Kizazi cha sasa ni kizazi jeuri na kiburi

Kizazi cha sasa ni kizazi jeuri na kiburi

#Kuna mizee mingine ovyo kabisa, ukisalimia shikamoo Mzee utasikia "Mimi sio Mzee, Mimi ni brother"

Mwingine ukimpa shikamoo utasikia "mambo vp, inakuwaje?"
 
Tatizo si watoto bali sisi kama wazazi na walezi. Kifupi tumepwaya sana kwenye suala la malezo.

Wale akina dada na kaka wa stendi, bar 24/7, wavaa milegezo na waonesha mapaja ati ndio walio na jukumu la kulea kama wazazi matokeo yake tunapata watu wasiofiti popote kuanzia kwenye maadili, uchapakazi, wenye kujenga, wenye uwezo wa kusoma na kuandika kwa usahihi, n.k
Ukitaka kuua taifa , ua familia ,
Misingi ya familia ikioza ,taifa linaoza na kufa
 
Hivi umegundua watoto wengi siku hizi ni wagumu sana kusalimia mtu. Yani wamjue, wasimjue, ni mpaka mzazi amwambie salimia anko, salimia anti.

Bila hivyo!

Vinauchuna kama kichuguu. Morals zilienda na mafuriko. Wazazi tufungue macho, Masikio na midomo.
Kizazi cha kidigitali.
 
Achana na kusalimia, hawana aibu, haya wala staha. Mfano mzuri ukipanda daladala mida ya jioni utaona viwanafunzi vinaongea ujinga tena kwa nguvu bila kujali, careless
Hili swala kumbe mnaliona wengi! Nilidhani peke yangu tu unakuta tutoto twa form one
 
Sio nyumbani kwangu asee
Halafu kuna Kenge anakuja kusema adhabu za viboko zitokomezwe
Hizi tabia za kishenzi zimezidi baada ya wanaharakati uchwara kuleta agenda ya kuondoa adhabu kwa watoto .
Ni ushenzi unaolenga kubomoa jamii na taifa kwa ujumla .
Angalia jinsi moral erosion ilivyo kwenye mataifa ya magharibi ,too bad.
Na consequences zake zinaonekana
 
Halafu kuna Kenge anakuja kusema adhabu za viboko zitokomezwe
Hizi tabia za kishenzi zimezidi baada ya wanaharakati uchwara kuleta agenda ya kuondoa adhabu kwa watoto .
Ni ushenzi unaolenga kubomoa jamii na taifa kwa ujumla .
Angalia jinsi moral erosion ilivyo kwenye mataifa ya magharibi ,too bad.
Na consequences zake zinaonekana
Nachoshukuru Mungu mama yao pia hayupo nyuma kwenye kuwabakorarize watoto. Ananiunga mkono vzr tuu pale inapobidi. Huwa tunabalance kati ya bakora na kufundidha kwa maneno.
 
Back
Top Bottom