Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Kwani Kantanka la Ghana stori zake ziliishia wapi. Nchi hata kujitosheleza kwa chakula na mahitaji mengine bado lakini inakimbilia kutengeneza gari. Ajabu hii.
WAnaohusika na chakula na wanaohusika na utengenezaji wa magari ni watu wawili tofauti.
 
limetengenezwa na waafrika tena ma-shithole haswaa??aaahh siwezi kupanda hata nishikiwe gobole...linaitwaje vile MOBIUS....
Nimerejea post za huko juu. sijaona post hata moja iliyokuomba upande hilo gari. Be positive.
 
Wengine wanasema Kenya wametushunda kwa kila kitu! Kama ndivyo tujiulize kati ya wakenya na watz ni wepi ambao wamejaa ktk nchi ya wenzao kusaka vibarua majumbani na maeneo ya starehe? Hicho kwangu ni kipimo kikubwa cha maendeleo endelevu na jumuifu. Huwezi kuanza majaribio ya kurusha roketi ama kutekeleza magari wakati watu wako zaidi ya asilimia 80 ni masikini wa kutupwa.
 
Kaliaga hayo, wenzio katika dunia ya leo wanatengeneza kitu kinacho uzika sokoni kuliko hayo mawazo yako ya kimasikini. Kama vipi, unaonaje hilo wazo ukilifanyia wewe kazi badala ya hao wenzio Wakenya walio amua kutengeneza gari!? Maandishi yako yamesukumwa na WIVU tu na sio kitu kingine.
Well, Japan ni miongoni mwa nchi tajiri sana duniani but still nao wanaagiza sehemu kubwa ya chakula chao nje ya nchi. Halafu pia haipo nchi duniani iliwahi kutajirika to the maximum kwa kutegemea kilimo
Haya sasa, nani atakaenunua wakati wanunuzi wenyewe hawana hata pesa ya kununulia unga.
 
Liko wapi?
upload_2018-1-31_9-54-35.png
 
Back
Top Bottom