Kiwanda gani naweza fungua/anzisha kwa gharama ya millioni nne?

Tengeneza juis kwa kusindika mkongoraa,na changanya na vumbi la Kongo,andaa good packaging kama juice za Apolina then ingiza mjini,walah kesho TBC watakuomba interview.
Cjaelewa hii
 
Kinachoondoka sio tui bali majimaji yalio kwenye tui.tui lina vitu vingi ndani yake.unapokausha unaondoa majimaj tuu
ukikausha utabaki na mafuta...hivi ndivyo wanavyotengeneza mafuta ya nazi. Huwa wanakuna then inakaushwa halafu inakamuliwa. Lakini biashara ya mafuta ya nazi pia sio mbaya
 
Kinachoondoka sio tui bali majimaji yalio kwenye tui.tui lina vitu vingi ndani yake.unapokausha unaondoa majimaj tuu

Ukikausha machicha ya nazi
Maji huondoka kwa evaporation kinabaki mafuta!
Mafuta ya Mwali nazi yanatengenezwa hivi
 
Mimi Nina mpango wa kuanzisha mini-dairy nifanyr processing ya strictly goats milk... Maziwa ya Mbuzi yana advantages nyingi sana na Soko lake ni kubwa pia.. Nimeanza kwa kununua Shamba na kufanya breeding nipate mbegu nzuri sana.. Am still raising capital for purchasing machinery
 
Hujaweka sawa gaharama mkuu ya kuanzisha kiwanda bado kiwanja na jengo LA hicho kiwanda.. Bado umeme na issue za wiring... Naomba udadavue vizuri
 
Naomba niwe msimamizi wako mkuu tunaingia mkataba.... Nimuaminifu na ni mkweli... Sina record yeyote ya udanganyifu wala udhurumaji.. Usiuze mkuu ntasimamia kwa moyo wote naomba uni dm chief... Tuongeze kipato...
 
Biashara ya kukoboa na kusaga nakataa.mtaji wake vinu.umeme na installation ni zaidi ya 12m
Kweli mkuu bado sehemu ya kuweka hicho kiwanda. Zen ujenge [emoji809] wiring na umeme sio simple kiivyo.. Mi nipo najenga kiwanda cha kukoboa na kusaga kinaniendesha hicho kinyamaa
 
Kweli mkuu bado sehemu ya kuweka hicho kiwanda. Zen ujenge [emoji809] wiring na umeme sio simple kiivyo.. Mi nipo najenga kiwanda cha kukoboa na kusaga kinaniendesha hicho kinyamaa
kweli, mil 4 hapo hata location ya kuweka kununua/kukodi haipo.
nadhani wazo ni sahihi lkn liko nje ya estimation ya budget
 
wazo la pili mkuu nadhani ni gharama zaidi ya hiyo budget.
wazo la kwanza ni feasible, ila sijaelewa kama nakuwa nasaga kuuza mwenyewe au kusagisha watu maana kuna kona moja jamaa ameweka hiyo huwa namuona anasagisha za wananchi, au umemaanisha vyote. hilo ni zuri pamoja na yote ingawa akili ya kutafuta soko inahitajika maana hizo peanut butters naziona nyingi sana madukani japo sio sababu ya kushindwa..
asante mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…