KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

Please share na Matsai ni nani?
P
Mastai Ni Mchungaji Kiongozi Usharika wa Kimara Korogwe.. Kimaro ni mwanazuoni wa Mastai... Bora Kimaro Mch Mastai ni Mtu wa Kiroho na anaongea vile Roho anamuongoza na zaidi ukienda Kimara kusali hakuna mambo ya Liturujia...


Dayosisi ya Mashariki na Pwani ina Wachungaji Mahiri mo. Elimu Dunia ya kutosha na Theolojia ya kutosha...

Wachungaji watatu ndio naona wamekuwa mwiba sana..

Mchungaji Wilbroad Mastai

Mch Eliyona Kimaro

Mchungaji Ismael Mwipile

Wanaitwa (Mapacha watatu)

Hawa ni sampuli ya Martin Luther mwenyewe haijalishi we mkubwa kiasi gani wao wanakupa makavu tu...
 
Mastai Ni Mchungaji Kiongozi Usharika wa Kimara Korogwe.. Kimaro ni mwanazuoni wa Mastai... Bora Kimaro Mch Mastai ni Mtu wa Kiroho na anaongea vile Roho anamuongoza na zaidi ukienda Kimara kusali hakuna mambo ya Liturujia...


Dayosisi ya Mashariki na Pwani ina Wachungaji Mahiri mo. Elimu Dunia ya kutosha na Theolojia ya kutosha...

Wachungaji watatu ndio naona wamekuwa mwiba sana..

Mchungaji Wilbroad Mastai

Mch Eliyona Kimaro

Mchungaji Ismael Mwipile

Wanaitwa (Mapacha watatu)

Hawa ni sampuli ya Martin Luther mwenyewe haijalishi we mkubwa kiasi gani wao wanakupa makavu tu...
Bila liturujia hilo ni Kanisa la kilokole
 
Mastai Ni Mchungaji Kiongozi Usharika wa Kimara Korogwe.. Kimaro ni mwanazuoni wa Mastai... Bora Kimaro Mch Mastai ni Mtu wa Kiroho na anaongea vile Roho anamuongoza na zaidi ukienda Kimara kusali hakuna mambo ya Liturujia...


Dayosisi ya Mashariki na Pwani ina Wachungaji Mahiri mo. Elimu Dunia ya kutosha na Theolojia ya kutosha...

Wachungaji watatu ndio naona wamekuwa mwiba sana..

Mchungaji Wilbroad Mastai

Mch Eliyona Kimaro

Mchungaji Ismael Mwipile

Wanaitwa (Mapacha watatu)

Hawa ni sampuli ya Martin Luther mwenyewe haijalishi we mkubwa kiasi gani wao wanakupa makavu tu...
Hii ndio tofauti kubwa ya ma padri wa Katoliki, Katoliki ni utii na nidhamu kwanza ndipo ije ibada, sisi Katoliki tuna mpaka jela za kiaina!, kama alivyo fungwa Archbishop Milingo wa Zambia, aliitwa Vatican akatulizwa!. Ukikatazwa kitu na askofu wako usipotii unafukuzwa kama Padri Dr. Wilbroad Slaa, Felician Nkwera na Kalugendo. Wengi wa wachungaji wenye makanisa yao ni Walutheri, Wakatoliki ni wa kuhesabu!.
P
 
Kanisa ka Kiinjili, la Kilutheri Tanzania, KKKT ina historia , na ni taasisi ya muda mrefu.

Ina taratibu na kanuni zake , mchungaji au mtumishi atafanya mbwembwe zake zoote lakini lazima awe ndani ya utaratibu wa Kanisa.

Mtumishi akiwa na Karama au upako lazima aongozwe na hekima, na siyo jeuri na kiburi cha kufanya na kusema atakavyo kwa kujiona yuko juu ya taratibu zilizowekwa.

Hakuna Mtumishi aliye juu ya KKKT kama taasisi.
KKKT ni kubwa kiasi kwamba hata askofu hayupo juu ya KKKT.
Sasa hivi tunaona watumishi wanao lipatia kanisa au usharika mafanikio.
Cha kushangaza mafanikio yao yanawapanda kichwani na kuanza jeuri, dharau na kiburi.

Sababu kubwa ni ukubwa wa wafuasi binafsi walionao.

Mwaka jana katika Dayosisi ya Konde , Askofu wake Dr Mwaikali alivuliwa uaskofu. Wengi wa tulioifuatilia ile ibada ya kumvua Uaskofu tulisononeshwa na ukaidi wa Askofu Mwaikali.

Leo, Dayosisi ya KKKT Konde na kanisa linaendelea.

Kama mtumishi anajiona ana karama na unapendwa na watu wengi, bado una wiwa kufuata taratibu za Kanisa.

Kinyume na hapo kwa karama zako anzisha taasisi yako,

Jeuri na kiburi alichoanza kuonyesha hadharani huyu Dr Rev Eliona Kimaro ni upungufu wa maono ya kutoona mbali.
Kuna fununu kuwa Kimaro alionywa mara kadhaa juu ya tabia yake binafsi kujiona yuko juu ya utaratibu, akakaidi, na wakati mwingine anajibu hadharani, na clips zipo.

Sasa inaelekea anavuna alichopanda.

Kanisa la wachagga hilo... migogoro huwa haiishi. Subiri ukifika wakati wa uchaguzi ndo utaona muziki wake.

Kiufupi KKKT ni kama CCM tu. Uongozi unapatikana kwa kupiga kampeni na kupigiwa kura. Unategemea migogoro itaisha? Ina maana masuala ya kupanga safu huko yapo kwa sana tu.

Wanaokwenda kiimla (Wakatoliki) ni nadra kusikia wanagombana. Mi nimeshuhudia ugomvi wao mmoja tu ule wa Father Nkwera na wanamaombi wake. Ila Katoliki kiongozi wao wa kitaifa hapa Tanzania anateuliwa na Papa. Hapigiwi kura na wakatoliki walioko hapa Tanzania. Wanaambiwa tu, fulani ndo Papa amemteua kuwa Kiongozi wenu Tanzania.

Hapo ugomvi utaanzia wapi? Nani atayeweka kutoka Tanzania akalipate sikio la Papa amuume na umbea na majungu dhidi ya fulani na fulani.
 
Wengi wa wachungaji wenye makanisa yao ni Walutheri, Wakatoliki ni wa kuhesabu!.

Wengi ni walokole. Ni kizazi kipya ambacho hakitokani na hayo makanisa makongwe ya Katoliki na Lutheran. Pili Ukatoliki ni wa kuzaliwa nao. Ndo maana kanisa katoliki halifanyagi mikutano ya injili. Hawana shida ya kutafuta wafuasi, wao wanaamini wafuasi wapya watazaliwa katika familia za kikatoliki. Wakatoliki huwa ni wale waliopikwa kutoka utotoni, na huwa haitakiwi wajue mafundisho mengine zaidi ya ukatoliki.

Kwa hiyo utagundua kuwa ni ngumu sana kwa Padre wa Katoliki kuanzisha kanisa lake. Hawezi kushindana katika ulimwengu wa ulokole. Mapadre wa kikatoliki wakichepuka huwa wanachepuka na wakatoliki wenzao. Mfano Nkwera kaondoka na wakatoliki. Pale kituo cha EMAUS Ubungo napo wanaokwenda sana ni wakatoliki.

Walokole hawawezi kupata mzuka katika ibada za kikatoliki. Ndo maana utakuwa wakatoliki wanakwenda kwenye ulokole, lakini ni ngumu kukuta Mlokole kahamia kwenye ukatoliki.

Ukatoliki umepooza.
 
Kanisa ka Kiinjili, la Kilutheri Tanzania, KKKT ina historia , na ni taasisi ya muda mrefu.

Ina taratibu na kanuni zake , mchungaji au mtumishi atafanya mbwembwe zake zoote lakini lazima awe ndani ya utaratibu wa Kanisa.

Mtumishi akiwa na Karama au upako lazima aongozwe na hekima, na siyo jeuri na kiburi cha kufanya na kusema atakavyo kwa kujiona yuko juu ya taratibu zilizowekwa.

Hakuna Mtumishi aliye juu ya KKKT kama taasisi.
KKKT ni kubwa kiasi kwamba hata askofu hayupo juu ya KKKT.
Sasa hivi tunaona watumishi wanao lipatia kanisa au usharika mafanikio.
Cha kushangaza mafanikio yao yanawapanda kichwani na kuanza jeuri, dharau na kiburi.

Sababu kubwa ni ukubwa wa wafuasi binafsi walionao.

Mwaka jana katika Dayosisi ya Konde , Askofu wake Dr Mwaikali alivuliwa uaskofu. Wengi wa tulioifuatilia ile ibada ya kumvua Uaskofu tulisononeshwa na ukaidi wa Askofu Mwaikali.

Leo, Dayosisi ya KKKT Konde na kanisa linaendelea.

Kama mtumishi anajiona ana karama na unapendwa na watu wengi, bado una wiwa kufuata taratibu za Kanisa.

Kinyume na hapo kwa karama zako anzisha taasisi yako,

Jeuri na kiburi alichoanza kuonyesha hadharani huyu Dr Rev Eliona Kimaro ni upungufu wa maono ya kutoona mbali.
Kuna fununu kuwa Kimaro alionywa mara kadhaa juu ya tabia yake binafsi kujiona yuko juu ya utaratibu, akakaidi, na wakati mwingine anajibu hadharani, na clips zipo.

Sasa inaelekea anavuna alichopanda.
Mithali-16:18-19
18.Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.
19 Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.
 
Mambo ya kiutawala ulitaka yaelezwe hadharani? Hii tabia ya kushadidia mtu inazidi kuota mizizi hasa katika haya makanisa ya kiprotestant.

Tumeona huko Konde na sasa Kijitonyama. Ninyi sio mliomleta hapo. Aliyemleta ana haki ya kumuondoa na kumpeleka pengine anapoona panafaa.
Shida inaanzia kwenye utawala wenyewe. Umempa mtu likizo ya siku 60 na kumwelekeza akirudi aripoti kwako ilitakiwa iishie hapo hapo mengine yaende kimya kimya kama mmeamua hivyo.
Ila anatoka Askofu anasema baadhi ya wachungaji wanakuwa na kiburi,waumini wanawaamini wachungaji kuliko Yesu,hapo naona kuna tatizo.
Kama waliamua kuliendesha kimya kimya ilipaswa liende kimya kimya.
Askofu kutoka kuongea maneno yale pasipo kuelezea hicho kiburi ni kipi ! Hilo ni tatizo kubwa sana.
 
Kanisa likifikia viwango hivi, halina tofauti na chama cha Siasa au genge la sheitwani mwenyewe. Watu wanacheza na roho za watu aisee.
Ukijua tu walioko kanisani ni hawa hawa binadamu tulio nao kwenye maswala mengine sipati tabu kuhusu hilo la migogoro makanisani

Jamini maaskofu na wachungaji hawajatoka mbinguni, ni hawa hawa waliopo kwenye maswala mengine
 
... ingawa mara nyingi viongozi wasio na maono wala karama yoyote wanakuwa na wivu sana ingawa sikatai ukweli kwamba baadhi ya wenye karama nao sometimes wanakuwa na viburi.
Umekata kote kote...nakazia...wasio na karama wana wivu na chuki sana
 
Alionywa kwa kosa lipi?

Waliogopa tu kuwa siku akisimama kugombeya U Askofu atawabwaga wote.

Yupo huyo mkuu wa jimbo naamini ana lenga kuwa Askofu, anadhoofisha wengine nguvu.

Je mmesahau huyu mkuu wa jimbo kufikia hapo alifanya kitu gani?

Na hapa wanajiandaa kumdhoofisha pia Matsai
Unamaanisha Mchungaji Mwangomola

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Kilicho mponza mchungaji wa watu ni kusema kweli mbele ya watu wasiopenda ukweli... Hata ccm ukiwaambia ukweli wanaona unawakosea heshima [emoji23][emoji23] ... Nimemsikiliza mchungaji Tena na Tena, yaani kaongea ukweli mtupuuuu kbs...nilivyo muelewa yule jamaa ni kuwa , wakristo tujisahihishe
Unajua kwanini watu wanaenda Shule kuondoa some of vumbi kichwani ili kujua useme nini wapi na wakati Gani na kwanini useme unaweza kuwa na hoja lkn ukikosea hizo Principal unaumia

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
This is too low for Mamndenyi. Unaombea utengano? Serious? Kisa tu Kimaro kuondolewa Kijitonyama? Inamaana KKKT nzima ni Kimaro tu anayefaa kuwa mchungaji wa Kijitonyama? Mbona wataka kudhalilisha kanisa la KKKT kiasi hiki. Kwani huko atakapopelekwa hakuna watu wanohitaji huduma yake kama ninyi? Tusemeje basi? Ninyi ni wabinafsi sio? Ningekuwa Askofu wa KKKT ningepiga marufuku mahubiri kupitia accounts binafsi za youtube na digital platforms. Wachungaji wengi huzitumia kujitengenezea umaarufu binafsi kuliko taasisi wanayoisimamia, na hivyo kusababisha migogoro isiyo na tija.
Nahii pia ni miongoni mwa shutuma wanazomtuhumu jamaa zake muajiriwa wa Kanisa unahubiri kupitia YouTube channel binafsi Usharika una benefits nini

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Unajua kwanini watu wanaenda Shule kuondoa some of vumbi kichwani ili kujua useme nini wapi na wakati Gani na kwanini useme unaweza kuwa na hoja lkn ukikosea hizo Principal unaumia

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mchungaji akiwa madhabahuni haruhusiwi kuongea mapungufu au uovu wa dini yake ?? Haruhusiwi kuongea ukweli wa dunia inakoelekea ¿?? Ni kweli hakuna wachungaji matapeli??! Vp kuhusu waumuni????
 
Back
Top Bottom