Kizungumkuti cha mtu akifa anaenda wapi? Maoni ya watu na imani mbalimbali duniani

Kizungumkuti cha mtu akifa anaenda wapi? Maoni ya watu na imani mbalimbali duniani

Kifo fumbo ambalo ni kutokuwa na majibu ya haraka sahihi na kwa sababu hawa jamaa hawarudi na hata kama wakirudi hatuwaamini.

1:Wahindu (hinduism)
Hakuna cha mbingu wala jehanam, Mtu akifa anarudi kwenye maisha haya kama kitu au kiumbe kingine.

2:Uislam
Quran 45:26. Sema: Mwenyezi Mungu anakuhuisheni, kisha anakufisheni, kisha anakukusanyeni Siku ya Kiyama isiyo na shaka. Lakini watu wengi hawajui.
hapa inaonekena Hata ufeje, mwili utakusanywa na kutakiwa kusimama mbele ya hukumu. wataalam wanaweza kutupa maarifa zaidi.

3:Wabudha
Hawa wanaamini Ukifa mwili utaoza lkn akili/mind itaendelea kuwepo. Na pia kuna kuzaliwa upya baada ya kifo.

4:Wayahudi/Judaism
Nafsi inaishi milele, mwili ni kama kasha ambalo limeazimwa roho likifa linaoza roho inaendelea kula maisha.pamoja na hili wanamaelezo ya ziada.

5:Wakristo
Hapa wamegawanyika makundi mawili.
wale wanaoamini Mtu akifa roho yake haifi, inaenda kula raha mbinguni, au kama ni ovu inateswa motoni. Pia wapo wanaoamini na mimi nikiwemo mtu akifa ni kaubirini analala usingizi mzuri wa mauti kusubiri hukumu ya haki siku ya kiyama. haendi popote.

6:Mababu zetu na Wababe wakiafrika wanasemaje.
Kifo sio mwisho wa maisha, bali ni mwendelezo wa maisha kwa mfumo tofauti ambao hauna mwili. Kwa baadhi ya mila Kifo ni sherehe maana jamaa anakuwa amehamishiwa katika maisha mengine ambayo ni bora zaidi.

8:Wanasayansi na wasiamini Mungu na Miungu
Hapa nao wanamaoni mengi, ila athiest na mwanasayansi nguli aliyefariki majuzi Stephen Hawking anasema Ubongo ni kama Kompyuta kuna wakati Unachoka unaacha kufanya kazi na kufa. Hakuna chochote mtu akifa, zaidi hakuna cha mbingu wala kiyama wala moto. Hizo ni hadithi za watu Wanaoogopa giza.



vipi wewe unaamini lipi.
Hapo kwenye wahindu na wabudha ni kitu kimoja... Waislam na wakristo pia ni kitu kimoja kuna kundi moja hapo hujalitaja... Kundi lisiloamini katika imani yoyote katika hizo
 
Kifo fumbo ambalo ni kutokuwa na majibu ya haraka sahihi na kwa sababu hawa jamaa hawarudi na hata kama wakirudi hatuwaamini.

1:Wahindu (hinduism)
Hakuna cha mbingu wala jehanam, Mtu akifa anarudi kwenye maisha haya kama kitu au kiumbe kingine.

2:Uislam
Quran 45:26. Sema: Mwenyezi Mungu anakuhuisheni, kisha anakufisheni, kisha anakukusanyeni Siku ya Kiyama isiyo na shaka. Lakini watu wengi hawajui.
hapa inaonekena Hata ufeje, mwili utakusanywa na kutakiwa kusimama mbele ya hukumu. wataalam wanaweza kutupa maarifa zaidi.

3:Wabudha
Hawa wanaamini Ukifa mwili utaoza lkn akili/mind itaendelea kuwepo. Na pia kuna kuzaliwa upya baada ya kifo.

4:Wayahudi/Judaism
Nafsi inaishi milele, mwili ni kama kasha ambalo limeazimwa roho likifa linaoza roho inaendelea kula maisha.pamoja na hili wanamaelezo ya ziada.

5:Wakristo
Hapa wamegawanyika makundi mawili.
wale wanaoamini Mtu akifa roho yake haifi, inaenda kula raha mbinguni, au kama ni ovu inateswa motoni. Pia wapo wanaoamini na mimi nikiwemo mtu akifa ni kaubirini analala usingizi mzuri wa mauti kusubiri hukumu ya haki siku ya kiyama. haendi popote.

6:Mababu zetu na Wababe wakiafrika wanasemaje.
Kifo sio mwisho wa maisha, bali ni mwendelezo wa maisha kwa mfumo tofauti ambao hauna mwili. Kwa baadhi ya mila Kifo ni sherehe maana jamaa anakuwa amehamishiwa katika maisha mengine ambayo ni bora zaidi.

8:Wanasayansi na wasiamini Mungu na Miungu
Hapa nao wanamaoni mengi, ila athiest na mwanasayansi nguli aliyefariki majuzi Stephen Hawking anasema Ubongo ni kama Kompyuta kuna wakati Unachoka unaacha kufanya kazi na kufa. Hakuna chochote mtu akifa, zaidi hakuna cha mbingu wala kiyama walamoto. Hizo ni hadithi za watu Wanaoogopa giza.



vipi wewe unaamini lipi.



King James VersionEcclesiastes 9:10

  • 10. Whatsoever thy hand findeth to do, do it with thy might; for there is no work, nor device, nor knowledge, nor wisdom, in the grave, whither thou goest.
 
Kifo fumbo ambalo ni kutokuwa na majibu ya haraka sahihi na kwa sababu hawa jamaa hawarudi na hata kama wakirudi hatuwaamini.

1:Wahindu (hinduism)
Hakuna cha mbingu wala jehanam, Mtu akifa anarudi kwenye maisha haya kama kitu au kiumbe kingine.

2:Uislam
Quran 45:26. Sema: Mwenyezi Mungu anakuhuisheni, kisha anakufisheni, kisha anakukusanyeni Siku ya Kiyama isiyo na shaka. Lakini watu wengi hawajui.
hapa inaonekena Hata ufeje, mwili utakusanywa na kutakiwa kusimama mbele ya hukumu. wataalam wanaweza kutupa maarifa zaidi.

3:Wabudha
Hawa wanaamini Ukifa mwili utaoza lkn akili/mind itaendelea kuwepo. Na pia kuna kuzaliwa upya baada ya kifo.

4:Wayahudi/Judaism
Nafsi inaishi milele, mwili ni kama kasha ambalo limeazimwa roho likifa linaoza roho inaendelea kula maisha.pamoja na hili wanamaelezo ya ziada.

5:Wakristo
Hapa wamegawanyika makundi mawili.
wale wanaoamini Mtu akifa roho yake haifi, inaenda kula raha mbinguni, au kama ni ovu inateswa motoni. Pia wapo wanaoamini na mimi nikiwemo mtu akifa ni kaubirini analala usingizi mzuri wa mauti kusubiri hukumu ya haki siku ya kiyama. haendi popote.

6:Mababu zetu na Wababe wakiafrika wanasemaje.
Kifo sio mwisho wa maisha, bali ni mwendelezo wa maisha kwa mfumo tofauti ambao hauna mwili. Kwa baadhi ya mila Kifo ni sherehe maana jamaa anakuwa amehamishiwa katika maisha mengine ambayo ni bora zaidi.

8:Wanasayansi na wasiamini Mungu na Miungu
Hapa nao wanamaoni mengi, ila athiest na mwanasayansi nguli aliyefariki majuzi Stephen Hawking anasema Ubongo ni kama Kompyuta kuna wakati Unachoka unaacha kufanya kazi na kufa. Hakuna chochote mtu akifa, zaidi hakuna cha mbingu wala kiyama wala moto. Hizo ni hadithi za watu Wanaoogopa giza.



vipi wewe unaamini lipi.


hatari tupu
 
Kwangu mimi,mtu akifa haendi popote na haishi popote.Ni sawa ma kipindi ambacho mtu alikuwa hajazaliwa anakua hayupo popote na hajui lolote,ukifa umekufa hakuna cha moto wala pepo..
Mkuu unaposema mtu ambaye hajazaliwa unakusudia mtu (mtoto) ambaye yupo tumboni? au unakusudia kabla hata kuwa mtu?
 
Hata sasa injili inahubiriwa kwa mataifa yote.

Siku ya kutisha inakuja ambayo watu wote watasimama kutoa hesabu ya matendo yao, ikiwa yalikuwa mema wataingia rahani kwa Mungu na kuurithi ufalme wa Mungu, ikiwa ni maovu watatupwa katika jehanamu ya moto na kiberiti.

Toka kuumbwa kwa ulimwengu watu wote waliowahi kufa wako katika sehemu ya mangojeo wakisubiri siku ya hukumu. Kama ni mwema yuko paradiso anangojea hukumu (refer Lazaro), kama alikuwa mwovu yuko kuzimu anasubiri hukumu (refer tajiri akimuomba maji Lazaro).

Uamuzi ni wako ndugu, mwamini YESU UOKOKE na utende mema, ukiingojea siku ya mwisho. Kama itatokea umekufa haijaja sio mbaya maana utaungana na either ya hayo makundi mawili hapo juu.

Be blessed, Yesu ndio njia kweli na Uzima.
Umeandiki ki dini zaidi badala ya hoja mkuu, hata hivyo hongera
 
Angalao ninamuunga mkono Stephen Hawking. Mtu akifa, haendi popote.

Gari (mashine) linapofanya kazi vizuri, huo ndio uhai wake. Linaposhindwa kufanya kazi milele, linakuwa limekosa uhai. Halifanyi tena kazi iliyokusudiwa. Linatumika kama skrepa hadi linaisha kabisa. Hali ya gari kufanya kazi (roho) itakuwa imeenda wapi?

Roho za wanyama wengine na viumbe hai wengine ukiondoa binadamu zinaenda wapi? Viumbe hawa wana "destination" gani baada ya kufa? Angalao maandiko yanasemaje kuhusu viumbe hawa wasio wanadamu? Mwenye majibu, tafadhali anisaidie.

Je, tunaweza kufanisha kifo cha "gari" na mwisho wake na kifo cha binadamu na mwisho wake?.

Kwa maoni yangu, kifo ni hali ya kiumbe hai kushindwa kuendelea kujimudu milele. Kujimudu kwa maana ya kwamba mifumo ya mwili inafanya kazi kwa ushirikiano na kwa utimamu. Huu ndio uhai.

Kwa hiyo, kuna hali mbili. Kuwepo na kutokuwepo.

Kuwepo ni mchakato. Kuanzia kutungwa kwa mimba hadi kuzaliwa na kuendelea kuishi.

Kutokuwepo nao ni mchakato ambao unaanza na kiumbe kushindwa kujimudu milele. Hii unaweza kusema ni hali ya kiumbe kupoteza uhai. Kinachofuata ni kumalizika kwa kuwepo ambapo mwili unaoza na kuisha kabisa.

Kwa hiyo, kwa maelezo hapo juu, mwili na roho havitenganishwi. Kwanza hakuna kitu roho. Kuna hali ya kiumbe hai kujimudu. Gani kujiendesha kiutimamu kwa kadiri ya mifumo ya kiumbe hai inavyofanya kazi. Kufanya kasi kiutimamu "in a coordinated fashion" ndiko huko kunakotafsiriwa kama roho. Ila, kimsingi, hakuna kitu roho.

Utimamu wa utendaji wa mifumo ya kiumbe (hai-mfumo wa damu, chakula, n.k pamoja na ogani zoye, viumbe visivyo hai-gari-injini kufanya kazi vizuri, jiwe kuendelea kuwa jiwe, mbao kuendelea kuwa mbao n.k) ndiko kunakosabisha kuwepo kwa hiki tunachokiitaa mwili.

Kukosekana milele kwa utendaji timamu wa mifumo, ndicho kifo. Madhara ya ukosefu wa utimamu wa utendaji hupelekea mwili kuharibika na kisha kupotea kabisa.

Hii inamaanisha kuwa so rahisi kutenganisha hicho kinachoitwa roho na mwili. Hakuna kitu roho wala mwili, bali kuna kuishi au kutokuishi. Kuwepo au kutokuwepo.

Tunachokiona kama mwili ni mchakato wa kutokuwepo tu. Haimaanishi kuwepo kwa kitu mwili bado kuna uwepo.

Kwa hiyo, hakuna kinachoenda popote. Upon au haupo. Basi kama jinsi ambavyo ambaye hayupo, hajawahi kuwepo na hatokaa awepo had I atakapokuwepo.

Unakumbuka uzi wa "Usipokuwepo, hakuna Kilichopo"?. Yani, wewe ndio mwanzo na mwisho wa kila kitu. Hats Mungu hawezi kuwepo bila ya kuwepo wako.

Hata kifo, hakipo bila wewe kuwepo. Usipokuwepo (ukifa au hujazaliwa), hakuna ambacho kipo, na hakuna ambacho kitakaa kuwepo.

Lazima kuwepo kwanza ili kila kitu kingine kuwepo.

Kwenda mbinguni, Motoni, peponi n.k ni hadithi zinazofifisha uwezo wa binadamu. Ni utumwa mkubwa sana.
Ok mie nipo hapa nioneshe hicho kifo,maana umesema kifo hakipo bila mie kuwepo na ndiyo nipo sioni kifo.
 
kifo ni kama kulala usingizi mzito, wafu hawajui neno lolote , umenikumbusha wimbo wa Remy Ongala unasema kifo hakina huruma
 
je wajua kuna tofauti kati ya mtu kufa na kufariki?
je unajua mtu akifa au kufariki ubongo wake unaweza kuingia ndotoni kwa muda wa dakika 45 had 50?
 
Kwanza ili tujue ni wapi tunaelekea baada ya kufa,ni lazima tujiulize chanzo cha uhai wetu,tulitokea wapi?.The one who created us determines our destiny.
 
Angalao ninamuunga mkono Stephen Hawking. Mtu akifa, haendi popote.

Gari (mashine) linapofanya kazi vizuri, huo ndio uhai wake. Linaposhindwa kufanya kazi milele, linakuwa limekosa uhai. Halifanyi tena kazi iliyokusudiwa. Linatumika kama skrepa hadi linaisha kabisa. Hali ya gari kufanya kazi (roho) itakuwa imeenda wapi?

Roho za wanyama wengine na viumbe hai wengine ukiondoa binadamu zinaenda wapi? Viumbe hawa wana "destination" gani baada ya kufa? Angalao maandiko yanasemaje kuhusu viumbe hawa wasio wanadamu? Mwenye majibu, tafadhali anisaidie.

Je, tunaweza kufanisha kifo cha "gari" na mwisho wake na kifo cha binadamu na mwisho wake?.

Kwa maoni yangu, kifo ni hali ya kiumbe hai kushindwa kuendelea kujimudu milele. Kujimudu kwa maana ya kwamba mifumo ya mwili inafanya kazi kwa ushirikiano na kwa utimamu. Huu ndio uhai.

Kwa hiyo, kuna hali mbili. Kuwepo na kutokuwepo.

Kuwepo ni mchakato. Kuanzia kutungwa kwa mimba hadi kuzaliwa na kuendelea kuishi.

Kutokuwepo nao ni mchakato ambao unaanza na kiumbe kushindwa kujimudu milele. Hii unaweza kusema ni hali ya kiumbe kupoteza uhai. Kinachofuata ni kumalizika kwa kuwepo ambapo mwili unaoza na kuisha kabisa.

Kwa hiyo, kwa maelezo hapo juu, mwili na roho havitenganishwi. Kwanza hakuna kitu roho. Kuna hali ya kiumbe hai kujimudu. Gani kujiendesha kiutimamu kwa kadiri ya mifumo ya kiumbe hai inavyofanya kazi. Kufanya kasi kiutimamu "in a coordinated fashion" ndiko huko kunakotafsiriwa kama roho. Ila, kimsingi, hakuna kitu roho.

Utimamu wa utendaji wa mifumo ya kiumbe (hai-mfumo wa damu, chakula, n.k pamoja na ogani zoye, viumbe visivyo hai-gari-injini kufanya kazi vizuri, jiwe kuendelea kuwa jiwe, mbao kuendelea kuwa mbao n.k) ndiko kunakosabisha kuwepo kwa hiki tunachokiitaa mwili.

Kukosekana milele kwa utendaji timamu wa mifumo, ndicho kifo. Madhara ya ukosefu wa utimamu wa utendaji hupelekea mwili kuharibika na kisha kupotea kabisa.

Hii inamaanisha kuwa so rahisi kutenganisha hicho kinachoitwa roho na mwili. Hakuna kitu roho wala mwili, bali kuna kuishi au kutokuishi. Kuwepo au kutokuwepo.

Tunachokiona kama mwili ni mchakato wa kutokuwepo tu. Haimaanishi kuwepo kwa kitu mwili bado kuna uwepo.

Kwa hiyo, hakuna kinachoenda popote. Upon au haupo. Basi kama jinsi ambavyo ambaye hayupo, hajawahi kuwepo na hatokaa awepo had I atakapokuwepo.

Unakumbuka uzi wa "Usipokuwepo, hakuna Kilichopo"?. Yani, wewe ndio mwanzo na mwisho wa kila kitu. Hats Mungu hawezi kuwepo bila ya kuwepo wako.

Hata kifo, hakipo bila wewe kuwepo. Usipokuwepo (ukifa au hujazaliwa), hakuna ambacho kipo, na hakuna ambacho kitakaa kuwepo.

Lazima kuwepo kwanza ili kila kitu kingine kuwepo.

Kwenda mbinguni, Motoni, peponi n.k ni hadithi zinazofifisha uwezo wa binadamu. Ni utumwa mkubwa sana.
Sasa nikuulize swali, gari si limetengenezwa na binadamu na lina asli yake (yaani mavyuma) sasa nani aliyemfanya mwanadamu?
 
binafsi naamini na kuunga mkono hoja ya bwana hawking sambamba na dawkins(athists pia).ubongo pekee ndio huweza kufa mtu huwa hafi na ndio maana kuna tofauti kati ya kufa na kufariki.kwani ukisoma vitabu vinatuelekeza yakuwa ubongo unaratibu matendo na matukio yote ya mwili either ya hiari au ya lazima.kwa hiyo mimi kama implicity ethists namuunga mkono comrade hawkings hasa katika "a brief history of time from bing bang to dark holes"
salute!

“I regard the brain as a computer which will stop working when its components fail,” he told the Guardian. “There is no heaven or afterlife for broken down computers; that is a fairy story for people afraid of the dark.”

http://time.com

sio mfuasi wake, na siamini katika maoni yake yote, ila naamini nusu ya kauli yake kuhusu kufa kama mwili umefeli na brain nayo ikakoma mtu hatunae na baadae ataoza.

Lakini imani hii inamfanya Mtu huyu kufa kama mbwa au kimburu.
hapo nasema hapana, baada ya kifo haijalishi utakaa katika hali hiyo ya kuharibika na uozo kwa miaka mingapi lakini Kuna siku ya ufufuo na Ipo hukumu ya Haki.

Imani hii kwa wapenzi wa bibilia ndiyo waliokuwa nayo wote walioorodheshwa katika kitabu cha waebrania 11.
Walitarajia Yasiyoonekana.
Hata ibrahim aliishi katika hema yeye na watoto na wajukuu wake lakini alitarajia Mji ambao haujajengwa kwa mikono ya wanadamu.
Wote hawa walikufa pasipokupokea hiyo ahadi.

Imani ni kuwa na hakika na mambo yasiyoonekana,

Afterdeath scenario haiwezi kuelezewa kwa lugha yoyote isipokuwa umejumuisha imani bila kujali ni potofu au halali.
zaidi ya hapo uchague kufa kama afavyo nyumbu serengeti bila kuwa na tumaini lolote.
 
Mimi naamini kuwa, kufa ni hali ya moyo kushindwa kusukuma damu. Hivyo hufanya viungo vyote kushindwa kufanya kazi yake na kupelekea milango ya fahamu kushindwa kutoa taarifa.

Ndio maana ili ujue mtu kafa, lazima uangalie mapigo ya moyo

Na mtu akisha kufa, haendi popote, huo ndo unakua mwisho wake
 
Kufa means the end of living
Huendi popote, kwani hata kabla ya kuzaliwa hukuwa popote
 
Hawa budha kidogo wana make sense nafikiri we are all rotated in life and death
 
Back
Top Bottom