KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀hawezi kupelekwa mtukula, huyo ni mtumishi wa dayosisi ya mashariki na Pwani, anaweza kupelekwa sharika/mitaa ya pembezoni
Aje Kerege
 
  • Kicheko
Reactions: ram
Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani...

Nguvu ya mamba kumai, hakuna aliye mkubwa kuliko taasisi
 

Nguvu ya mamba kumai, hakuna aliye mkubwa kuliko taasisi
Ndiyo Mtani...

Hata maandiko yametuandika "Tii Mamlaka iliyo kuu."
 
Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani.

Ila kwenye hili...

Mch.Kimaro anapaswa kuwa na hekima ya ki Mungu sana kwenye hili lililotokea...

Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)

But yote kwa yote sijui nini kimetokea hadi kupelekea hayo..Nimuombee tu yamalizike salama na arejee kwenye kulisha Kondoo wake.
Kondoo umesikia
 
Kwa uwasilishaji huu haukosi kuwa kiongozi Mkuu wa imani hiyo au mmoja wao. Ijapokuwa umekana hapo juu. Tatizo lake kubwa inaonekana ni fedha, kiburi na kuaminiwa na watu
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja...
Tuseme ndio mwanzo wa yeye kuanzisha kanisa lake?

nafikiri kimaro alianza na kufanya kazi sehemu tofauti mfano usharika wa kariakoo

Kwahiyo ni jambo la kawaida kwetu ila kwa alipofikia sahizi ni kusema lolote linaweza tokea na mpasuko wa viongozi ukizingatia yeye ndio mwanzilishi wa injili ya uamsho ,yeye ndio kapunguza kasi ya watu kwenda kwenye makanisa ya manabii

KKKT mfumo wake wa kuhubiri ulianza kunadilika baada ya vuguvugu la aina ya mahubiri ya Eliona Kimaro
 
Waafrica hawawezi kukuacha ukue ndugu.... they will want you to grow but not greater than them..

The same people majungu, Fitna na Chuki..

Unatoka hapo unaanzisha huduma yako tu ndugu Kimaro... Hakuna wa kukufanya lolote...
Asili ya Protestant ni hiyo hiyo kama ilivokuwa kwa Martin Luther...

Some of us were born with tough muscles by Grace of God. kuonewa na kutumikishwa kama mbwa kwa kisingizio cha taasisi ni so old school.
See
TD Jakes
Bismarck
Ostein
Munroe
Etc etc...
Tengeneza hii heshima Mungu aliyokupa... achana na hivi vitu
 
Kwa uwasilishaji huu haukosi kuwa kiongozi Mkuu wa imani hiyo au mmoja wao

Naam;
But the bottom line is mambo ya madhabahuni wacha wajadili huko, wengi wetu humu tutaoa maoni ya ki mwendokasi na kuishia kukufuru!

Nawaza tu!
 
Shida kubwa ni mapato.
Wachungaji wana wivu mkubwa kuliko wanavyotuhubiri.
WAmeona jamaa kaliendeleza kanisa, waumini ni wengi so wanataka kuweka mtu wao
 
Waafrica hawawezi kukuacha ukue ndugu.... they will want you to grow but not greater than them..

The same people majungu, Fitna na Chuki...
Haya makanisa makubwa yana misingi imara sana! Usifikili ni rahisi kutoka ukabakia na makali yaleyale!

Sakata lake halitakuwa tofauti na Feisal!
 
Tatizo siyo uchaga! Labda kama kazitumia tabia za kichaga kwenye masuala ya pesa
Yote hayo uliyoandika umeyajuaje mkuu ilhali umesema wewe siyo muumini? Kwa uandishi wako unaonekana nawe ni mdau.

Vyovyote iwavyo KKKT kuna shida kubwa, wachungaji wengi na viongozi shida kubwa ni maslahi.
 
Back
Top Bottom