Kizazi cha watoto wa 2000s kinasikitisha sana katika kufuatilia mambo ya msingi

Kizazi cha watoto wa 2000s kinasikitisha sana katika kufuatilia mambo ya msingi

Mkuu zingatia maneno haya, ndio muda wake umetimia.

Nanukuu:

"Hard times create strong men. Strong men create good times. Good times create weak men. And, weak men create hard times"

Mwisho wa kunukuu.
Ni kama nimekuelewa saana kiongozi, nyakati ngumu zilifanya watu kuwa ngangari na kuamua kupambana na katika kupambana wakajipata wakawa na maisha fulani amaing, kutokana na maisha hayo tukazaa watoto na kuanza kuwalisha chips mayai na kuku wa wiki tatu na watoto badala ya kucheza nje ya nyumba mtaani wakaanza kuchezea play station na kuangalia cantoon masaa yote, Shule tukawapeleka zile ambazo hata darasa hawafagii.
Shuleni nako mwalimu anampatia mtoto homework ambayo mtoto anaileta nyumbani ambapo inafanywa na mzazi alafu mtoto anarudisha shule inasahihisha.

Amefika chuo assignment na course work anafanya kwa kutumia BOT ya ChatGPT3.5 mwenye uwezo anatumia 4.0, akiitoa hapo anaipitisha kwenye Grammar check mwisho wa siku GPA 3.8 na kuendelea, akirudi kitaa anamkuta msela waliachana darasa saba ameshajipata, anaanza tena kumwuliza mishe gani inalipa mtaani.
 
Ni kama nimekuelewa saana kiongozi, nyakati ngumu zilifanya watu kuwa ngangari na kuamua kupambana na katika kupambana wakajipata wakawa na maisha fulani amaing, kutokana na maisha hayo tukazaa watoto na kuanza kuwalisha chips mayai na kuku wa wiki tatu na watoto badala ya kucheza nje ya nyumba mtaani wakaanza kuchezea play station na kuangalia cantoon masaa yote, Shule tukawapeleka zile ambazo hata darasa hawafagii.
Shuleni nako mwalimu anampatia mtoto homework ambayo mtoto anaileta nyumbani ambapo inafanywa na mzazi alafu mtoto anarudisha shule inasahihisha.

Amefika chuo assignment na course work anafanya kwa kutumia BOT ya ChatGPT3.5 mwenye uwezo anatumia 4.0, akiitoa hapo anaipitisha kwenye Grammar check mwisho wa siku GPA 3.8 na kuendelea, akirudi kitaa anamkuta msela waliachana darasa saba ameshajipata, anaanza tena kumwuliza mishe gani inalipa mtaani.
Maisha ni kujiongeza ila watoto wa miaka ya hivi karibuni craetivity yao nje ya IT au simu ni sufuri, mpaka tunaanza kutamani watoto walioko vijijini japo na wenyewe wanachangamoto zao nyingi tu.
 
Kizazi kinawaza Bitcoin, Betting, Connection, Amapiano na Shisha. Alaumiwe CCM mama wa ujinga.
 
Maisha ni kujiongeza ila watoto wa miaka ya hivi karibuni craetivity yao nje ya IT au simu ni sufuri, mpaka tunaanza kutamani watoto walioko vijijini japo na wenyewe wanachangamoto zao nyingi tu.
Wa vijíini watakuja kudominate muda wale wa kwetu wa mjini watakuwa segerea wakiwa na kesi za kudanganya system na kuchepusha mamilioni kwa njia ya mtandao
 
01.Y2K ni kizazi kinachowaza mafanikio bila kujua njia za kuelekea mafanikio.
02.Ni kizazi chavkufuatilia habari za watu kuliko useful infors za uvumbuzi na kujitegemea ndiyo maana uchawa nao ni official job.
03.Kizazi kinachotaka kupata mafanikio,hela umaarufu huku kikiwa kimelala ndiyo maana KUBET,KUTAFUTA FOLLOWERS na D9 ni vitu vilivyopekelewa kirahisi vichwani mwao.
04.Kizazi kisichoamini kutokwa jasho ndiyo maana hata wanaume wanatamani kupata mtu wa kuwalea ndiyo maana ushoga upo ila unaongezeka kwa kasi
05.Kizazi ambacho kimeishiwa nguvu za kiume kwa sababu hakitaki manual works
06.Kizazi ambacho kinakula na ya kutolea kama unabisha mpe mtaji mdogo ako huyo aliemaliza degree ya BCOM in Small Business and Entrepreneurship uone kama hajarudi na ngeu badala ya faida.
[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom