Kiwango cha rushwa kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa ni aibu na najisi kwa demokrasia na upinzani wa Tanzania kwa ujumla

Naomba kanusho la kitaalam kuhusu pesa za Abdul na mama yake.....

Tuanze hapo
 
Naomba kanusho la kitaalam kuhusu pesa za Abdul na mama yake.....

Tuanze hapo
ni muhimu zaidi kujikita kwenye hoja mahususi mezani, bila kuhamisha magoli kisayansi na kisanii gentleman,

rushwa bado inaendelea kufanyika kwenye ukumbi wa mlimani City unapofanyika uchaguzi wa Chadema πŸ’
 
Gentleman,
Kiwango cha Rushwa iliotolewa mlimani City kwenye uchaguzi wa Chadema Taifa, haijawahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru πŸ’
Wacha upambe usio na manufaa ta muda mrefu. Mwenzio nilishafanya kuliko wewe na nimeona faida na hasara zake ila hasara ni nyingi kuliko faida
 
Wacha upambe usio na manufaa ta muda mrefu. Mwenzio nilishafanya kuliko wewe na nimeona faida na hasara zake ila hasara ni nyingi kuliko faida
Gentleman,
mie naelezea ukweli sio ushirikiana unaoufanya πŸ’
 
Gentleman,
rushwa ni adui wa haki, sifahamu utaeleza nini baada ya walioshindwa uchaguzi wa Chadema wakianza kuporomosha mayowe kuhusu rushwa,

sifahamu utakua unajionea kinyaa kwa kiwango gani gentleman πŸ’
Si mnasema mama amepambana na rushwa na ameimaliza kabisa? Hao TAKUKURU kwa nini wako kimya?
 
Serikali dhaifu yenye TAKUKURU? Ya Samia msikivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…