Kizungumkuti cha ndoa!

Kizungumkuti cha ndoa!

wanaume bwana,

kwanini uwe na uamuzi wa mwisho?

kwa nini msiwe na uamuzi wa pamoja? kujadiliana kwa pamoja nini cha kufanya?
kwa nini msipange priority zenu pamoja?
kwa nini msishirikiane kwa pamoja?

mtabishana humuuu weeeeeeee, mtajiita vichwa aka taasisi huru weeee...
lakini mwisho wa siku nyumba yenye mafanikio ni ile inayosikilizana na kushirikiana kwa pamoja, ambayo kila mwanandoa anaweza kujieleza kwa uhuru

BADILI TABIA,
Nadhani haujamwelewe vizuri kuhusu dhana ya kuwa na uamuzi wa mwisho. Kwanza nikubaliane na wewe kuhusu dhana shirikishi. Lakini ktk dhana hiyo lazima maamuzi yafikiwe, ushirikishwaji lazima kuwe na kiongozi wake ambapo sasa mtasema haya tumekubaliana na pale msipokubaliana ni vema kura ya turufu ikafanya kazi yake (Mwanaume), hapo ndio tunaposema mwanaume ni kichwa cha familia.
 
Punguza hasira mkuu,
Unajua haya mambo kila mtu ana uelewa wake kulingana pia na malezi,
Alafu kuna baadhi ya mambo ambayo wanawake tunatakiwa kuyakubali(japo wenzangu wengi hawapendi) tu na sikubishana,
Hata ikiwaje hatuwezi kuwa sawa na MWANAUME,tunachofanya ni kubishana tu na kujibebesha majukumu ambayo si ya kwetu na mara nyingi huwa tunachemka!
Km upendo,ushirikiano na heshima ndani ya nyumba ipo basi wadhifa wa baba na ubaki kuwa pale pale usiingiliwe na chochote!

Da Cantalisia Una busara sana...

binafsi sikatai kwamba wanawake hawawezi .. kuna ma miss independent wengi mnoo nimekutana nao wanapiga kazi hadi utawashangaa but end of the day kuna jambo lazima atafuata ushauri toka kwa mwanaume ...
 
Mbona nishashuka na mtoto ashaanza kuelewa si unaona alivyokuwa mpoleeeeeee..(Canta usisome hapa)

Hakuna kitu hapo,madem ndivyo walivyo,hung'oi kitu,utaishia kuona tu!
 


Da Cantalisia Una busara sana...

binafsi sikatai kwamba wanawake hawawezi .. kuna ma miss independent wengi mnoo nimekutana nao wanapiga kazi hadi utawashangaa but end of the day kuna jambo lazima atafuata ushauri toka kwa mwanaume ...
Asante njiwa,
Ni kweli kbs ila ndio hivyo watu tunatofautiana mitazamo,
Nawengine hata wakibisha ukiwakuta makwao utashaangaa ni tofauti na maneno yao kbs.
 
Hujaielewa kauli ya ODM,
Muulize anamaanisha nn kusema mie kuku wake manati ya nn?
Alafu ulishawahi kumsikia mtu anaitwa KLOROKWINI?

Ngoja aje ajibu haka kaswali!Kloro ni Lowyer ngoja aje,nae rijui kajichimbia wapi?
 
Taarifa za kiintelijensia huku PM zinasema kaka mdogo ombi lako linafanyiwa kazi na matarajio ya mafanikio ni makubwa sana. Ongea maombi.

Hao,hao,hao,hao wasiojua kusema....Wanasema yasiokua yamaaaanaa....Ha,haaa huna lolote Babu!
 
Muulize babu yako.... au unamwogopa? Halafu Kloro mbona hommie tu, wewe unadhani kwa nini hajaongea kitu hadi mida hii??

Sasa swali lako atajibu vipi mtu mwingine?Acha uoga!
 
Muulize babu yako.... au unamwogopa? Halafu Kloro mbona hommie tu, wewe unadhani kwa nini hajaongea kitu hadi mida hii??
Nimwogope babu yangu tena!
Keshanambia maana yake,inatisha lol!
Mda huu kloro yuko mahakamani siunajua fildi yake ngoja akirudi na akaona hizi sera zako hapa utajuta,
Babu anakupoteza keshakula advance ya mahari yangu kwa Kloro!
Unalijua hilo???
 
Back
Top Bottom