Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 696
- 993
Hili ndio tatizo kubwa.Tatizo lingine ni hili hapa
Unakuta mshangazi anatoka na kiben teni,sasa hicho kiben teni heshima inashuka kuwaheshimu kina Mama,anaona kama vile nao anaweza kutoka nao tu,
Unakuta kabinti kanatoka kimapenzi na Baba mzima mwenye familia yake,sasa hapo hicho kibinti heshima inashuka kuwaheshimu wababa wote,
Hakuna haja ya kumtafuta mchawi bali lawama ni kwetu sisi na sio kwa hicho kizazi cha leo.