Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Hiki kizazi cha watoto wa 2000s kama kinavyoitwa licha ya kwamba sio watoto ila imezoeleka kuitwa hivyo nami wacha nitumie hivyo ili kueleweka zaidi.
Hiki kizazi kwa kweli kinasikitisha sana katika kujikita kufuatilia mambo ya msingi. Ni ngumu sana kutofautisha msomi wa chuo kikuu wa hiki kizazi na yule ambae hata darasa la nne wala saba hakumaliza.
Kwa kweli hawa vijana wanasikitisha sana mambo mengi ya msingi hawayafahamu hasa yanayogusa taifa lao sijui tatizo ni nini? Malezi mabovu ya wazazi au ndio utandawazi?
Moja ya kizazi kitakachokuwa rahisi sana kupigwa propaganda na kutawaliwa na CCM basi ni hiki kizazi cha watoto wa 2000s
Hawa watoto sijui ni nini hasa wanavyowaza vichwani mwao.
Hiki kizazi kwa kweli kinasikitisha sana katika kujikita kufuatilia mambo ya msingi. Ni ngumu sana kutofautisha msomi wa chuo kikuu wa hiki kizazi na yule ambae hata darasa la nne wala saba hakumaliza.
Kwa kweli hawa vijana wanasikitisha sana mambo mengi ya msingi hawayafahamu hasa yanayogusa taifa lao sijui tatizo ni nini? Malezi mabovu ya wazazi au ndio utandawazi?
Moja ya kizazi kitakachokuwa rahisi sana kupigwa propaganda na kutawaliwa na CCM basi ni hiki kizazi cha watoto wa 2000s
Hawa watoto sijui ni nini hasa wanavyowaza vichwani mwao.