KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

Mkristo wa mashehebu yaliyo chini ya cct au rc chini ya tec. Kuna. Mambo mawili makubwa au sakramenti moja ubatizo na pili kipaimara .
Maana yake wewe unatambua utaratibu na kiuutii kuufuata.
Km alivyo askari anapokuja mzalendo ,kuruta mpaka kuwa mtumishi anafundishwa vitu vya kuishi maisha yake yoote.
Sasa km unaenda kinyume na hicho hata km unafanana lazima upewe jina jingine mfano unaweza kuwa muasi ,mwanamapinduzi nk
kuwa muasi si tusi Ila ww unataka kuendesha mambo tofauti na ulivyo yakutwa yamepangwa kwa utaratibu uliokuta.
Mruteli yeyote. Atakaye kwenda kinyume na mafundisho ya uruteli basi hakuiva anapaswa kuanzisha kanisa jingine au kwenda kwa wanao mfaa na si vinginevyo. Yaani mfano rc Kuna mashirika mbalibali ya kitawa,mtu umepewa parikia uiendeshe km shirika la kitawa wakati utaratibu wa kuendesha. Parokia upo na unajua na umeauapa kuutii. Unadhani askofu mkuu wa Jimbo husika achilia na papa atakuacha salama?
Unapaswa kutetea mapokeo yako bila kuangalia waislam watasemaje kwa sababu waislam sio wa dini yako. Na hamkai mkapa ga pamoja, wao Wana ya kwao Yana wasumbua na wanatafuta wao njia za kutatua na ww pia. Pambana bila kuangalia asie wa mapokeo yako anafanyaje.
 
Tatizo nikutokupenda kuwa chini ya taasisi! Viburi na kujiona bora zaidi ndipo shida
 
Afate Utaratibu Tu Hakuna Namna
Hawa Viongozi Wetu Mahubiri Yao Yanafuatiliwa Kwa Karibu Na Mamlaka Zilizo Juu Yake. Ukakasi Upo Sehemu
 
Kwa mujibu wa barua kastopishwa na kapewa likizo ya lazima na akirudi aripoti jimboni tofautisha na kuhamishwa Chief.
Umapokwenda likizo ya hiyari au lazima haupaswi kujishugukisha na Jambo lolote la ofisi labda mwwajiri akuite
 
Njoo UWATA kanisa zuri chimbuko la wokovu hutajuta maisha Yako yoooote
 
Uko sahihi
 
 
 

Attachments

  • 5155827-734a386493bc5ca1b051839e610e2fb4.mp4
    7.5 MB
Wewe umesema huna pa kusali, sasa haya mambo ya kimaro ya kutokuwa mwaminifu ktk mambo ya fedha, umeyajuaje? Nikisema wewe ni mmoja wa hao wenye wivu na mafanikio yake na kuamua kuleta hoja ya ubadhirifu utakataa?
Basi Mjue, hata mkimtoa, hamtafanikiwa kumzima... Yeye anatumia kipawa chake kwa ubunifu na upendo mkubwa ktk kujenga ufalme wa Mungu wakati wengine wana angalia vyeo na pesa.... Muda utaongea tu, na aibu yenu mtaipata!
 
Hao ndiyo waleeee!!!!
 
Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)
Hili huwa ni tatizo kwa waliowengi kuona kama wana haki miliki ya Mtaa, Usharika, Jimbo na Dayosisi wakati mtumishi wa Mungu anatakiwa kuwa tayari kuhubiri au kutumika popote wakati wowote, yeye ni kama askari wa vita hachagui uwanja wa mapambano
 
Hili huwa ni tatizo kwa waliowengi kuona kama wana haki miliki ya Mtaa, Usharika, Jimbo na Dayosisi wakati mtumishi wa Mungu anatakiwa kuwa tayari kuhubiri au kutumika popote wakati wowote, yeye ni kama askari wa vita hachagui uwanja wa mapambano
Sawa
 
Nimeitwa nimepewa barua ya likizo y asiku 60 imenilazimu kwenda likizo ya siku 60 nitarudi tarehe 17.03.

Jana nilikwenda Makao makuu... nitaku lkizo ya siku 60 Mungu akipenda nitarudi 17.03. Bado kiroho tutawakuwa pamoja......... Ila asingweza kusema hivyo tayari
 
hamjayajua mafundisho mazuri, ndio maana hata hayo mnaona mazuri. sawa na mtoto wa maskini kusema anakula chakula kizuri, akija kulishwa kile cha watoto wa masaki, ataona hajawahi kula kabisa. okokeni, jiungeni na makanisa yanayohubiri wokovu na kuongozwa na Roho (wala sio hayo ya manabii na mitume, ila yale wa wokovu wa kweli), hapo mtajua nini mahubiri na nini makapi hata kama mtu anajua kuongea tu mbele za watu na kutafuta popularity.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…