Kiwanda cha nyama ya Punda cha wachina kilichoko Shinyanga chafunguliwa kuendelea na uzalishaji

Hii ni hatari baada ya miaka 2 hakutakuwa na punda Tanzania.
Mbona kuna kiwanda kikubwa cha punda Dodoma (Nyama ya punda )

Mimi nilienda Dodoma 2016 kilikuwepo na kinafanya kazi.
 
Bei ya punda mzima mwenye afya ni sh 80,000 mpaka 100.000. ngozi ya punda ni sh 80,000. haya kipi bora hapo. punda afanye kazi au uuze kitendea kazi kwa malipo hayo.
Ni wewe mwenyewe ndie unatakiwa kutafakari suala hilo kwa sababu nilikuuliza, ina maana hao wananchi unawaona hawana akili?!

Umedai mkokoteni wa punda unaingiza 20K to 50K kwa siku! Na hapa tena unadai punda mwenye afya anafika hadi 100K!

Sasa tu-assume mwananchi ana punda mmoja anayemtumia kwa biashara ay mkokoteni! Sasa unataka kusema huyu mwananchi hana akili hadi auze punda kwa 100K wakati anajua anaweza kupata hiyo 100K kwa muda usiozidi siku 5?!
 
Duh, ka nmimi, ningepanic noma! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Unataka kuniambia tuko nyuma kiasi icho? Yani karne hii tunajisifu kutumia punda kama means of transportation? Kweli kunatatizo mahali.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mchina ale punda ???
Yani yeye labda apeleke ngozi huko kwao..

Nyama tunakula sie wabongo, mfano mashuleni wanafunzi wanakula sana bila kujua
 
Wizi wa mafuta ya transfoma ya kukaangia chipsi vumbi utaanza kukithiri tena

Jakaya Kikwete is running the country by proxy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…