Kiwango cha ujinga cha viongozi wa CCM, mashabiki wao, na raia kwa ujumla, kinatisha!

Kiwango cha ujinga cha viongozi wa CCM, mashabiki wao, na raia kwa ujumla, kinatisha!

Rais ni mwajiriwa wetu.. Rais si mungu.. Hivyo vyote si mali yake binafsi ni vya wananchi wenye nchi! Kama kafanya kafanya kwa mujibu wa katiba na si hisani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo unalolisema nusu na robo ya watanzania hawalijui, hawajui kuwa they have power to remove the president from the office when he/she goes against their will.
Ni CCM ndio imetengeneza hii hali kwa manufaa yao na si kwaajili ya majority ya watanzania. Tuamke
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Ujinga wako ndio mzigo zaidi Kwa Nchi
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Habari hizi zimfikie Chawa mwandamizi FaizaFoxy
 
Nyundo imetua kwenye msumari, kichwani.
Ila kuhusu ujinga, ni UKINGA ULIOPITILIZA. Inatisha. Mjinga analetewa jambo la kijinga sana na analishabikia kuhusu mjomga yile aloleta. Ni mjinga zaidi. Zuzu haswaa.
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Mkuu umeongea ukweli mtupu. Ila hii ignorance na stupidity ilianzia awamu ya 5. Nashangaa kila kinachofanywa na serikali utasikia rais katoa hela. Yani hadi madaktari wakitibu mgonjwa akipona sifa zinaenda kwa rais.
Hayati Mkapa alishalisemea hii ignorance na stupidity wakati wa serikali ya awamu ya 5 lakini bado ngoma ni ile ile.
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Upo sahihi kabisa, ndiyo maana Mwalim JK Nyerere alisema hivi "Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana JEURI na wenye KUJIAMIN, si vijana waoga akina "NDIYO BWANA MKUBWA" Vijana wenye ujasiri wa kuhoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshahibiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania".

Leo hii unakuta kuna vijana wa hovyo hovyo tu., malaya malaya tu. Unafiki, Njaa na Ubinafsi upo mbele kama tai., ukishampa tu kitu kidogo tayari unamtoa utimamu na kuwa mtu wa hovyo kabisa.
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Tena mjinga wa kwanza ni wewe uliyekuwa unatetea ukatili wa magufuli humu.

Kipindi cha msukuma mwenzako ulikuwa unamtetea humu kila siku. Saivi hayupo ndo unaponda CCM kuna ujinga. Wewe ni mbaguzi tu na kila siku hoja zako zinaangalia nani yupo upande wako. Tunaokujua hutusumbui humu
 
Wakati wa udogo wangu sikujua kama mchele unalimwa kama yalivyo mahidi, maharage, kunde nk na hata baada ya kusoma vitabu mbalimbali vya jiografia bado sikuamini, na hili lilichangiwa na jiografia ya sehemu ninayoishi mchele ilikuwa ni nadra sana kuuona hata madukani hakuna, ilikuwa ni chakula ya watu flani flani.Mleta mada bado ana akili ya kitoto.
 
Eti Kinana naye kabisa ni wa kusema kuwa CDM wamepewa ruzuku na Samia!!??
Kweli kabisa hii ni stupidity of the highest level.
Sasa mwananchi wa kawaida si atakuwa mara 1000 ya huyo!!??
Labda wanalazishwa kfanya mikutano ndio maana
 
Naomba kuongeza Kwa picha tu
20230604_124446.jpg
20220523_134007.jpg
20220222_123657.jpg
20220223_025729.jpg
 
Back
Top Bottom