Kizungumkuti cha mtu akifa anaenda wapi? Maoni ya watu na imani mbalimbali duniani

Kizungumkuti cha mtu akifa anaenda wapi? Maoni ya watu na imani mbalimbali duniani

Mkuu unaposema mtu ambaye hajazaliwa unakusudia mtu (mtoto) ambaye yupo tumboni? au unakusudia kabla hata kuwa mtu?
Popote,uwe tumboni au hujaingia tumboni,maana mtoto akiwa tumboni hajui yupo wapi sisi tuliopo duniani ndo tunajua kuna mtoto tumboni,na pia mtu akifa tunajua tumemzika chini..YEYE HAJUI CHOCHOTE....HAKUNA MOTO WALA PEPO.
 
Popote,uwe tumboni au hujaingia tumboni,maana mtoto akiwa tumboni hajui yupo wapi sisi tuliopo duniani ndo tunajua kuna mtoto tumboni,na pia mtu akifa tunajua tumemzika chini..YEYE HAJUI CHOCHOTE....HAKUNA MOTO WALA PEPO.
Sasa hapo mkuu wewe unawezaje kujua kuwa mtu akifa anakuwa hajui chochote na si vinginevyo?

Maana hata mfano wa mtoto ambaye hajazaliwa hata kama kweli hajui alipo ila hiyo haiondoi uwepo wake tumboni.
 
ukifa,umekufa..kama ambavyo viumbe wengine hufa!!kitakachotokea baada ya kifo,utajua siku hiyo hiyo ukifa!
ebu jiulize, ulikuwa ukijisikia vipi kabla ya kuzaliwa??ndivyo hivyohivyo utajisikia baada ya kufa!!
 
Huwezi kunishawishi kwamba story za Yesu ni za kutunga tu, mtu huyu alikuwepo na aliishi nasi.
 
Kabisa, watu wasioamini hili wanashangaza sana.
naungana na wewe Yesu hapingiki. Ila mambo yake yanahitaji Imani zaidi ya kuona.
Hata mimi namwamini kwa Imani, sio tu alizaliwa bali Alikuwepo hata kabla ya kuzaliwa pale bethrehemu ya Uyahudi.
 
Mtu atendaje "wapi" wakati akifa anaacha ku exist?

Acha kulishwa ujinga wa dini
 
[emoji125] mi napita tu wakuu
usipite mkuu wangu.
tia neno angalau tujue umejipangaje na kifo na hofu hii.
maana huu mjadala hauepukiki ikiwa lazima tufe ingawa hatujui tutakufaje.
lini,wapi,saa ngapi, kwa dizaini gani,
tia kaneno kidogo mkuu
 
Mtu atendaje "wapi" wakati akifa anaacha ku exist?

Acha kulishwa ujinga wa dini
hapo kuna ujinga wa dini (kama unavyouita) na ujinga wa wasio na dini.
naomba maoni ya werevu wako mkuu. kile tunachokizika huwa hakiexist au. farao aliyekaushwa tangu ezi na ezi vipi existence hapo inaingiaje na inatokaje.
tupe madini mkuu.
 
hapo kuna ujinga wa dini (kama unavyouita) na ujinga wa wasio na dini.
naomba maoni ya werevu wako mkuu. kile tunachokizika huwa hakiexist au. farao aliyekaushwa tangu ezi na ezi vipi existence hapo inaingiaje na inatokaje.
tupe madini mkuu.

Pharaoh kukaushwa sio kitu cha kushangaza. Hata Vladmir Lenin amekaushwa.

Naongelea Human Consciousness. Ile hali ya kujitambua. Ukifa haiwezi kurudi.

Labda baadae teknolijia ikiongezeka wataweza ku save human consciousness kwenye computer kama vile una save folder
 
Ukifa umekufa.
mkuu kama ndiyo hivyo. ilitokeajetokeaje bila kupanga watu bila kujali imani au sayansi zao za kijamii kukuta wanaamini mkanganyiko wa mambo haya na afterdeath scenario.

hukumu ya haki nayo vipi, ipo au haipo. ukifa unakufa tu kama afanyo unintellegent being yoyote kama vile mbu au nyumbu serengeti mto mara.
 
Pharaoh kukaushwa sio kitu cha kushangaza. Hata Vladmir Lenin amekaushwa.

Naongelea Human Consciousness. Ile hali ya kujitambua. Ukifa haiwezi kurudi.

Labda baadae teknolijia ikiongezeka wataweza ku save human consciousness kwenye computer kama vile una save folder
nimekupata mkuu.
unatuzungumziaje tunaoamini yasiyoonekana kwamba, pamoja na yote tunawajibika kwa maisha yetu Siku ya Hukumu.
Unazungumziaje ufufuo kwa nguvu ya wasioonekana (Mungu), kwa mtu ambaye amekwishakuwa medically confirmed dead.
 
Back
Top Bottom