Kiwanda kikubwa cha kisasa cha vigae(Tiles) chazinduliwa Tanzania -East Africa

Sijui kwa nini kila tukianzisha kitu kipya tunaingiza Kenya kama reference. Why not South Africa. Kenya ni majirani zetu wala hatuwezi kuwaonea gere, our level is SA, Malaysia, Singapore etc. Kuanzia leo ni marufuku kujilinganisha na Kenya
Hayo kawaulize wakenya
Kwanini wao wanachuki na sisi!!
 


Twyford Ceramics opened in Kajiado last year is twice, what you are bragging about it is already producing tiles, terracota bricks and other ceramic products.








You are always reading our number as, we are not only producing tiles, but smart tiles, solar tiles, the only producers in Africa who beat the USA Company Tesla in production of solar tiles. Strauss Energy and Tesla USA are the only producers of such. Sorry my friend, for bragging about something so small

Kenyan firm beat Tesla to solar roofing tiles

Strauss Energy | Powering Africa. Lighting Up the World


 
Hauja ambiwa kenya hakuna
umeambiwa hiki cha Tanzania ni kikubwa Ukanda huu
 
Maajabu ya nchi yangu thread kama hz znakosa wachangiaji

Ni hatua nzuri na ya kupongezwa
Utachangia nini wakati huna uhakika wa chakula? Hii ndiyo hali halisi.

Tukumbushane: Mambo mazuri hayataki haraka.
 
Hako kakiwanda kadogo sana. Hapa tunaongelea mega tiles. Siyo hako kadogo. Kiwanda cha mkuranga is the best kusini mwa jangwa la sahara. Na ni cha kisasa kabisa. Kuanzia mwezi wa sita tunaanza ku export.
 
Utachangia nini wakati huna uhakika wa chakula? Hii ndiyo hali halisi.

Tukumbushane: Mambo mazuri hayataki haraka.
Pesa ya kunywa viroba unapata pesa ya kununua msosi unataka serikali ukupatie. Ni fyatu pekee anaweza kuwa na mawazo hayo.
 
daah.....wabongo kazi mnayo.yani halaiki yote ya wabongo mnakubali mpotoshwe mkikenuakenua meno na kujichekesha.haya bana hongera zenu
 
Sijui kwa nini kila tukianzisha kitu kipya tunaingiza Kenya kama reference. Why not South Africa. Kenya ni majirani zetu wala hatuwezi kuwaonea gere, our level is SA, Malaysia, Singapore etc. Kuanzia leo ni marufuku kujilinganisha na Kenya
Level yetu SA, Singapore Hahaha comedian mzuri weye. Hii kwa kiengereza false sense of one's greatness.
 

Kawaida sana. Kiwanda cha kuchoma tofali??? Duh! Misifa ya kijinga hii. Anyway kama mmeforge vyeti vya kipaimara nini kingine kitawashinda
 
Maajabu ya nchi yangu thread kama hz znakosa wachangiaji

Ni hatua nzuri na ya kupongezwa


Mleta uzi mpumbavu nasema tena mpumbavu kwa sauti ya Ben W Mkapa.
Kiwanda kipo Tanzania unaanzisha uzi uhusuo kiwanda hicho kwenye jukwaa la Kenya News and Politics. Kama siyo kilaza ni nini?
 
Ukweli kabisa. East Africa we are lucky to have 3 countries zenye population which is about the same size. Positive competition for development. Pia uhabeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…