Plot4Sale Kiwanja kinauzwa 70 kwa 70 Kigamboni Mwembe Mdogo

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa 70 kwa 70 Kigamboni Mwembe Mdogo

Utakua mwanga nini umefika ukakuta maji yametuama au umeona maji hapo kwenye picha na hata kama unashangaa maji kutuama kwenye kiwanja utakua mwehu nini kwani kiwanja kiko juu mawinguni? kua na adabu ficha ujinga wako hapa Duniani sehemu gani maji ayatuami? Hawa watu sijui wametoka kijiji gani sio kwa uchawi huu duh nashanga ungozi wa JF kama watawakalia kimya mkandeleza ujinga wenu hapa mnaenda kufukuza watu hapa mnapageuza kijiwe cha majungu na sehemu ya kukutana wachawi patapoteza credibility hii sio tabia ya kufumbia macho na huu ujinga umeanza siku hizi
We jamaa si muuzaji wa kiwanja. Si kwa lugha hii unayoitumia. Kila la heri kwenye hiyo mission yako nyingine. Hii naona imebuma humu.
 
Kuna maji kweli?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa jamaa ni wazushi sana ujue nini unapotangaza biashara unatafuta rizik wengine tumekwama mambo chungu mzima alafu anakuja mtu anatoka kusikojulika nakulete uzushi kwenye tangazo lako sio utani mzuri kabisa nitabia fulani za kichawi huu ndio uchawi kuna watu wanauliza uchawi nini waje hapa wajione aswaaa tena huu uko advanced!!

uwezi jua mtu anauza kitu chake kwasabu zipi au magumu gani anayapitia alafu mtu anakuja kwenye page yako na akili flani za kiuchawi anatisha watu wenye nia ya kununua biashara zako wasinunue, sio kwamba anakujua labda useme unaongovi nae hapana yeye furaha yake ukwame tu ufeli mazima uteseke ukose riziki ufe njaa na familia yako yeye atafurahi sana unajiulia wewe ungekua Mungu ngawa riziki ungeua wangapi??
 
Utakua mwanga nini umefika ukakuta maji yametuama au umeona maji hapo kwenye picha na hata kama unashangaa maji kutuama kwenye kiwanja utakua mwehu nini kwani kiwanja kiko juu mawinguni? kua na adabu ficha ujinga wako hapa Duniani sehemu gani maji ayatuami? Hawa watu sijui wametoka kijiji gani sio kwa uchawi huu duh nashanga ungozi wa JF kama watawakalia kimya mkandeleza ujinga wenu hapa mnaenda kufukuza watu hapa mnapageuza kijiwe cha majungu na sehemu ya kukutana wachawi patapoteza credibility hii sio tabia ya kufumbia macho na huu ujinga umeanza siku hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe usitukane wateja wako
Huyo pengine alikuwa anauliza akasahau kuweka???
Pengine ni mtu ana hela ushampoteza

Kabla ya kujibu Kwa mihemko na hasira..
Muelewe mteja..


Wewe Una shida sana tena kubwa
Unatukana potential customers?
What if alikuwa anauliza?
Watu wengi humu huuliza swali Kwa kusahau kuweka kiulizo ??.
What if alikuwa anaongea uzoefu wake Kwa picha alivyoiona?

Kwani kama maji yanatuama ndo hutapata wateja?

Wapo watu wengi wanatafuta viwanja maeneo ya maji au mabonde kabisa..
Wengine wanataka urahisi wa kuchimba visima..wengine wanataka kujenga mabwawa ya samaki...wengine wanapenda Tu kiwanja cha slope wapate view nzuri..

Wewe unajibu mteja Kwa matusi..??
Ha ha ha huyu kuna nati imelegea kichwani[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu usihofu wateja watakuja tu. Tatizo awamu hii imekaa kiugumu sana maana purchasing power ya watu iko chini sana
Purchasing Power ianakuzuia nini kufungua Thread yako utangaze heka zako nne mbona mnapasua
 
Wewe labda ni mgeni wa JamiiForums..

Hili ni jukwaa huru la watu kuwakilisha walichonacho kama ambavyo wewe umetumia uhuru huo kuweka biashara yako hapa...

Hakuna moderator atayenipiga ban kisa nimekuuliza swali legit kabisa...

Huko K'mboni maeneo uliyotaja hayo Mwembe Mdogo, Malimbika, Vumilia Ukoo n.k kumekuwa na migogoro sugu baina ya wananchi, halmashauri na hao wapimaji kiasi kwamba viwanja vingi havipo kwenye ramani za ardhi...

Sasa wewe kuulizwa swali kidogo tu wageuka mbogo badala ya kutoa ufafanuzi ili wanunuzi uwatoe shaka
Ungozi wa JF NAOMBA pigeni ban hawa watu wanahujumu biashara za watu badala ya kuwakalia kimya waendelea kuchafua page za watu makusudi mazima kwania ovu.

sijui wanalipwa na nani mtu anawezaje kuweka bando kila siku yuko hapa kuchafua page zawatu ili wasiuze vitu vyao, hata wanunuzi watakao wasikiliza na kushindwa kununua watakua sio wanunuzi uwezi kusiliza majungu ya watu hawa.

Nitalifikisha kwenye ungozi wa jf mtu yoyote atakaye comment uzushi kwenye page hii ban inamhusu huu ujinga utokomezwe hapa watu watangaze bidhaa zao bila shida
 
Wewe labda ni mgeni wa JamiiForums..

Hili ni jukwaa huru la watu kuwakilisha walichonacho kama ambavyo wewe umetumia uhuru huo kuweka biashara yako hapa...

Hakuna moderator atayenipiga ban kisa nimekuuliza swali legit kabisa...

Huko K'mboni maeneo uliyotaja hayo Mwembe Mdogo, Malimbika, Vumilia Ukoo n.k kumekuwa na migogoro sugu baina ya wananchi, halmashauri na hao wapimaji kiasi kwamba viwanja vingi havipo kwenye ramani za ardhi...

Sasa wewe kuulizwa swali kidogo tu wageuka mbogo badala ya kutoa ufafanuzi ili wanunuzi uwatoe shaka
Sina muda wakupoteza kujibizana na wewe, endelea kufuga majini na kuuza matunguli hapa JF tuone mwisho wa siku utapata nini?
 
Kwa Kigamboni ni vema ununue eneo kipindi cha mvua. Hilo eneo kwa utaalam wangu wa hizo nyasi sitasema sana.
 
Wewe labda ni mgeni wa JamiiForums..

Hili ni jukwaa huru la watu kuwakilisha walichonacho kama ambavyo wewe umetumia uhuru huo kuweka biashara yako hapa...

Hakuna moderator atayenipiga ban kisa nimekuuliza swali legit kabisa...

Huko K'mboni maeneo uliyotaja hayo Mwembe Mdogo, Malimbika, Vumilia Ukoo n.k kumekuwa na migogoro sugu baina ya wananchi, halmashauri na hao wapimaji kiasi kwamba viwanja vingi havipo kwenye ramani za ardhi...

Sasa wewe kuulizwa swali kidogo tu wageuka mbogo badala ya kutoa ufafanuzi ili wanunuzi uwatoe shaka
Shukrani sana kwa kufungua watu macho. Huo ndiyo ukweli.
 
Utakua mwanga nini umefika ukakuta maji yametuama au umeona maji hapo kwenye picha na hata kama unashangaa maji kutuama kwenye kiwanja utakua mwehu nini kwani kiwanja kiko juu mawinguni? kua na adabu ficha ujinga wako hapa Duniani sehemu gani maji ayatuami? Hawa watu sijui wametoka kijiji gani sio kwa uchawi huu duh nashanga ungozi wa JF kama watawakalia kimya mkandeleza ujinga wenu hapa mnaenda kufukuza watu hapa mnapageuza kijiwe cha majungu na sehemu ya kukutana wachawi patapoteza credibility hii sio tabia ya kufumbia macho na huu ujinga umeanza siku hizi
nimecheka sana kwamba jf imekuwa sehemu ya kukutania wachawi
 
Back
Top Bottom