Kizazi cha sasa ni kizazi jeuri na kiburi

Kizazi cha sasa ni kizazi jeuri na kiburi

Me ili nipokee shikamoo yako basi nikuzidi walau miaka 5. Na ili nikuamkie kwa hio kauli ya Shikamoo basi unizidi walau miaka 5 .

Kinyume na hapo shikamoo haina matumizi. Salamu nyingine zipo.

(Mtoto afundishwe maamkizi na namna ya kutoa salamu sio neno Shikamoo pekee).
una miaka mingap sasa ili nijue nakupa shkamoo au mambo
 
Mtu anayekwambia hivyo itakua wewe ndio umempa nafasi ya yeye kuweza kukwambia hivyo,inategemea pia na jinsi ulivyojiweka na jinsi unavyodeal nae,

Mtu mzima anayejiheshimu na ambaye hana mazowea ya hovyo na wewe,hawezi kukwambia maneno kama hayo,

Jaribu kuchunguza,hapa tatizo ni wewe na sio hao wanaokwambia hivyo.
sio kwel,,mtu sijawahi muona ndo kwanza nimeenda io sehem na kukutana nae,ila nikimsalimia shkamoo tu naulizwa ivo,,au nkimpa mkono kuna style flanii iv hua wanakuna viganja vyetu🤣🤣 hahahaha uiiiiiiiiiiiiiii
 
Mambo ya 1970-80 unataka yaleta leo 2024
Dunia haijabadilika ila system ya maisha imebadilika haina budi kuendana nayo kabla haijakuacha

Ttzo la vijana na kizazi cha sasa kinalazimisha kuishi maisha km ya wazazi wetu wakat ni kitu ambacho akipo na hakitowezekana yatupasa kuishi kulingana na muda na nyakati kulizopo

Wanaume ndoa sku izi zinawashinda sabu mnataka wake zenu waishi na wabihave km mama zenu wakat,
Nyie wenyewe hamuwezi kuishi na kubehave km baba zenu hamuwezi.
Akili mienendo matendo hayafanani naya baba yako ila unataka mkeo aishi km mama yako .
Dunia ya leo miwatu kibao uyo mwanao atasalimia watu wangap na bado uyo mwanao anaweza waheshimu na kuwasalimia mwisho wa sku hao hao anaowasalimia na kuheshimu wakamtongoza na wengne wakamlawiti,.
 
sio kwel,,mtu sijawahi muona ndo kwanza nimeenda io sehem na kukutana nae,ila nikimsalimia shkamoo tu naulizwa ivo,,au nkimpa mkono kuna style flanii iv hua wanakuna viganja vyetu🤣🤣 hahahaha uiiiiiiiiiiiiiii
Ndio maana nikakwambia jichunguze jinsi ulivyojiweka,kuanzia mavazi mpaka tabia,
wanaokufanyia hivyo wanakua wameona kuna mwanya na unaingilika,

No offence.
 
Mambo ya 1970-80 unataka yaleta leo 2024
Dunia haijabadilika ila system ya maisha imebadilika haina budi kuendana nayo kabla haijakuacha

Ttzo la vijana na kizazi cha sasa kinalazimisha kuishi maisha km ya wazazi wetu wakat ni kitu ambacho akipo na hakitowezekana yatupasa kuishi kulingana na muda na nyakati kulizopo

Wanaume ndoa sku izi zinawashinda sabu mnataka wake zenu waishi na wabihave km mama zenu wakat,
Nyie wenyewe hamuwezi kuishi na kubehave km baba zenu hamuwezi.
Akili mienendo matendo hayafanani naya baba yako ila unataka mkeo aishi km mama yako .
Dunia ya leo miwatu kibao uyo mwanao atasalimia watu wangap na bado uyo mwanao anaweza waheshimu na kuwasalimia mwisho wa sku hao hao anaowasalimia na kuheshimu wakamtongoza na wengne wakamlawiti,.
Kwani kuna aliyelazimisha watoto wa sasa kupigwa ndonya, kukeketwa au kutahiriwa kwa panga. Tunaongelea discipline na socialization ambayo hakuna sehemu kwenye maisha haihitajiki

Binafsi tu sio mtu wa kusaliamia watu sana ila sio mtu aingie nyumbani kwako ujikaushe au umfanye ajihisi presence yake ni useless. Huo sio usasa mkuu ila kukosa kujitambua
 
Ni kwelu kabisa.

ila Ndo walivyolelewa na wazazi wao! Wale wazazi wa " unaujua uchungu wa kuzaa wewe"
WAzazi wetu hawakutuleaga hivyo kwanza ikitokea unaamkia baba mdogo na wajomba hueleweki kuna jicho mama anakuangalia unaelewa hapa niamkieje... skuizi hamnaa
Zamani jamii nzima ilimchunga mtoto, yani ukikutwa na jirani unafanya utumbo. Anakuadabisha na ukiteleza ukaenda kusema home, kesi inafufuka upya na adhabu yake inakuwa extra.

Siku hizi ukigusa mtoto wa mtu lazma uulizwe kama ushawahi ingia leba. Na Mungu asaidie hao watoto wasiwe na magonjwa maana unaweza mshtua kidogo, kumbe dogo ana presha na kisukari. Ghafla mtoto anakata moto then Unajikuta polisi😁😁
 
The sad fact

Wengi mliocomment hapa including me tunamalezi mabovu tunayoyaponda humu. Tunajisema sisi wenyewe kwakweli. Kuna tangazo nakumbukaga lilikua linasema "it begins with you"... Kila mmoja wetu akichukua maamuzi ya kubadilika na kuanza kulea kiAfrica, hizi mada zitapungua. Sisi ndio wa kubadilika, kujidiscipline KWANZA. Charity begins at home aka ndani yako WEWE kwanza.

Shkamooni wakubwa!!!
 
Wazee mwisho chalinze...
Watakusalimia unaowalisha...
Kingine, wanahasira mnauza resources zao
 
Yani wamjue, wasimjue, ni mpaka mzazi amwambie salimia anko, salimia anti.
Kuna katoto kamoja ka-kike miaka 12/13 umbo la miaka 18/19 Ila ni katoto sana kalikua na tabia HIO naona Mama mtu ameliona hilo na Mama yake ananiheshimu sana kakipa ONYO kali sana

Nashangaa nowadays kananiamkia kila kakiniona tena kwa heshima kubwa zamani kalikua kananipita tu km kanapishana na MSITIMU au MKOROSHO usiokua na MABIBO,

Nilikua nasema haka subiri kafike 18/19 kwanza na hapo kakifika 18/19 katakua limama tayari kwa HIO hata nikavusha hakuna atakaeshangaa

Maana kameanza kupigwa na kusuuziwa rungu kakiwa kadogo kwa HIO kanaona wote ni size yake tu kakifika 18 tuendelee walipoishia wajuba
 
nyie wazee mbona hamsalimiani? bora Sisi vijana wakiume tunasalimiana ,,inakuaje mwamba,,

Sasa nyie hamsalimiani halafu mnataka watoto wasalimie kweli?siwanawaiga nyie?
 
Hivi umegundua watoto wengi siku hizi ni wagumu sana kusalimia mtu. Yani wamjue, wasimjue, ni mpaka mzazi amwambie salimia anko, salimia anti.

Bila hivyo!

Vinauchuna kama kichuguu. Morals zilienda na mafuriko. Wazazi tufungue macho, Masikio na midomo.
Sasa kama vijana hamtaki Kuoa, na mabinti wanakuza watoto bila baba,unategemea nini?
 
Back
Top Bottom