Plot4Sale Kiwanja kinauzwa 70 kwa 70 Kigamboni Mwembe Mdogo

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa 70 kwa 70 Kigamboni Mwembe Mdogo

Dada hii biashara ni ngumu sana.
Mimi ni dalali naongea kitu najua.

Wazinguaji wengi kuliko wanunuaji
Umeona eeh Kuna baadhi ya watu wana umasiki wa mawazo ukitangaza biashara wanakuja kuijambia, ukimsachi hata mia mfukoni kitendawili kazi yao kutwa kucha wako JF kuchafua page za watu ili WATU wasiuze vitu vyao sijui wanapata nini mtu akikosa wateja,dizaini ya ulozi na ushamba kimtindo mtu mwenye roho hii akifikisha umri wa 45 100% lazima awe mlozi au mwanga mchawi japokua takwimu zinaonyesha walozi wengi ni wanawake ukilinganisha na wanaume chakushanga hapa JF ni kinyume chake mtu msomi mweye upeo awezi fanya ujinga huu hata kidogo.
 
Kuna maji yanatuama hapo
Utakua mwanga nini umefika ukakuta maji yametuama au umeona maji hapo kwenye picha na hata kama unashangaa maji kutuama kwenye kiwanja utakua mwehu nini kwani kiwanja kiko juu mawinguni? kua na adabu ficha ujinga wako hapa Duniani sehemu gani maji ayatuami? Hawa watu sijui wametoka kijiji gani sio kwa uchawi huu duh nashanga ungozi wa JF kama watawakalia kimya mkandeleza ujinga wenu hapa mnaenda kufukuza watu hapa mnapageuza kijiwe cha majungu na sehemu ya kukutana wachawi patapoteza credibility hii sio tabia ya kufumbia macho na huu ujinga umeanza siku hizi
 
Mwembe mdogo huko mlishamaliza migogoro yenu na wapimaji ardhi?
Ungozi wa JF NAOMBA pigeni ban hawa watu wanahujumu biashara za watu badala ya kuwakalia kimya waendelea kuchafua page za watu makusudi mazima kwania ovu.

sijui wanalipwa na nani mtu anawezaje kuweka bando kila siku yuko hapa kuchafua page zawatu ili wasiuze vitu vyao, hata wanunuzi watakao wasikiliza na kushindwa kununua watakua sio wanunuzi uwezi kusiliza majungu ya watu hawa.

Nitalifikisha kwenye ungozi wa jf mtu yoyote atakaye comment uzushi kwenye page hii ban inamhusu huu ujinga utokomezwe hapa watu watangaze bidhaa zao bila shida
 
Utakua mwanga nini umefika ukakuta maji yametuama au umeona maji hapo kwenye picha na hata kama unashangaa maji kutuama kwenye kiwanja utakua mwehu kwani kiwanja kiko juu mawinguni? kua na adabu ficha ujinga wako hapa Dunia sehemu gani maji ayatuami?


Wewe usitukane wateja wako
Huyo pengine alikuwa anauliza akasahau kuweka???
Pengine ni mtu ana hela ushampoteza

Kabla ya kujibu Kwa mihemko na hasira..
Muelewe mteja..
Utakua mwanga nini umefika ukakuta maji yametuama au umeona maji hapo kwenye picha na hata kama unashangaa maji kutuama kwenye kiwanja utakua mwehu nini kwani kiwanja kiko juu mawinguni? kua na adabu ficha ujinga wako hapa Duniani sehemu gani maji ayatuami? Hawa watu sijui wametoka kijiji gani sio kwa uchawi huu duh nashanga ungozi wa JF kama watawakalia kimya mkandeleza ujinga wenu hapa mnaenda kufukuza watu hapa mnapageuza kijiwe cha majungu na sehemu ya kukutana wachawi patapoteza credibility hii sio tabia ya kufumbia macho na huu ujinga umeanza siku hizi


Wewe Una shida sana tena kubwa
Unatukana potential customers?
What if alikuwa anauliza?
Watu wengi humu huuliza swali Kwa kusahau kuweka kiulizo ??.
What if alikuwa anaongea uzoefu wake Kwa picha alivyoiona?

Kwani kama maji yanatuama ndo hutapata wateja?

Wapo watu wengi wanatafuta viwanja maeneo ya maji au mabonde kabisa..
Wengine wanataka urahisi wa kuchimba visima..wengine wanataka kujenga mabwawa ya samaki...wengine wanapenda Tu kiwanja cha slope wapate view nzuri..

Wewe unajibu mteja Kwa matusi..??
 
Naomba uniondolee ugoro kwenye page yangu.
Wewe usitukane wateja wako
Huyo pengine alikuwa anauliza akasahau kuweka???
Pengine ni mtu ana hela ushampoteza

Kabla ya kujibu Kwa mihemko na hasira..
Muelewe mteja..


Wewe Una shida sana tena kubwa
Unatukana potential customers?
What if alikuwa anauliza?
Watu wengi humu huuliza swali Kwa kusahau kuweka kiulizo ??.
What if alikuwa anaongea uzoefu wake Kwa picha alivyoiona?

Kwani kama maji yanatuama ndo hutapata wateja?

Wapo watu wengi wanatafuta viwanja maeneo ya maji au mabonde kabisa..
Wengine wanataka urahisi wa kuchimba visima..wengine wanataka kujenga mabwawa ya samaki...wengine wanapenda Tu kiwanja cha slope wapate view nzuri..

Wewe unajibu mteja Kwa matusi..?
 
Wewe usitukane wateja wako
Huyo pengine alikuwa anauliza akasahau kuweka???
Pengine ni mtu ana hela ushampoteza

Kabla ya kujibu Kwa mihemko na hasira..
Muelewe mteja..


Wewe Una shida sana tena kubwa
Unatukana potential customers?
What if alikuwa anauliza?
Watu wengi humu huuliza swali Kwa kusahau kuweka kiulizo ??.
What if alikuwa anaongea uzoefu wake Kwa picha alivyoiona?

Kwani kama maji yanatuama ndo hutapata wateja?

Wapo watu wengi wanatafuta viwanja maeneo ya maji au mabonde kabisa..
Wengine wanataka urahisi wa kuchimba visima..wengine wanataka kujenga mabwawa ya samaki...wengine wanapenda Tu kiwanja cha slope wapate view nzuri..

Wewe unajibu mteja Kwa matusi..??
Niondole ugoro kwenye page yangu
 
Naomba uniondolee ugoro kwenye page yangu.

Kwa majibu yako hayo mkuu, sijui kama kuna mteja atawezana na wewe!
Aisee hutopata mteja kwa style yako hiyo...!!
Na ulishaleta tena uzi wa hicho kiwanja huku, kikabuma! Jitafakari...
 
Be polite, porish your business.
Kumbuka Kimya ni jibu nzuri wakati wote!!!
Unanishauri nikubali utamaduni ya wa kichawi tene kwenye pablic niukubali na kuishi nao kama sehemu ya JF watu weusi tunakua watu waajabu sana TUNAKUA MAMBO MEUSI badalada ukemee upumbavu huu unakuja na kuunga mkono upumbavu na utamaduni wa kilozi kabisaa uko sawa?
 
Utakua mwanga nini umefika ukakuta maji yametuama au umeona maji hapo kwenye picha na hata kama unashangaa maji kutuama kwenye kiwanja utakua mwehu nini kwani kiwanja kiko juu mawinguni? kua na adabu ficha ujinga wako hapa Duniani sehemu gani maji ayatuami? Hawa watu sijui wametoka kijiji gani sio kwa uchawi huu duh nashanga ungozi wa JF kama watawakalia kimya mkandeleza ujinga wenu hapa mnaenda kufukuza watu hapa mnapageuza kijiwe cha majungu na sehemu ya kukutana wachawi patapoteza credibility hii sio tabia ya kufumbia macho na huu ujinga umeanza siku hizi
Kuna maji kweli?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ungozi wa JF NAOMBA pigeni ban hawa watu wanahujumu biashara za watu badala ya kuwakalia kimya waendelea kuchafua page za watu makusudi mazima kwania ovu.

sijui wanalipwa na nani mtu anawezaje kuweka bando kila siku yuko hapa kuchafua page zawatu ili wasiuze vitu vyao, hata wanunuzi watakao wasikiliza na kushindwa kununua watakua sio wanunuzi uwezi kusiliza majungu ya watu hawa.

Nitalifikisha kwenye ungozi wa jf mtu yoyote atakaye comment uzushi kwenye page hii ban inamhusu huu ujinga utokomezwe hapa watu watangaze bidhaa zao bila shida
Kuna maji ???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom