Kiwango cha ujinga cha viongozi wa CCM, mashabiki wao, na raia kwa ujumla, kinatisha!

Kiwango cha ujinga cha viongozi wa CCM, mashabiki wao, na raia kwa ujumla, kinatisha!

Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Hiyo mifumo ya katiba na Bunge la Westminster si yetu.

Tumepandikiziwa tu hivi karibuni.

Hatuja i internalize.

Ni kama mtu anayefanya mtihani kwa ku cram, haelewi somo.

Si CCM tu, all across the board.

Kuna wakati nilikuwa nafanya mazungumzo na wanasiasa fulani. Akaja jamaa mmoja kiongozi wa CHADEMA, akawa anaelezea mambo ya CHADEMA.

Sasa, jamaa mmoja akamuuliza yule kiongozi wa CHADEMA, hivii, katika mirengo ya kisiasa, CHADEMA inasimama wapi? Iko left, right, center? Ni chama cha wafanyakazi? Mabwanyenye? Conservatives? Labor? Chama kipo wapi kimrengo? Ideology yake ni ipi?

Yule kiongozi wa CHADEMA alishindwa kujibu. Mpaka Godbless Lema akaingilia na kuokoa jahazi.

So, hata haya mambo ya vyama tumegeza tu. Waingereza na wazungu wenzetu walipitia stages zile za feudalism, industrial revolution, class differences and struggle, wakapata mifumo ambayo ina uhalisia kwenye siasa zao.

Sisi tumeiga tu. Ndiyo maana hata hayo mambo ya ideology yanaonekana ni ya kidhahania zaidi na watu hawayajui.

Ndiyo maana hata elimu ya uraia na katiba ni ndogo. Watu wamezoea machifu wanagawa largesse.

Ndiyo maana watu wanaona Samia anagawa hela, analeta maendeleo.

Ni kama mtu anajua kucheza soka, unampeleka kucheza tennis.

Hata sheria za tennis hazijui!
 
Sisi tumeiga tu. Ndiyo maana hata hayo mambo ya ideology yanaonekana ni ya kidhahania zaidi na watu hawayajui.
Kama ndiyo hivyo, mbona mnatulazimisha Masuala ya demokrasia za kimarekani? Mbona siwaelewi?
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
kuna mkutano mmoja niliuona kwenye tv, wanavyotetea dp world, kweli kabisa, kiwango ni cha hali ya juu sana, ni aibu ya kutisha. though namheshimu Kinana, kati ya Wanaccm wote, hata akiongea porojo unaona zina akili ila wengine, msando, jerry slaa na wengine, kweli kabisa wanatia aibu.
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Hata mim naona ujinga mkubwa
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Tunasahau sana ata miaka mitatu bado haijapita.

Katiba na sheria vyote vilikuwepo na mikutano ya hadhara haikufanyika, leo hata mwaka 1 bado hujakamilika watu mameshaanza kusahau.

Utashi wa Rais tu pekee ndo unalea hayo maridhiano na si vinginevyo. Kubeza na kutumia lugha zisizofaa ni kusahau tulikotoka na nikujitoa akili.
 
Hiyo mifumo ya katiba na Bunge la Westminster si yetu.

Tumepandikiziwa tu hivi karibuni.

Hatuja i internalize.

Ni kama mtu anayefanya mtihani kwa ku cram, haelewi somo.

Si CCM tu, all across the board.

Kuna wakati nilikuwa nafanya mazungumzo na wanasiasa fulani. Akaja jamaa mmoja kiongozi wa CHADEMA, akawa anaelezea mambo ya CHADEMA.

Sasa, jamaa mmoja akamuuliza yule kiongozi wa CHADEMA, hivii, katika mirengo ya kisiasa, CHADEMA inasimama wapi? Iko left, right, center? Ni chama cha wafanyakazi? Mabwanyenye? Conservatives? Labor? Chama kipo wapi kimrengo? Ideology yake ni ipi?

Yule kiongozi wa CHADEMA alishindwa kujibu. Mpaka Godbless Lema akaingilia na kuokoa jahazi.

So, hata haya mambo ya vyama tumegeza tu. Waingereza na wazungu wenzetu walipitia stages zile za feudalism, industrial revolution, class differences and struggle, wakapata mifumo ambayo ina uhalisia kwenye siasa zao.

Sisi tumeiga tu. Ndiyo maana hata hayo mambo ya ideology yanaonekana ni ya kidhahania zaidi na watu hawayajui.

Ndiyo maana hata elimu ya uraia na katiba ni ndogo. Watu wamezoea machifu wanagawa largesse.

Ndiyo maana watu wanaona Samia anagawa hela, analeta maendeleo.

Ni kama mtu anajua kucheza soka, unampeleka kucheza tennis.

Hata sheria za tennis hazijui!
Sawa, sisi tumeiga hii mifumo.

Lakini tuna advantage moja kubwa sana.

Tuna blueprint tayari. Hatujifunzi mbele ya safari kwa kadri tuendavyo.

Wenzetu hao walikuwa wanajifunza kwa kadri waendavyo. Sisi tuna uwezo wa kuzitarajia pitfalls kutokana na kuona wao walijikwaa wapi.

Hatubuni chochote kilicho kipya.

Sasa hata suala dogo la kuiga linatushinda! Sisi ni watu wa aina gani?

It’s very alarming and disheartening kuona viongozi wa juu kitaifa wakitoa kauli za kijinga kuliko maelezo ambazo hazitofautiani na za mtu ambaye hana elimu na ufahamu.

These people are the ones who should know better.

Na kiukweli hata Rais mwenyewe anaamini kwamba yeye ndo kila kitu na ndo maana na yeye alikataza mikutano ya kisiasa kisa kwamba anataka kushughulikia uchumi kwanza [jambo ambalo ni kinyume na katiba].

Halafu baadaye eti akaja kuiruhusu hiyo mikutano ya kisiasa ilhali hakuwa na hayo mamlaka ya kuikataza.

Tuna udikteta ulio dormant ambao unawezeshwa na ujinga wa jamii nzima.
 
Ukiendekeza njaa unakuwa mjinga.
Usiombe ukaongozwa na mjinga mwenye njaa.
 
Nchi haiendeshwi kwa kubembelezana ukijifanya kufuata sana sheria sijui taratibu utachelewa sana.
Ndio maana Tanzania imepata maendeleo haya makubwa kwa kipindi hiki cha miaka sitini chini ya ccm. Hili lichama ni laana
 
Wanaojisifu/Wanaojiona wana akili huwa na matatizo zaidi......

1. Hawaelewi; kamwe hawaoni hoja ya mwingine kwakuwa wanaamini wao ndo kila kitu.
2. Wako biased sana kwa kuegemea upande waliochagua.

Mi nikiona mtu anajisifu akili tu basi najua 'hakuna kitu hapo'
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Viongozi wa Tanzania ukiwaona wamevaa suti, unaweza kudhani kuwa ni watu wenye akili timamu, wana busara na hekima, na ni wakweli na waungwana. Lakini usikie wanachobwabwaja mdomoni, utakata tamaa. Mpaka unajiuliza kama kwa Tanzania mtu kuwa kiongozi, anatafutwa mtu mpumbavu, mnafiki, mwongo na laghai.

Ukifuatilia maisha na matendo yao, ndiyo utakata tamaa kabisa. Yaani majitu majizi, yaliyokosa heshima na staha, huku yakifanya uchafu wa kila aina, ndiyo yameshika uongozi, na yamepewa uhuru wa kuiba na kufisadi kama yatakavyo.

Halafu majitu haya yaliyojaa uovu, ndiyo yakawakaripia na kywakomoa watu wenye akili, wazalendo na wakweli wa nafsi.
 
Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.
Tumshukuru Rais Samia kuweka sawa mambo haya. Maana Rais wako aliyepita hakutaka kusikia hata kama ni takwa la kisrheria na katiba na wala sio hisani kama unavyosema.

Kama mambo yalikuwa Mazuri kwa Jpm na mlimshabikia.sasa kwanini mambo hayo hayo yaonekane mabaya kwa Rais Samia?

Vumilieni tu. Mnavuna mlichopanda.
 
kuna siku watamshukuru raisi kwa mvua zinazonyesha
Kuna watu ni wapumbavu hasa. Hata wakienda chooni, bila shaka wanamshukuru Rais kwa kuwawezesha kwenda kujisaidia. Maana asingekuwa Rais, wasingejisikia kwenda haja.
 
Ujinga ulianza na Magufuli. Neno tunamshukuru Rais kutoa hela za ujenzi wa nini sijui. Total ujinga sana.
 
Eti Kinana naye kabisa ni wa kusema kuwa CDM wamepewa ruzuku na Samia?

Kweli kabisa hii ni stupidity of the highest level.

Sasa mwananchi wa kawaida si atakuwa mara 1000 ya huyo?
Hawana pa kushikia sasa hivi wanahangaika mno. unajiuliza haupati jibu. Sasa hivi wamekuja na kauli ya mama anatukanwa.
 
Kichwa cha mada kinajielezea.

Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].

Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.

Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.

Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.

Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.

Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.

Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?

Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.

Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.

Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.

Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.

Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Nay kaimba kuwa Viongozi wa nchi hii ni Panyaroad waliovaa suti, sasa ukitaka kujua akili ya hawa viongozi mtazame panyaroad halafu imagine amevaa suti basi jibu utapata.
 
Viongozi wa Tanzania ukiwaona wamevaa suti, unaweza kudhani kuwa ni watu wenye akili timamu, wana busara na hekima, na ni wakweli na waungwana. Lakini usikie wanachobwabwaja mdomoni, utakata tamaa. Mpaka unajiuliza kama kwa Tanzania mtu kuwa kiongozi, anatafutwa mtu mpumbavu, mnafiki, mwongo na laghai.

Ukifuatilia maisha na matendo yao, ndiyo utakata tamaa kabisa. Yaani majitu majizi, yaliyokosa heshima na staha, huku yakifanya uchafu wa kila aina, ndiyo yameshika uongozi, na yamepewa uhuru wa kuiba na kufisadi kama yatakavyo.

Halafu majitu haya yaliyojaa uovu, ndiyo yakawakaripia na kywakomoa watu wenye akili, wazalendo na wakweli wa nafsi.
Viongozi huakisi na kuwakilisha sehemu kubwa ya jamii yao.
 
Kama mtu ni mpumbavu hata ukifuta ujinga wake haitasaidia kitu.

Amandla..
IMG_4613.jpeg
 
Kuna watu ni wapumbavu hasa. Hata wakienda chooni, bila shaka wanamshukuru Rais kwa kuwawezesha kwenda kujisaidia. Maana asingekuwa Rais, wasingejisikia kwenda haja.
ujinga ni janga kwa taifa letu mkuu. Na inasikitisha vijana kwa watu wazima wote mameamua kua machawa
 
Back
Top Bottom