Kiwango cha ujinga cha viongozi wa CCM, mashabiki wao, na raia kwa ujumla, kinatisha!

Kiwango cha ujinga cha viongozi wa CCM, mashabiki wao, na raia kwa ujumla, kinatisha!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
 
Eti Kinana naye kabisa ni wa kusema kuwa CDM wamepewa ruzuku na Samia!!??
Kweli kabisa hii ni stupidity of the highest level.
Sasa mwananchi wa kawaida si atakuwa mara 1000 ya huyo!!??
Cha kustaajabisha zaidi, Rais naye huwa hawarekebishi hawa chawa wake.

Jambo linaloashiria kuwa hata yeye ni mulemule tu.

Sad state of affairs.
 
Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Duh...!, ma ukweli mengine kama haya, ni ukweli mchungu!, very bitter to swallow ila ndio ukweli!
P
 
Ukiwasikikiza chawa wa Samia, ni kana kwamba kila kitu kinamilikiwa na Samia, kila kitu ni fadhila na hisani yake.

Si ajabu katika akili zao wanaamini kabisa kuwa Samia anayamiliki hata yale majengo ya ikulu ya Dar es Salaam na Dodoma.

Si ajabu pia wanaamini kwa dhati kabisa zile gari apandazo Samia ni za kwake binafsi.

Sasa kama rudimentary knowledge ya mambo ni mgogoro, je kwa mambo yaliyo changamani hali ikoje?
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
cc: FaizaFoxy
 
Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.
Rais wa Tz ana madaraka makubwa mno, hata hizo hisani anaweza kuziminya tu na mambo yakaendelea kama kawaida tu(rejea katazo la JPM kuzuia mikutano ya kisiasa).

Ukifahamu hilo utawaelewa hao unaowaponda.
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Msingi wa utumwa umejengeka kwenye akili ya mtumwa mwenyewe.
Matatizo na umasikini wa nchi unasababishwa zaidi na fikra za wananchi na viongozi wao wenyewe (mababeru au wanyonyaji husingiziwa tu).
 
This is the wrong mindset and approach..
Tusipoamua kujichanganua nchi haiwezi kubadilika kwa lolote.
Nchi hii kuanzia waziri mkuu ni chawa hajitambua, hawezi kuongea kitu kama kiongozi aliyepo kisheria bali kama vile uwaziri mkuu ni hisani.

Kila kitu akitamka lazima antamke rais
 
Back
Top Bottom