Issa SLuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 2,303
- 1,803
Ndio maendeleo hayo / nchi ya ajabu hiiBreaking news!!! polepole aubomoa upinzani kilimanjaro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maendeleo hayo / nchi ya ajabu hiiBreaking news!!! polepole aubomoa upinzani kilimanjaro
Labda ili atengeneze lake akalie wapi kwa mfano?Nawewe tengeneza lako sini MTZ unataka nani akutengenezee wewe unakalia jf muda wote?
Mimi nataka nijue wemetumia technolojia gan au wameunganisha vifaa tu kazi ambayo hata garage bubu zinafanyaGari inatembea muonekano wa nje haujalishi tuwapongeze tuache roho za korosho wapo mbali sana kwa kila kitu
Kweli mkuu, wao hata wana marais wawili sisi tunaye mmoja tu!Vema mkuu wana barabara ya njia sita wana treni yamwendo kasi mombasa Nairobi wana fly over wana demokrasi ya siasa uhuru wa mahakama bado huoni kuwa wametuacha angalia hata fedha yao kwa dorali penye ukweli uongo hujitenga mkuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kweli mkuu, wao hata wana marais wawili sisi tunaye mmoja tu!
Vp kwan lmekuingia au
SIKU SI NYINGI NDOTO YETU YA NCHI YA VIWANDA ITATIMIA...NASIKIA TUTAZINDUA TUKTUKU ZA MBAO !!!
Mkuu umeshawahi kufika Japan,Japan wanalima sana,katika miji ya Japan kila kona kuna viji-eka unawakuta wanajapan wanalima mpunga na vitu vyengineJapan wanalima chakula gani kweli!?
Utake usitake Kenya wametuzidi kila kona
wewe utakuwa mdogo kuliko bongoflava- Tanzania tulishaunda gari pale Nyumbu Kibaha tena wakati wa Nyerere