Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Uwezo wako wa kufikiria ni mdogo inaonyesha ni bashite
Bora hata tumpe nchi bashite bx kwel kuliko kuwapa watu ndumilakuwil

Hamuaminik wala hamuelewek

Unashoboka na mali za jiran

Unakataa bamia kwa kitomo cha nyama cha kuonjeshwa
 
Kwa taarifa yako miaka michache iliyopita walishawai kuzindua laptop zao, juzi kati satellite, mara hii gari daaahhh.....

Kwetu uzinduzi wa ubomoaji
Uzinduzi wa kampeini ya uchaguzi
Uzinduzi wa .......
Uzinduzi wa ........
Uzinduzi wa.........
 
Bora hata tumpe nchi bashite bx kwel kuliko kuwapa watu ndumilakuwil

Hamuaminik wala hamuelewek

Unashoboka na mali za jiran

Unakataa bamia kwa kitomo cha nyama cha kuonjeshwa
Ndio unaadika nini sasa ?
 
Kwa taarifa yako miaka michache iliyopita walishawai kuzindua laptop zao, juzi kati satellite, mara hii gari daaahhh.....

Kwetu uzinduzi wa ubomoaji
Uzinduzi wa kampeini ya uchaguzi
Uzinduzi wa .......
Uzinduzi wa ........
Uzinduzi wa.........
Yaaani ni uzinduzi na upokeaji wanao hama kutoka upinzani
 
Kwani Kantanka la Ghana stori zake ziliishia wapi. Nchi hata kujitosheleza kwa chakula na mahitaji mengine bado lakini inakimbilia kutengeneza gari. Ajabu hii.

ni serikali au private firm??
 
Back
Top Bottom