Wewe labda ni mgeni wa JamiiForums..
Hili ni jukwaa huru la watu kuwakilisha walichonacho kama ambavyo wewe umetumia uhuru huo kuweka biashara yako hapa...
Hakuna moderator atayenipiga ban kisa nimekuuliza swali legit kabisa...
Huko K'mboni maeneo uliyotaja hayo Mwembe Mdogo, Malimbika, Vumilia Ukoo n.k kumekuwa na migogoro sugu baina ya wananchi, halmashauri na hao wapimaji kiasi kwamba viwanja vingi havipo kwenye ramani za ardhi...
Sasa wewe kuulizwa swali kidogo tu wageuka mbogo badala ya kutoa ufafanuzi ili wanunuzi uwatoe shaka