Njoo hapa Tips ndio kunaanza kupendeza
Karibu mkuu!😂Live band + live financial service wa jeiefu
Mixer Swmming Pool..ukilewa unazama then unaanza upya na ukilewa hovyo, ukwa unaenda toilet unaweza kupiga mbizi bila kupenda[emoji1787]
Hapo nje, saa sita tu wanafunga! Mambo gani sasa hayo? Hahahh...unakuta kule ndani kumepooa, hamna watu.Wakuu njooni Micasa ubungo kuna live band[emoji95]
Wakuu njooni Micasa ubungo kuna live band[emoji95]
Asante mkuu🤗Karibu mkuu!😂
Nje live band ila huko ndani ni mbambiano tu mwanzo mwisho hadi useme basi mkuulive band tutabambia saa ngapi mkuuu
Live band tumekuwa wazee sisi?..wewe vipi bhana"in Manara's voice"Wakuu njooni Micasa ubungo kuna live band[emoji95]
njoo tabata planet mkuuuu
Tips iko wapi?Njoo hapa Tips ndio kunaanza kupendeza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilienda na mtu yupo tungi anadai ni 3D floor
Nikamwambia akanyage [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, ushafika? Hahahaa....lete tathmini.njoo tabata planet mkuuuu
😂😂Usinifanye nitoke wakati
Nimejiunga na kwaya kanisani last week[emoji23][emoji23]
Kuna The City Band hapo...kuna mdada anaimba sanaUsinifanye nitoke wakati
Nimejiunga na kwaya kanisani last week[emoji23][emoji23]