Naona mmeshajazana humu na kiswahili chenu kibovuGari mpya haihitaji spea mkataba 5 years ndipo uhitaji spea taja vitu kama nyumbu car kununua wapinzani kupiga marufuku mikutano ya siasa watu kushambuliwa kwa siraha za moto nasi tunavyo vya kulingia
Hahaha...hilo hata bure sichukuiAhahahaha ni box mkuu sio kama
Unalitunza kumbukumbu vizuri kujua Kagera ni vitu gani vilipelekwa baada ya ile patasi yenu ya Kivukoni kususia kupeleka misaada.?Nasikia huko kenya mtu akimiliki smart phone anajiona ameula, vipi njaa bado inawasumbua tuwaletee mahindi
Safi mwalimu wa lugha ila maada tuliyokuwa nayo umeacha bila hitimishoNaona mmeshajazana humu na kiswahili chenu kibovu
Haha..umeualimetengenezwa na waafrika tena ma-shithole haswaa??aaahh siwezi kupanda hata nishikiwe gobole...linaitwaje vile MOBIUS....
Lazima mjipendekeze msije kufa njaaUnalitunza kumbukumbu vizuri kujua Kagera ni vitu gani vilipelekwa baada ya ile patasi yenu ya Kivukoni kususia kupeleka misaada.?
Naona umeamua kucheka "potepote" angalia wasije wakapakua.Haha..umeua
Vyema, kumbe unalijua hata Nyumbu. Basi mada iishie hapa. Si jambo la kwanza hili East Africa, haswa Tz.Gari mpya haihitaji spea mkataba 5 years ndipo uhitaji spea taja vitu kama nyumbu car kununua wapinzani kupiga marufuku mikutano ya siasa watu kushambuliwa kwa siraha za moto nasi tunavyo vya kulingia
Fufueni hiyo nyumbu basi tunatamani kweli nasi tuone fahari kuendesha gari tuliyounda wenyeweVyema, kumbe unalijua hata Nyumbu. Basi mada iishie hapa. Si jambo la kwanza hili East Africa, haswa Tz.
Kuja pande hii ukalie kitu kama msumariNaona umeamua kucheka "potepote" angalia wasije wakapakua.
Hakuna lolote hao, wengi wao ni mafukara wa kutupwa..njaa tupu.Lakini bado wanaongoza kwa kuwa na Slums kubwa zaidi Afrika. Kibira, Mathare, Dandora and others. Kweli ubepari ni unyama ........
Uliza kiwanda cha karatasi mgororo makaa ya mawe wanatoa wapi wananunua afrika kusini kama nyinyi hamtumii ya kwenu iweje wao wanunue hayo mabuvuWao bidhaa za Tanzania hawanunui ni wabaguzi kama nini mfano tu makaa ya mawe wananunua South Africa wanasema yakwetu hayana ubora
Tuifufue tena? Kwani lini ílikufa? Sema labda wayatengeneze ya kiaraia.Fufueni hiyo nyumbu basi tunatamani kweli nasi tuone fahari kuendesha gari tuliyounda wenyewe
Wanasahau hata VX V8 iko fiti kwa barabara za kiafricaWanatengeneza Magari Yasiyo na Quality wanasingizia Mabarabara ya afrika..Wakenya Bhana