- Thread starter
- #21
Wapi hakuna uchawi nduguKkkt viongozi wengi Ni wachawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi hakuna uchawi nduguKkkt viongozi wengi Ni wachawi
Aje Kerege😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀hawezi kupelekwa mtukula, huyo ni mtumishi wa dayosisi ya mashariki na Pwani, anaweza kupelekwa sharika/mitaa ya pembezoni
Angalau wewe umeielewa hoja yake ya Difensive! Niliyoieleza kwenye Uzi!Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani...
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!
Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja
Awe Mlei tu maana atatuletea mafundisho ya KiprotestantiSisi wakatoliki tutamchukua awe katekista
Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani...
Ndiyo Mtani...Nguvu ya mamba kumai, hakuna aliye mkubwa kuliko taasisi
Sikio ni sikio tuu, kamwe haliwezi kuzidi kichwa(sikio la binadamu) kwakuwa hilo sikio limebebwa na hicho kichwa..! Mamba na maguvu na ubabe wake wote ni akiwa ndani ya maji... Nje ya maji hana tofauti na joka la kibisa... Yale majoka makubwa ya kufugwa yanayotumiwa kwenye michezo Taasisi...www.jamiiforums.com
Nguvu ya mamba kumai, hakuna aliye mkubwa kuliko taasisi
Kondoo umesikiaMimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani.
Ila kwenye hili...
Mch.Kimaro anapaswa kuwa na hekima ya ki Mungu sana kwenye hili lililotokea...
Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)
But yote kwa yote sijui nini kimetokea hadi kupelekea hayo..Nimuombee tu yamalizike salama na arejee kwenye kulisha Kondoo wake.
Kabisa kanisa mkuu! Unaweza ukawa mchambuzi mzuri humu Jamii Forum lakini HAIZUIII kupigwa BAN Ukizingua!Ndiyo Mtani...
Hata maandiko yametuandika "Tii Mamlaka iliyo kuu."
Watu wa dizain hii wenye uwezo wa kuamsha hisia za watu ni hatari sana
Tuseme ndio mwanzo wa yeye kuanzisha kanisa lake?Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!
Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja...
Kwa uwasilishaji huu haukosi kuwa kiongozi Mkuu wa imani hiyo au mmoja wao
Haya makanisa makubwa yana misingi imara sana! Usifikili ni rahisi kutoka ukabakia na makali yaleyale!Waafrica hawawezi kukuacha ukue ndugu.... they will want you to grow but not greater than them..
The same people majungu, Fitna na Chuki...
Yote hayo uliyoandika umeyajuaje mkuu ilhali umesema wewe siyo muumini? Kwa uandishi wako unaonekana nawe ni mdau.Tatizo siyo uchaga! Labda kama kazitumia tabia za kichaga kwenye masuala ya pesa
Kwahiyo unamaanisha maombi yake na mafundisho yake yanawaumiza wachawi hao?Kkkt viongozi wengi Ni wachawi