KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

Huu ni ukweli mweupe kabisa ndugu umeusema hivi vijiwe vya mtaani wenyewe wanaita makanisa ni waLutheri tupu hata waumini wa hayo makanisa.... waKathoric ni wachqche sana

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Japo issue ya uhamisho, likizo ni kitu Cha kawaida kwenye taasisi nyingi ila bandiko lako Umeandika meengi nimesoma mpaka mwisho sijaona hicho kiburi chake.
 
Japo issue ya uhamisho, likizo ni kitu Cha kawaida kwenye taasisi nyingi ila bandiko lako Umeandika meengi ila mpaka mwisho sijaona hicho kiburi chake.
Ni kwa vie sikutika kuingia katika undani wa tuhuma zinazomkabili.
 
Mkuu usiingize ukabil katika jambo ambalo ni dhahiri.
Kila Dayosisi ina taratibu zake zilizowekwa kikatiba.
Ukikiuk unachukuliwa hatua.
 
Mch Kimaro aombe radhi tu ili huduma iendelee.
Kushupaza shingo kutamharibia.
 
Mba mba mba kibao, ukaidi na kiburi chake ni kipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…