Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Umeona mbali Sana.Hapa linatafutwa soko la piki piki na toyo.
Watu waliozoea kutumia punda lazima wanunue kama wanyama hao wataisha.
Hii ni intelijensia ndogo ya kiuchumi.
Akili ndogo inafikiri kuwa wanatafuta nyama tu.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app