskini wa kutupwa!!
 

ha ha ha......umejibu vizuri! unajua jibu na unajiona ulivyo mjinga sasa!! wawekezaji kuja mahali na kutengeneza kitu na kuuza nje ya nchi!! hakuifanyi nchi husika ionekane inatengeneza gari...wanafuata cheap labor, loose specification ana lower capital cost!

at least unaanza kuelewa sasa!!

EPZA ya mkapa, wanatengeneza na kuuza jinsi na nguo ghari kabisa ulaya na haziuzwi humu nchini, hata hili najua haujui!! hakuifanyi eti wewe kijana wa Tandika au kule kwenu kyela ukaringa eti 'tunauza nguo' nje ya nchi!

concept ya dunia kama kijiji investor anaweza akaenda popote mahali conducive akaweka kiwanda, akauza maliza zake na nyie nchi husika mnaishia kula kodi tu, ila sio kiteknolojia ndio umefikia level ya wajapan!! ha ha
 
Nimerejea post za huko juu. sijaona post hata moja iliyokuomba upande hilo gari. Be positive.
ni mawazo yangu tu ya ki-shithole shithole wala usiyazingatie saaana!!!sawa mkuu???
Nimerejea post za huko juu sijaona sehemu hata moja iliyokuomba uwapongeze!!mind yua biznes!
 
A number of African countries chose institutions of higher learning like universities to develop cars like Nyayo Pioneer cars of the University of Nairobi in Kenya, which was commissioned by the then president Daniel Toroitich arap Moi,while Uganda featured with the Kiira EV of Makerere University, this project has continued to grow ever since. The Kiira will be going on sale this year possibly.

Tanzania was also onto something
Tanzania at the same time was using the national Ministry of Defense and National Service to develop their own vehicles. The Tanzania Automotive Technology Center (TATC) was tasked with coming up with technological innovations.

The TATC received their start up and subsequent funding for uplifting and maintenance from the government coffers. The center designs, develops and manufactures motor vehicles and other pieces of machinery in line with its mission. Several vehicle models have since been produced pursuant to this dream. Check out some of the trucks developed and manufactured by the TATC.

Tanzania Automotive Technology Centre (TATC). Established with an idea of creating a Centre of excellence in Tanzania to advance technology innovations, with the ultimate aim of attaining self reliance in technology relevant to the economic and social well-being of our country.

TATC was established in 1985 by a presidential decree, as a Research and Development Government Institution under the Ministry of Defence and National Service. The Centre is wholly owned by the Government of the United Republic of Tanzania.

[rev_slider Nyumbu]



Establishment Purpose
To create a Centre of Excellence in Tanzania to advance technological innovations, with the ultimate aim of attaining self reliance in technology relevant to the economic and social well being of the country.

Building of TATC
TATC was built through heavy Government investment , leading to;
• Technology acquisition through ‘technology transfer initiatives’ between Timoney Technology Ltd of the republic of Ireland and the Government of the United Republic of Tanzania.
• Construction of the TATC technology infrastructure from a green field

Principal Functions of TATC
To adapt existing engineering technology to alleviate some of the existing problems in transport, agricultural machinery and industry (implementation or pursuit of this function results into adapted or reverse engineered technologies)
To design and develop for production, vehicles, plant and machinery suited to the needs of Tanzania. (implementation or pursuit of this function results into TATC developed technologies).
To conduct research in materials for use in field of mechanical engineering (Material research, metal plastics, rubber, composites.)
To provide consultancy services in the fields of electro-mechanical engineering (industrial consultancy services)
To act as a high technology training Centre.
To conduct quality assurance of land equipment and machinery purchased by the Government.
To undertake any special engineering tasks as directed by the Government
nyumbu-truck-tanzania1.jpg
 
A number of African countries chose institutions of higher learning like universities to develop cars like Nyayo Pioneer cars of the University of Nairobi in Kenya, which was commissioned by the then president Daniel Toroitich arap Moi,while Uganda featured with the Kiira EV of Makerere University, this project has continued to grow ever since. The Kiira will be going on sale this year possibly.

Tanzania was also onto something
Tanzania at the same time was using the national Ministry of Defense and National Service to develop their own vehicles. The Tanzania Automotive Technology Center (TATC) was tasked with coming up with technological innovations.

The TATC received their start up and subsequent funding for uplifting and maintenance from the government coffers. The center designs, develops and manufactures motor vehicles and other pieces of machinery in line with its mission. Several vehicle models have since been produced pursuant to this dream. Check out some of the trucks developed and manufactured by the TATC.

Tanzania Automotive Technology Centre (TATC). Established with an idea of creating a Centre of excellence in Tanzania to advance technology innovations, with the ultimate aim of attaining self reliance in technology relevant to the economic and social well-being of our country.

TATC was established in 1985 by a presidential decree, as a Research and Development Government Institution under the Ministry of Defence and National Service. The Centre is wholly owned by the Government of the United Republic of Tanzania.

[rev_slider Nyumbu]



Establishment Purpose
To create a Centre of Excellence in Tanzania to advance technological innovations, with the ultimate aim of attaining self reliance in technology relevant to the economic and social well being of the country.

Building of TATC
TATC was built through heavy Government investment , leading to;
• Technology acquisition through ‘technology transfer initiatives’ between Timoney Technology Ltd of the republic of Ireland and the Government of the United Republic of Tanzania.
• Construction of the TATC technology infrastructure from a green field

Principal Functions of TATC
To adapt existing engineering technology to alleviate some of the existing problems in transport, agricultural machinery and industry (implementation or pursuit of this function results into adapted or reverse engineered technologies)
To design and develop for production, vehicles, plant and machinery suited to the needs of Tanzania. (implementation or pursuit of this function results into TATC developed technologies).
To conduct research in materials for use in field of mechanical engineering (Material research, metal plastics, rubber, composites.)
To provide consultancy services in the fields of electro-mechanical engineering (industrial consultancy services)
To act as a high technology training Centre.
To conduct quality assurance of land equipment and machinery purchased by the Government.
To undertake any special engineering tasks as directed by the Government
nyumbu-truck-tanzania1.jpg
Kwa sasa tunapimana vibamia tu
 
Kiwanda Cha Kuunda Magari Cha Mobius Motors Cha Jijini Nairobi, Nchini Kenya Kimeliingiza Sokoni Gari Lake Jipya Aina Ya Mobius II Ambalo Limetengenezwa Kwa Kuzingatia Ubovu Wa Barabara Za Afrika Na Linauzwa Tsh. 28 Milioni.

Hongera Kenya Kwa Hatua Hii Mliofikia, Haya Ndio Maendeleo Ya Kweli.

FB_IMG_1517383584367.jpg


FB_IMG_1517383581612.jpg

Wito Kwa mwijage, anzisheni viwanda vya namna hii
 
Back
Top Bottom