ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kizazi cha nyoka generation ya 3 siku hizi wanaitwa watoto wa 2000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ona mawazo yaotukiwasalimia mnasema tunataka kuwanyima nini,,ebu nyie wazee msituchanganye apa.
kwan uongo sasa!?ona mawazo yao
We salimia kwahiyo usipomsalimia hujamnyima kitu.kwan uongo sasa!?
Kwani anazungumziwa mtoto yupi ? Wa umri gani ? au ni wote waliochini ya miaka 18- ?tukiwasalimia mnasema tunataka kuwanyima nini,,ebu nyie wazee msituchanganye apa.
ndo nikimsalimia ananiuliza nataka kumnyima niniWe salimia kwahiyo usipomsalimia hujamnyima kitu.
We mtoto kaa kimya tafadhali.ndo nikimsalimia ananiuliza nataka kumnyima nini
uzi umeandka watoto hajatoa vigezo,,so ni wote tu.Kwani anazungumziwa mtoto yupi ? Wa umri gani ? au ni wote waliochini ya miaka 18- ?
sawa mzeeWe mtoto kaa kimya tafadhali.
Unaona mlivyosawa mzee
Hivi umegundua watoto wengi siku hizi ni wagumu sana kusalimia mtu. Yani wamjue, wasimjue, ni mpaka mzazi amwambie salimia anko, salimia anti.
Bila hivyo!
Vinauchuna kama kichuguu. Morals zilienda na mafuriko. Wazazi tufungue macho, Masikio na midomo.
Umeona tatizo linaanzia wapi?Mkuu nakazia hii naanza mtoto wangu mwenyewe kabisa yani havina habar kabisa na kusalimia sijui ndo utatawazi wa kwene luninga hata mimi baba yake hakinisalimii najisemea tu aah hivi vitoto vya mwendokasi sana
sasa jamani,,kosa lipo wapi apoUnaona mlivyo
Na hio mibaba ipo humu kutwa kujisifia kutembea na vitoto halafu wanahoji maadili yamepotelea wapi.Tatizo lingine ni hili hapa
Unakuta mshangazi anatoka na kiben teni,sasa hicho kiben teni heshima inashuka kuwaheshimu kina Mama,anaona kama vile nao anaweza kutoka nao tu,
Unakuta kabinti kanatoka kimapenzi na Baba mzima mwenye familia yake,sasa hapo hicho kibinti heshima inashuka kuwaheshimu wababa wote,
Hakuna haja ya kumtafuta mchawi bali lawama ni kwetu sisi na sio kwa hicho kizazi cha leo.
mhkizazi kiovu
Me ili nipokee shikamoo yako basi nikuzidi walau miaka 5. Na ili nikuamkie kwa hio kauli ya Shikamoo basi unizidi walau miaka 5 .uzi umeandka watoto hajatoa vigezo,,so ni wote tu.
Tatizo ni sisi wazazi wenyewe sasa tizama mtoto wa 4/5 years anapambana kuangalia luninga hadi saa 4 usiku afu hawa wacheza sinema anawajua anakutajia sijui ertugu mara sijui nan ilhali mimi baba mtu hata siwajuiUmeona tatizo linaanzia wapi?