Plot4Sale Kiwanja kinauzwa 70 kwa 70 Kigamboni Mwembe Mdogo

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa 70 kwa 70 Kigamboni Mwembe Mdogo

Mkuu jamaa ana hasira balaa utahimili matusi yake? Angekuwa karibu nawe hata ngumi ungetandikwa kwa andiko lako hilo

Mkuu jamaa ana hasira balaa utahimili matusi yake? Angekuwa karibu nawe hata ngumi ungetandikwa kwa andiko lako hilo
Anatakiwa afahamu kuwa JF siyo ya akina bongolala. Huku kuna wataalam wa kila namna. Mimi mtaalam wa vegetation hilo eneo sitanunua kwa ujenzi siku za karibuni. Labda ninunue for future use wakishajenga majirani. Awe mpole kabisa maana Watu8 amempa ukweli wote kwa kuwa ni mtaalam wa maeneo mengi Kigamboni na ameyataja kabisa. Hii itasaidia ukifanya kununua unaenda kwanza Manispaa Kigamboni kujiridhisha na majirani pande zote utapata ili wakupe ABC za eneo. Ukitapeliwa siku hizi umeyataka mwenyewe. Mtu wa Mipango Miji siku hizi ni kazi kwa simu tu akiingiza coordinates za eneo akiendakulaza kwa master plan inampa majibu yote. Simple as that. Hivyo mleta mada atulie wataalam wa waliliko eneo watiririke.
 
Anatakiwa afahamu kuwa JF siyo ya akina bongolala. Huku kuna wataalam wa kila namna. Mimi mtaalam wa vegetation hilo eneo sitanunua kwa ujenzi siku za karibuni. Labda ninunue for future use wakishajenga majirani. Awe mpole kabisa maana Watu8 amempa ukweli wote kwa kuwa ni mtaalam wa maeneo mengi Kigamboni na ameyataja kabisa. Hii itasaidia ukifanya kununua unaenda kwanza Manispaa Kigamboni kujiridhisha na majirani pande zote utapata ili wakupe ABC za eneo. Ukitapeliwa siku hizi umeyataka mwenyewe. Mtu wa Mipango Miji siku hizi ni kazi kwa simu tu akiingiza coordinates za eneo akiendakulaza kwa master plan inampa majibu yote. Simple as that. Hivyo mleta mada atulie wataalam wa waliliko eneo watiririke.
Unashindwa kutofautisha kati ya uchawi na utaalam mchawi anafanya harakati zake bila malipo yoyote wala kusomea,Utaalam anafanya kazi kwakulipwa na unasomewa sio kurithi kutoka kwa babu yako au bibi yako,
 
Unashindwa kutofautisha kati ya uchawi na utaalam mchawi anafanya harakati zake bila malipo yoyote wala kusomea,Utaalam anafanya kazi kwakulipwa na unasomewa sio kurithi kutoka kwa babu yako au bibi yako,
Ndiyo umeshaumbuka. Wachawi wa kweli wamejitokeza kusema ukweli. Long Live. Tulia kwanza. Pesa ya mtu ina thamani na hakuna mwenye kutaka matatizo ya Ardhi. Migogoro mingi ya Ardhi mpaka watu wanapoteza uhai
 
Unashindwa kutofautisha kati ya uchawi na utaalam mchawi anafanya harakati zake bila malipo yoyote wala kusomea,Utaalam anafanya kazi kwakulipwa na unasomewa sio kurithi kutoka kwa babu yako au bibi yako,
Inaonekana una matatizo kichwani sio bure, umeulizwa swali, toa ufafanuzi we unaleta matusi, jaribu kuficha huo ujinga wako. Kama kuna mtu alitaka kuja kununua hilo eneo, lakini kwa hizi lugha hakuna atakayenunua eneo lako, we kachimbe bwawa ufuge kambare bwege we.
 
Ndiyo umeshaumbuka. Wachawi wa kweli wamejitokeza kusema ukweli. Long Live. Tulia kwanza. Pesa ya mtu ina thamani na hakuna mwenye kutaka matatizo ya Ardhi. Migogoro mingi ya Ardhi mpaka watu wanapoteza uhai
Huyo mwenye uzi huu, mwanzoni alipoanzisha uzi wake miezi kadhaa nyuma alijifanya mstaarabu akijibu kwa kauli nzuri wateja. Alipoona watu wanamchalenji juu ya eneo lake akaamua kuanzisha uzi mwingine kisha akajitia ukali kwa wanajukwaa (ingawa nyuzi zake zimeshaunganishwa sasa).

Nafikiri kuna kitu fulani (kuhusu hilo eneo) anajaribu kukificha kupitia huo ukali wake aliojivisha sada. Hataki watu wazungumze hicho kitu.
 
Ndiyo umeshaumbuka. Wachawi wa kweli wamejitokeza kusema ukweli. Long Live. Tulia kwanza. Pesa ya mtu ina thamani na hakuna mwenye kutaka matatizo ya Ardhi. Migogoro mingi ya Ardhi mpaka watu wanapoteza uhai
Umenifurahisha mbona wanunuzi wanapiga simu wanaulizia kuhusu vitisho vyenu vyakupanga mezani mnavyovitengeza kama ni kweli au ni FITINA za kupanga nawajibu kisha tunapanga muda wa kukutana ili waangalie kiwanja, hii mbinu yenu ya kutishia watu wasinunue vitu vya watu imgonga mwamba kwakua nyie ni waatalam mko kazini tafuteni mbinu nyingine mpya ongeza ubunifu,

Waliofikiri wananiniwangia kumbe wanananisaidia kutangaza biashara zangu kila wakati Tangazo langu liko juu linapata viewas wengi ongeza juhudi ikiwezekana zuia hata simu nenda kwenye makampuni ya simu waambie waweke hivi mtu akipiga simu ajibiwe hivi namba unayopiga kiwanja kimejaa maji pia kina migogoro usinunue utapoteza pesa zako msiishie hapa JF tu.
 
Inaonekana una matatizo kichwani sio bure, umeulizwa swali, toa ufafanuzi we unaleta matusi, jaribu kuficha huo ujinga wako. Kama kuna mtu alitaka kuja kununua hilo eneo, lakini kwa hizi lugha hakuna atakayenunua eneo lako, we kachimbe bwawa ufuge kambare bwege we.
Matusi yako wapi bwashee, hapo nimekuelewesha tofaiti ya mchawi na mtaalam wala sijakutukana soma vizuri nionyesha matu yako wapi hapo? wewe ndio unaye nitukana mimi kwakuniita bwege kisa kutanga kiwanja changu sijui unatakaje yaani au litaka nikikate ni kile kama keki?
 
Huyo mwenye uzi huu, mwanzoni alipoanzisha uzi wake miezi kadhaa nyuma alijifanya mstaarabu akijibu kwa kauli nzuri wateja. Alipoona watu wanamchalenji juu ya eneo lake akaamua kuanzisha uzi mwingine kisha akajitia ukali kwa wanajukwaa (ingawa nyuzi zake zimeshaunganishwa sasa).

Nafikiri kuna kitu fulani (kuhusu hilo eneo) anajaribu kukificha kupitia huo ukali wake aliojivisha sada. Hataki watu wazungumze hicho kitu.
Hizi porojo zenu mwanzo zilinichukiza kumbe hazina madhara yoyote badala yake zinaniongezea viewers wengi baadhi yao ni wanunuzi na wanapiga simu endelea kuchanganya mzizi mkifikiri kwamba wanunuzi ni wajinga na vipofu nyie ndio wenye macha na wajuaji wa kila kitu
 
Ivi ule mji wa kisasa wa kigamboni tuliokuwa tunauzungumzia miaka 2013 bado upo au ulibuma, na zile video za city plan
 
Umenifurahisha mbona wanunuzi wanapiga simu wanaulizia kuhusu vitisho vyenu vyakupanga mezani mnavyovitengeza kama ni kweli au ni FITINA za kupanga nawajibu kisha tunapanga muda wa kukutana ili waangalie kiwanja, hii mbinu yenu ya kutishia watu wasinunue vitu vya watu imgonga mwamba kwakua nyie ni waatalam mko kazini tafuteni mbinu nyingine mpya ongeza ubunifu,

Waliofikiri wananiniwangia kumbe wanananisaidia kutangaza biashara zangu kila wakati Tangazo langu liko juu linapata viewas wengi ongeza juhudi ikiwezekana zuia hata simu nenda kwenye makampuni ya simu waambie waweke hivi mtu akipiga simu ajibiwe hivi namba unayopiga kiwanja kimejaa maji pia kina migogoro usinunue utapoteza pesa zako msiishie hapa JF tu.
Hahahaha.
 
Hahahaha.
Umefurahi eeh hii Thread ukipitia vizuri kunakitu utajifunza watu kilasiku wanakuna vichwa na kujiuliza maswali mengi sana ya watu weusi tunakwama wapi mbona atuendi sawa na Dunia kimaendeleo na kitekinology hii thread inamajibu yote unaweza kujionea sample ya baadi ya wachangiaji wametoa majibu bila kuficha na kuonyesha wapi wamewekeza kimkakati hawa ni wachache wenye access ya internet it means mtaani vijijini hali ni mbaya sana ni chuki kukomoana kurudishana nyuma wivu
 
Umejitahidi kuweka taarifa za kujitosheleza ila ningeshauri utumie mita badala ya hatua. Hatua moja kwa mtu b zinaweza zikatoka hatua mbili kwa mtu a kwa hiyo inakua ngumu kidogo kwa mtu wa mbali kuelewa ukubwa halisi wa kiwanja kilichopimwa kwa hatu, ila mita mita/feet ni constant. Kwa hiyo ukitumia mita utakua umemrahisishia zaidi mnunuzi kuelewa.
Wabongo wengi hawajui mita ni nini
 
Back
Top Bottom