My friend! sisi kama wakenya huwa hatutishwi na vita za kombamwiko. Hapo tulishaa pita, hivyo vigae itabidi muvitafutie soko kwingineko. Na bado huko tutawafuata tu kwa ajili ya kung'ang'ania soko. Hapa twaongelea mambo na uzalishaji bali sio ujenzi tuu. Hebu fuatilia hii video.Nataka midomo yao izibe kisha tuheshimiane.
HahahaBavicha hawawezi kuchangia huu uzi
Hiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.My friend! sisi kama wakenya huwa hatutishwi na vita za kombamwiko. Hapo tulishaa pita, hivyo vigae itabidi muvitafutie soko kwingineko. Na bado huko tutawafuata tu kwa ajili ya kung'ang'ania soko. Hapa twaongelea mambo na uzalishaji bali sio ujenzi tuu. Hebu fuatilia hii video.
Angalia now DKK ya ngapi AF angalia flow ya comments mkuu5min mkuu
Point, tusilinganishe na nchi masikini wenzatu kama Kenya, tujifunze kwa waliofanikiwa kama vile Norway, RSA na MalaysiaSijui kwa nini kila tukianzisha kitu kipya tunaingiza Kenya kama reference. Why not South Africa. Kenya ni majirani zetu wala hatuwezi kuwaonea gere, our level is SA, Malaysia, Singapore etc. Kuanzia leo ni marufuku kujilinganisha na Kenya
Wakati unasema old, umechukuwa wasaa kujua kiliasisiwa lini? Nani kakwambia sii za kisasa? Usipotoshe umma kwa kutoa habari isiyo sahihi.Hiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.
Wakati unasema old, umechukuwa wasaa kujua kiliasisiwa lini? Nani kakwambia sii cha kisasa? Usipotoshe umma kwa kutoa habari zisiyo sahihi. Haijalishi kama ni kubwa au la, hilo ni kwa manufaa yenyu kuuza ile surplus. Lakini hapa hamtauza kwa sababu already tuko na yetu. Na pia ujue licha ya kuwa tushaanza uzalishaji bado upanuzi upo. Angalia hii videoHiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.
Hiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.
Mbona unalia lia. Hebu weka sample ya vigae vinavyotenegenzwa na kiwanda chenu. Wewe unaleta matofari. Weka hapa samples ukiongea maneno matupu tutakushangaa.Wakati unasema old, umechukuwa wasaa kujua kiliasisiwa lini? Nani kakwambia sii za kisasa? Usipotoshe umma kwa kutoa habari isiyo sahihi.
Wakati unasema old, umechukuwa wasaa kujua kiliasisiwa lini? Nani kakwambia sii cha kisasa? Usipotoshe umma kwa kutoa habari zisiyo sahihi. Haijalishi kama ni kubwa au la, hilo ni kwa manufaa yenyu kuuza ile surplus. Lakini hapa hamtauza kwa sababu already tuko na yetu. Na pia ujue licha ya kuwa tushaanza uzalishaji bado upanuzi upo. Angalia hii video
Wakati unasema old, umechukuwa wasaa kujua kiliasisiwa lini? Nani kakwambia sii cha kisasa? Usipotoshe umma kwa kutoa habari zisiyo sahihi. Haijalishi kama ni kubwa au la, hilo ni kwa manufaa yenyu kuuza ile surplus. Lakini hapa hamtauza kwa sababu already tuko na yetu. Na pia ujue licha ya kuwa tushaanza uzalishaji bado upanuzi upo. Angalia hii video
Kenya's per capita income is twice that of Tanzania na huyu mpumbavu matako anasema mambo haya ya kizumbukuku kiasi hiki.....i blame your mother for opening her legs to your father and your education system as well...Point, tusilinganishe na nchi masikini wenzatu kama Kenya, tujifunze kwa waliofanikiwa kama vile Norway, RSA na Malaysia
yaani wewe ukilala, ukiamka Kenya iko kwa kichwa chako....sawa mmeshinda Watanzania....mbona unapenda sana kulinganisha? wani shangaza sana...ndio maana ukaleta habari ya tanzania kwa jukwaa la Kenya News...Mbona unalia lia. Hebu weka sample ya vigae vinavyotenegenzwa na kiwanda chenu. Wewe unaleta matofari. Weka hapa samples ukiongea maneno matupu tutakushangaa.
Je, kinazalisha kiwango gani!?, Vigae aina gani kinazalisha?
Hiki cha bongo kinazalisha tiles kiwango cha kimataifa.
haya mambo ndo twataka kusikia sio kila siku kukimbizana na wapinzani kama mbwa na pimbi poriniKweli sasa hivi Africa Mashariki inakuwa kwa kasi. Kiwanda cha tiles kimezinduliwa wiki iliyopita na Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (Mkoa wa Pwani-Mkuranga). Kiwanda hiki kitarahisisha sana upatikanaji wa tiles za kisasa kusini mwa jangwa la sahara.
Kiwanda hiki ni cha kipekee hapa barani Africa. Vitu vyote vinaenda sambamba.
Kiwanda hiki kina urefu wa kilomita moja.
Kwa maelezo zaidi sikiliza hapa:-
NB: Wenzetu kutoka kenya naona wanaendelea na mijisifa yao huku tunasonga mbele. Najua kabisa hawana kitu kama hiki. Kinapatikana tanzania pekee. Na ikumbukwe kuna ahadi ya viwanda 200 toka china. Kwahiyo TZ itakuwa center ya viwanda barani Africa. Na huko Kenya itakuwa kijijini na mtakuwa mnalilia kujakutembelea TZ.
Nataka midomo yao izibe kisha tuheshimiane.
Mkuu waache wataanzisha sredi ya kujisifu na SGR yao inayotumia makaa ya mawe maana ndo ndoto ya maisha yao[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kweli sasa hivi Africa Mashariki inakuwa kwa kasi. Kiwanda cha tiles kimezinduliwa wiki iliyopita na Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (Mkoa wa Pwani-Mkuranga). Kiwanda hiki kitarahisisha sana upatikanaji wa tiles za kisasa kusini mwa jangwa la sahara.
Kiwanda hiki ni cha kipekee hapa barani Africa. Vitu vyote vinaenda sambamba.
Kiwanda hiki kina urefu wa kilomita moja.
Kwa maelezo zaidi sikiliza hapa:-
NB: Wenzetu kutoka kenya naona wanaendelea na mijisifa yao huku tunasonga mbele. Najua kabisa hawana kitu kama hiki. Kinapatikana tanzania pekee. Na ikumbukwe kuna ahadi ya viwanda 200 toka china. Kwahiyo TZ itakuwa center ya viwanda barani Africa. Na huko Kenya itakuwa kijijini na mtakuwa mnalilia kujakutembelea TZ.
Wachana na annael ..hiki kitoto cha shule ambacho kimejua leo kuhusu nchi yake na sasa kinathani tanzania ndo superpower ...childish comparisons na tena hakijui ku argue like great tz members kama geza ama mwanzi1 ..u ask this child a question anarudisha mavi...wacha uone upuzi atakao uandika sasayaani wewe ukilala, ukiamka Kenya iko kwa kichwa chako....sawa mmeshinda Watanzania....mbona unapenda sana kulinganisha? wani shangaza sana...ndio maana ukaleta habari ya tanzania kwa jukwaa la Kenya News...
Ati sredi[emoji23][emoji23]sasa hiki kiswahili cha wapi?Mkuu waache wataanzisha sredi ya kujisifu na SGR yao inayotumia makaa ya mawe maana ndo ndoto ya maisha yao[emoji1] [emoji1] [emoji1]
inaonekana jamaa ni mtoto kwani ana akili ya kitoto sana...Wachana na annael ..hiki kitoto cha shule ambacho kimejua leo kuhusu nchi yake na sasa kimathani tanzania ndo superpower ...childish comparisons na tena hakijui ku argue like great tz members kama geza ama mwanzi1 ..u ask this child a question anarudisha mavi...wacha uone upuzi atakao uandika sasa
Dah!! Nadhani mkuki umegusa kwenye mfupa.Wachana na annael ..hiki kitoto cha shule ambacho kimejua leo kuhusu nchi yake na sasa kinathani tanzania ndo superpower ...childish comparisons na tena hakijui ku argue like great tz members kama geza ama mwanzi1 ..u ask this child a question anarudisha mavi...wacha uone upuzi atakao uandika sasa
True ..a toddler...angalia his preious thread ya tz army...ati kinasema tz army number moja africa mzima[emoji23][emoji23] hata kenyan army is strong lakini we know we are not no 1 in africa ..eish kitoto ...kinahitaji ass whoopinginaonekana jamaa ni mtoto kwani ana akili ya kitoto sana...
πππππTrue ..a toddler...angalia his preious thread ya tz army...ati kinasema tz army number moja africa mzima[emoji23][emoji23] hata kenyan army is strong lakini we know we are not no 1 in africa ..eish kitoto ...kinahitaji ass whooping
Hahahah sasa mkuu wew si ndo umeanza kuchangia sasa watu gani waliokosa.????Maajabu ya nchi yangu thread kama hz znakosa wachangiaji
Ni hatua nzuri na ya kupongezwa