Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Wewe ni wakala wa shetani
Unakaribia kunivua imani

Wacha nilog out[emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Usijali live band si dhambi bana! Ila Hiyo kwaya uliyojoin upo na kasi sana kila kitu unaona ushetani😂
 
Halafu wahuni wa Manze wote wanacheza Boxing[emoji3037][emoji1787]
Hawaogop wajinga wale nakumbuka kuna day mida ya saa4 napita njia ya kutokea sweet corner wakanibananisha kama kumi hv walibeba kisim changu nliwakomalia wanipe lain wakanpa Lakin ngumi alinpga m1 wao masheikh wametulia tu wanakunywa kahawa ***** zao nliwatukana kimoyomoyo😀😂😂
 
Hawaogop wajinga wale nakumbuka kuna day mida ya saa4 napita njia ya kutokea sweet corner wakanibananisha kama kumi hv walibeba kisim changu nliwakomalia wanipe lain wakanpa Lakin ngumi alinpga m1 wao masheikh wametulia tu wanakunywa kahawa ***** zao nliwatukana kimoyomoyo[emoji3][emoji23][emoji23]
Walikuwa wanawajua hao...[emoji1][emoji1]
 
Ahaa mkuu hapo manzese wahun wengi ukilewa labda muwe wengi kdg ila tofaut na hvy watakufanyia practical ya ukabaj
Hahahaha...Sema kiwanja cha kistaarabu, ndani kuna walinzi...nje unapoingia wanaangalia usalama/kutokuingia na viti vya kudhuru. Ndani pako safe...na pale ni jirani na Barabara (Moro road)
 
Back
Top Bottom