The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Ni mambo ya 1970 hadi 1980 ,acheni kunyanyasa wanyama mungu kawapa maakili mengi sanaToyo tena. naona huelewi lolote kuhusu wanyama kazi. sorry
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mambo ya 1970 hadi 1980 ,acheni kunyanyasa wanyama mungu kawapa maakili mengi sanaToyo tena. naona huelewi lolote kuhusu wanyama kazi. sorry
Mbona kuna kiwanda kikubwa cha punda Dodoma (Nyama ya punda )Hii ni hatari baada ya miaka 2 hakutakuwa na punda Tanzania.
Ni wewe mwenyewe ndie unatakiwa kutafakari suala hilo kwa sababu nilikuuliza, ina maana hao wananchi unawaona hawana akili?!Bei ya punda mzima mwenye afya ni sh 80,000 mpaka 100.000. ngozi ya punda ni sh 80,000. haya kipi bora hapo. punda afanye kazi au uuze kitendea kazi kwa malipo hayo.
Hatari imerudi tena wizi wa punda kushamiri tena
Duh, ka nmimi, ningepanic noma! 🤣 🤣 🤣 🤣Nilikaribishwa chakula kwa Wasomali, katikati ya kula pilau mama alisema yaani tulisubiri hii nyama mpaka kukata tamaa maana ni duka lile tu ndo wanauza nyama ya farasi.
Baada ya hii sentensi nilijikaza nisitapike, nilimaliza salad kwenye sahani nikaongeza na matunda kwa ustaarabu nilitoa shukran kwa chakula.
😂Siwezi kuwaiba mkuu bali nawachukua tu.
NJE YA MADA;
Nimestaajabu sana na jina la ID yako na jinsi unavyowatetea Punda.
Unataka kuniambia tuko nyuma kiasi icho? Yani karne hii tunajisifu kutumia punda kama means of transportation? Kweli kunatatizo mahali.Punda ndio mbadala wa mikokoteni ambayo ni gharama, punda ndio msaada wamama na watoto wa kike kwenye familia za wafugaji.
Nenda kongwa jimboni kwa Spika uone jinsi punda wanavyosaidia wanawake na watoto wanaotafuta maji ambali mrefu.
Bila punda ni mateso kwa wakina mama hasa familia za wafugaji.
Mchina ale punda ???Wakati hatuna ufugaji mkubwa wa punda na punda nchini wanatumika kwa ubebaji mizigo na makabila machache nchini kama vile wamasai wenye jadi ya kutumia punda ni uamuzi mbaya kuruhusu machinjio ya punda.
Machinjio hiyo awali ilishasababisha wizi mkubwa wa wanyama hao toka kwa wenyeji. Wengi wanaouza punda kiwandani sio wafugaji wa punda ila wanawapata kwa watu wa kati wenye kusadikika kuwapata kwa njia zisizo sahihi kama vile kuwaiba.
Hao wachina wenye nia ya kukidhi hamu ya nyama ya punda huko kwao ingekua busara kuwekeza kwanza kwenye mashamba ya ufugaji wa punda kuliko kuleta zogo kwa kiwanda kitakacho wamaliza punda nchini kwa hila za kibiashara na wizi.