Kiwanda kikubwa cha kisasa cha vigae(Tiles) chazinduliwa Tanzania -East Africa

Nataka midomo yao izibe kisha tuheshimiane.
My friend! sisi kama wakenya huwa hatutishwi na vita za kombamwiko. Hapo tulishaa pita, hivyo vigae itabidi muvitafutie soko kwingineko. Na bado huko tutawafuata tu kwa ajili ya kung'ang'ania soko. Hapa twaongelea mambo na uzalishaji bali sio ujenzi tuu. Hebu fuatilia hii video.
 

Attachments

Hiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.
 
Sijui kwa nini kila tukianzisha kitu kipya tunaingiza Kenya kama reference. Why not South Africa. Kenya ni majirani zetu wala hatuwezi kuwaonea gere, our level is SA, Malaysia, Singapore etc. Kuanzia leo ni marufuku kujilinganisha na Kenya
Point, tusilinganishe na nchi masikini wenzatu kama Kenya, tujifunze kwa waliofanikiwa kama vile Norway, RSA na Malaysia
 
Hiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.
Wakati unasema old, umechukuwa wasaa kujua kiliasisiwa lini? Nani kakwambia sii za kisasa? Usipotoshe umma kwa kutoa habari isiyo sahihi.
Hiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.
Wakati unasema old, umechukuwa wasaa kujua kiliasisiwa lini? Nani kakwambia sii cha kisasa? Usipotoshe umma kwa kutoa habari zisiyo sahihi. Haijalishi kama ni kubwa au la, hilo ni kwa manufaa yenyu kuuza ile surplus. Lakini hapa hamtauza kwa sababu already tuko na yetu. Na pia ujue licha ya kuwa tushaanza uzalishaji bado upanuzi upo. Angalia hii video
Hiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.

Wakati unasema old, umechukuwa wasaa kujua kiliasisiwa lini? Nani kakwambia sii cha kisasa? Usipotoshe umma kwa kutoa habari zisiyo sahihi. Haijalishi kama ni kubwa au la, hilo ni kwa manufaa yenyu kuuza ile surplus. Lakini hapa hamtauza kwa sababu already tuko na yetu. Na pia ujue licha ya kuwa tushaanza uzalishaji bado upanuzi upo. Angalia hii video
 

Attachments

Mbona unalia lia. Hebu weka sample ya vigae vinavyotenegenzwa na kiwanda chenu. Wewe unaleta matofari. Weka hapa samples ukiongea maneno matupu tutakushangaa.
Je, kinazalisha kiwango gani!?, Vigae aina gani kinazalisha?
Hiki cha bongo kinazalisha tiles kiwango cha kimataifa.
 
Point, tusilinganishe na nchi masikini wenzatu kama Kenya, tujifunze kwa waliofanikiwa kama vile Norway, RSA na Malaysia
Kenya's per capita income is twice that of Tanzania na huyu mpumbavu matako anasema mambo haya ya kizumbukuku kiasi hiki.....i blame your mother for opening her legs to your father and your education system as well...
 
yaani wewe ukilala, ukiamka Kenya iko kwa kichwa chako....sawa mmeshinda Watanzania....mbona unapenda sana kulinganisha? wani shangaza sana...ndio maana ukaleta habari ya tanzania kwa jukwaa la Kenya News...
 
haya mambo ndo twataka kusikia sio kila siku kukimbizana na wapinzani kama mbwa na pimbi porini
 
Mkuu waache wataanzisha sredi ya kujisifu na SGR yao inayotumia makaa ya mawe maana ndo ndoto ya maisha yao[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
yaani wewe ukilala, ukiamka Kenya iko kwa kichwa chako....sawa mmeshinda Watanzania....mbona unapenda sana kulinganisha? wani shangaza sana...ndio maana ukaleta habari ya tanzania kwa jukwaa la Kenya News...
Wachana na annael ..hiki kitoto cha shule ambacho kimejua leo kuhusu nchi yake na sasa kinathani tanzania ndo superpower ...childish comparisons na tena hakijui ku argue like great tz members kama geza ama mwanzi1 ..u ask this child a question anarudisha mavi...wacha uone upuzi atakao uandika sasa
 
Mkuu waache wataanzisha sredi ya kujisifu na SGR yao inayotumia makaa ya mawe maana ndo ndoto ya maisha yao[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ati sredi[emoji23][emoji23]sasa hiki kiswahili cha wapi?
 
inaonekana jamaa ni mtoto kwani ana akili ya kitoto sana...
 
Dah!! Nadhani mkuki umegusa kwenye mfupa.
 
inaonekana jamaa ni mtoto kwani ana akili ya kitoto sana...
True ..a toddler...angalia his preious thread ya tz army...ati kinasema tz army number moja africa mzima[emoji23][emoji23] hata kenyan army is strong lakini we know we are not no 1 in africa ..eish kitoto ...kinahitaji ass whooping
 
True ..a toddler...angalia his preious thread ya tz army...ati kinasema tz army number moja africa mzima[emoji23][emoji23] hata kenyan army is strong lakini we know we are not no 1 in africa ..eish kitoto ...kinahitaji ass whooping
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Maajabu ya nchi yangu thread kama hz znakosa wachangiaji

Ni hatua nzuri na ya kupongezwa
Hahahah sasa mkuu wew si ndo umeanza kuchangia sasa watu gani waliokosa.????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…