KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja...
Mkuu kama kosa ni tuhuma tukisema tuhuma za Malasusa humu kutakalika? Mi nafikir ni hekima imekosekana tu. Watu hawajakataa kuhamishwa Mzee ila mfumo uliotumika kwanini likizo na kwanini katikati ya semina. Eti ametolea mfano vijana wa kiislam na WA kikristo hilo mbona liko wazi sana.

Kwani Yesu alivyowaambia wanafunz Wake makahaba na watoza ushuru wanawatangulia kwenda mbinguni alikuwa amewapaisha makahaba au alitaka watubu.

Hawa viongoz wa dini wanatumia mfumo wa kanisa kuzuia watu wanaohisi wanakubalika kuliko wao.
 
NAUNGA MKONO HATUA ZA KANISA KUMSIMAMISHA KAZI.

Mch.Dr Kimaro hivi karibuni alitoa kauli ya kushangaza na ya kusikitisha sana na ilikuwa na madhara makubwa sana Kwa vijana WA Imani yake.

Alisema " Vijana WA Imani ya...
Duh unedadavua vyema sana
 
Mkuu kama kosa ni tuhuma tukisema tuhuma za Malasusa humu kutakalika? Mi nafikir ni hekima imekosekana tu. Watu hawajakataa kuhamishwa Mzee ila mfumo uliotumika kwanini likizo na kwanini katikati ya semina. Eti ametolea mfano vijana wa kiislam na WA kikristo hilo mbona liko wazi sana. Kwani Yesu alivyowaambia wanafunz Wake makahaba na watoza ushuru wanawatangulia kwenda mbinguni alikuwa amewapaisha makahaba au alitaka watubu. Hawa viongoz wa dini wanatumia mfumo wa kanisa kuzuia watu wanaohisi wanakubalika kuliko wao.
Tusifike humu! Yule kahamishwa akatumike na kwingine!
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
Kimaro akaanzishe kanisa lake KKKT(K), hiyo K ndani ya mabano ni Kimaro.
 
Kwani uamisho si sehemu ya majukum?kanisa alilonalo kimaro ni kanisa la kimfumo si la mtu hivyo ni km serikali anaamishwa mtu kutoka point a kwenda b, anaweza akaja mzuri au mbaya kuliko kimaro..hatupaswi kuwekeza kwenye watu. Tunapaswa kuwekeza kwenye mifumo imara.
KKKT Ina mapokeo yake km yalivyo makanisa mengine,Wana KKKT muishi humo..hayo mambo ya fellowship na vipindi vingine ni ziada Ila kalenda yenu ya mwaka na liturujia muifuate km inavyopaswahuo ndo uluteri.
Km ilivyo kwa Roman Catholic na Anglican ,Lutheran sio kanisa km la kakobe au la mwingila au gwajima nk.
 
Kwani uamisho si sehemu ya majukum?kanisa alilonalo kimaro ni kanisa la kimfumo si la mtu hivyo ni km serikali anaamishwa mtu kutoka point a kwenda b, anaweza akaja mzuri au mbaya kuliko kimaro..hatupaswi kuwekeza kwenye watu. Tunapaswa kuwekeza kwenye mifumo imara.
KKKT Ina mapokeo yake km yalivyo makanisa mengine,Wana KKKT muishi humo..hayo mambo ya fellowship na vipindi vingine ni ziada Ila kalenda yenu ya mwaka na liturujia muifuate km inavyopaswahuo ndo uluteri.
Km ilivyo kwa Roman Catholic na Anglican ,Lutheran sio kanisa km la kakobe au la mwingila au gwajima nk.
Hakika kabisa
 
Haya mambo yanayotokea makanisani ni kama ya familia, huwa naona yakiibuka wengi hukimbilia kuhukumu kwa kutoa sababu za pesa, au nyinginezo lakini ukweli hawaujui..

Naona wenye familia [waumini] hasa wale wanaohudhuria ibada kwenye makanisa husika, wanaopata nafasi ya kusikiliza mahubiri ya wachungaji husika, hivyo kuzijua tabia zao, ndio waachwe watoe maoni yao, wengine tuwe watazamaji tu.

Kama umeshasema kwa mtazamo wako unamuona anajiamini, hayumbishwi, sasa iweje tena utake mtu wa aina hiyo awekwe chini ya usimamizi wa kiongozi mwingine? unadhani kwa hiyo tabia yake ya kujiamini atakubali kufuata ushauri wa kiongozi wake?
"kujiamini" sio sifa mbaya,maana yake kiongozi hatayaumbishwa akiawa kwenye mstari sahihi.
Kosa ni kusema Mungu akikupandisha hakuna wa kukushusha?? 🤣 .wana sababu mbovu zaidi ila wanajaribu kutengeneza uhalali wa waliyoyafanya tu. Wangeweza tu kumuhamisha kawaida bila kutengeneza kashfa kama kweli suala n kituo tu,ila hapa kuna Agenda ya kumuondoa kabisa kama mtumishi wa kanisa.Kuna chuki na hila nyingi,sababu sijui anazungumzia wizi na tabia ovu za viongozi??Mungu alitetee kanisa lake
 
Kwani uamisho si sehemu ya majukum?kanisa alilonalo kimaro ni kanisa la kimfumo si la mtu hivyo ni km serikali anaamishwa mtu kutoka point a kwenda b, anaweza akaja mzuri au mbaya kuliko kimaro..hatupaswi kuwekeza kwenye watu. Tunapaswa kuwekeza kwenye mifumo imara.
KKKT Ina mapokeo yake km yalivyo makanisa mengine,Wana KKKT muishi humo..hayo mambo ya fellowship na vipindi vingine ni ziada Ila kalenda yenu ya mwaka na liturujia muifuate km inavyopaswahuo ndo uluteri.
Km ilivyo kwa Roman Catholic na Anglican ,Lutheran sio kanisa km la kakobe au la mwingila au gwajima nk.
Lkini hapa Kimaro HAJAMISHWA!!hata wangekua na ajenda yao wangemuhamisha kimyakimya ingekuwa bora sana.Hajahamishwa na hajawahi gomea uhamisho,hata sasa kasimamishwa hajagomea kusimamishwa. Kuna jambo kubwa zaidi uongozi wa Dayosisi unajariub kuficha
 
Lkini hapa Kimaro HAJAMISHWA!!hata wangekua na ajenda yao wangemuhamisha kimyakimya ingekuwa bora sana.Hajahamishwa na hajawahi gomea uhamisho,hata sasa kasimamishwa hajagomea kusimamishwa. Kuna jambo kubwa zaidi uongozi wa Dayosisi unajariub kuficha
Mbona huhamishwa ni kawaida tu
 
Siyo Jambo la Ajabu wala Mchungaji kupewa Likizo na Kuhamishwa kwenye Usharika mmoja kwenda mwingine

Kama Hamfahamu Hakuna Sharika Mchungaji Kimaro aliokaa kwa Mafanikio Makubwa yake Binafsi ya Kanisa na Dayosisi nzima kwa muda mrefu kama Usharika wa Kariakoo! Lakini ilifikia mahali akaondoka; Aliondoka huku akiwa ameshapata misukosuko Mikubwa ya Kusimamishwa kutokana na Kashfa kubwa iliyoikumba Kanisa. Ila mwisho wa siku alirudi na Kuendeleza Injili Pale pale Usharika wa Kariakoo baada ya Hapo ndo alipelekwa Kijitonyama Mpka hapo Jana alipopewa likizo ya Kupumzika kwa siku 60.
 
Wanamtaka Kimaro siyo Kristo!!!! Hapa pana shida kubwa!!! Hayo mafundisho hayajawaingia hao
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
Wanmtaka Kimaro siyo Kristo!!! Hapa pana shida kubwa. Inaonyesha mafundisho hayajawaingia hawa watu!!!!
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
Ulichosema sio kweli. Mchungaji kimaro ni msimamizi mzuri wa rasilimali za fedha na yuko makini sana eneo hilo. Alipokea usharika ukiwa na deni la mamilioni na jengo na mali za KKKT Kijitonyama kutaka kuuzwa na benki. Mlivumilia sana huduma zake mpaka hivi karibuni alipomaliza kulipa deni. Na sababu ya yeye kuweza kumaliza deni ni kuwa Dayosisi walikuwa wanapangia matumizi mengine fedha za kulipia deni. Kwa hili ulilosema uje na ushahidi wa kutosha.

Baada ya kuvumilia deni limelipwa sasa Njama za kumuondoa zikaanza kupangwa.

Ni mtu mwenye akili, msimamo, asiyetetereka na anayeweza kulifia neno analotamka.

Wengi wetu hatupendi kuambiwa ukweli. Na ukiwa unasema kweli kuwa na hakika wengi watakupinga.
 
Lkini hapa Kimaro HAJAMISHWA!!hata wangekua na ajenda yao wangemuhamisha kimyakimya ingekuwa bora sana.Hajahamishwa na hajawahi gomea uhamisho,hata sasa kasimamishwa hajagomea kusimamishwa. Kuna jambo kubwa zaidi uongozi wa Dayosisi unajariub kuficha
Kapewa likizo,yule ni muajiliwa km mwalimu au daktari na Wana viapo vyao,kupewa likizo mwajiri wake,ifahamike muajiri anaweza kukupa likizo au wewe muajiriwa. Kuomba likizo.
Kuna Aina nyingi za likizo,na baada ya likizo ameambiwa akaripoti makao makuu maana watampangia majukum .
KKKT ni kanisa la kimnyororo,leseni yake ya kukaa kuhubili au kufundisha neno la Mungu imedhaminiwa na kanisa na kwayo ana kiapo Chao Cha kueshimu sio mamlaka tu Bali mapokeo ya kanisa yaani uruteli na si vinginevyo.
Kabla ya yeye kulikua na changamoto za askofu Jerry dhidi ya KKKT, na mwisho wake tunaukumbuka wote ,hivyo naona Mimi ni kawaida ndo kukua kwa kanisa na Imani yao,
Pia Kuna yule askofu Mungu dhidi ya Dayosisi yake,
Unaposajili kanisa Kuna taratibu kanuni miongozo na taratibu,ndo maana anapoapishwa anakili kuufuata mafundisho ya Luther na si vinginevyo.
Km Kuna karama zingine unaruhusiwa kuwa na vipindi baada ya ibada .
Kulikua na changamoto km hizo kwa padre Nkwela kuhusu kalama yake na mafundisho ya ukatoliki. Na katoliki walichukua. Hatua stahiki kwa wakati dhidi ya mapokeo yao.
Hivyo tusilichukulie suala personal badala ya kulichukulia km suala.la.kitendaji kwa maana pale kijitonyama sio usharika wa kwanza kuanzisha yeye na. Hata baada ya. Yeye watakuja wengine. Na wengine .
 
Wanamtaka Kimaro siyo Kristo!!!! Hapa pana shida kubwa!!! Hayo mafundisho hayajawaingia hao

Wanmtaka Kimaro siyo Kristo!!! Hapa pana shida kubwa. Inaonyesha mafundisho hayajawaingia hawa watu!!!!
Ndo hapo sasa!
 
Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani.

Ila kwenye hili...

Mch.Kimaro anapaswa kuwa na hekima ya ki Mungu sana kwenye hili lililotokea...

Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)

But yote kwa yote sijui nini kimetokea hadi kupelekea hayo..Nimuombee tu yamalizike salama na arejee kwenye kulisha Kondoo wake.
KKKT ina utaratibu wake wa kuwahamisha watumishi kutoka kituo A kwenda kituo B.

Huo ukiotumika kwa Kimaro siyo utaratibu wa kawaida ile ni adhabu!

Kina mchungaji mwingine anaitwa Kisanga alikuwa usharika wa Kitunda relini alisimamishwa miezi 2 baada ya kufanya kosa la kimaadili na sasa hivi yupo Usharika wa chanika baada ya kutubu kosa lake.
 
Tatizo ni kwamba. dhehebu linalazimisha mtu usali kitu kilichopo kwenye kitabu. Yaani mfano keo tarehe 18/January ila sala ya tarehe 31/12 imeshaandikwa. Ukianza kusali tofauti tayari unaitwa mlokole. Dini zina changamoto na hapa tunawafaidisha tu waislam wanapata cha kusema
 
Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani.

Ila kwenye hili...

Mch.Kimaro anapaswa kuwa na hekima ya ki Mungu sana kwenye hili lililotokea...

Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)

But yote kwa yote sijui nini kimetokea hadi kupelekea hayo..Nimuombee tu yamalizike salama na arejee kwenye kulisha Kondoo wake.
Sijui kwanini siku hizi wakristo umehamia kwenye kuamini watu badala ya kanisa.

Yani mijitu mizima imeandamana eti inamtaka mchungaji wao.
 
Tatizo ni kwamba. dhehebu linalazimisha mtu usali kitu kilichopo kwenye kitabu. Yaani mfano keo tarehe 18/January ila sala ya tarehe 31/12 imeshaandikwa. Ukianza kusali tofauti tayari unaitwa mlokole. Dini zina changamoto na hapa tunawafaidisha tu waislam wanapata cha kusema
Taasisi maanayake ni utaratibu!

Wewe kwanini uwe kinyume na utaratibu?
 
Back
Top Bottom