Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Yaani hiyo ni kwaya tu! Je siku umekua born again Christian si utahama sayari wewe[emoji23][emoji23] eti sayari dunia ina dhambi unaenda zako Jupiter [emoji119]

Honestly kuna wakati bata huwa zinagoma
Hasa nikiwa na jambo la kutimiza

Yaani hata nitoke nitakaa tu nawaangalia mnavyokunywa Wala sishiriki, hivyo naona kuliko kukarahisha watu bora kujifungia ndani
Mpaka baada ya miezi kadhaa.
 
Back
Top Bottom