KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

hamjayajua mafundisho mazuri, ndio maana hata hayo mnaona mazuri. sawa na mtoto wa maskini kusema anakula chakula kizuri, akija kulishwa kile cha watoto wa masaki, ataona hajawahi kula kabisa. okokeni, jiungeni na makanisa yanayohubiri wokovu na kuongozwa na Roho (wala sio hayo ya manabii na mitume, ila yale wa wokovu wa kweli), hapo mtajua nini mahubiri na nini makapi hata kama mtu anajua kuongea tu mbele za watu na kutafuta popularity.
Kila mtu 'aamini kile anachoamini...
Hayo Makanisa ukijiunga wewe inatosha...
 
ASKOFU MWAMAKULA AZUNGUMZIA SUALA LA KUSIMAMISHWA KWA MCH. DKT. KIMARO

Taarifa za kupewa likizo na kusimamishwa kwa muda kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Usharika wa Kijitonyama Mch. Dkt. Eliona Kimaro zimeanza kuenea katika mitandao ya kijamii na kuzua hisia nzito miongoni mwa waumini na wasio waumini wa KKKT. Kimaro ni miongoni mwa watu maarufu, hivyo suala hili haliwezi kuchukuliwa wepesi.

Hapa tumeweka tazamo wetu wa kitheologia ili kutoa mchango wetu katika hoja hii. Ni dhahiri kuwa misimamo binafsi ya Mch. Dkt. Kimaro imemtia katika misuguano mingi na uongozi wa KKKT kwa kipindi kirefu. Lakini, misimamo hiyo iliweza kuvumiliwa ndani ya KKKT na ndio maana alipewa kuongoza Usharika mkubwa katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani.

Tumefuatilia kutoka kwa baadhi ya viongozi ndani ya Dayosisi ya Mashariki na kuelezwa kuwa matamshi ya Mch. Dkt. Kimaro aliyoyatoa hivi karibuni baada ya kutoka Marekani ndiyo yaliyopelekea uongozi wa Dayosisi kumuita na kumpa likizo ambayo imeibua hisia na mjadala mzito baada ya yeye Mch. Dkt. Kimaro kutoa hadharani jambo ambalo lilikuwa ni karipio la Kichungaji.

Kwa mujibu wa video iliyosambaa, Mch. Dkt. Kimaro amesikika akisema kuwa vijana wa Kikristo sio waaminifu bali vijana wa Kiislamu ndio waaminifu kuliko vijana wa Kikristo. Mch. Dkt. Kimaro amesikika pia akisema kuwa watu wote wanaosimama madhabahuni [Wainjilisti, Wachungaji na Maaskofu] ni matapeli na watu wote waliokaa kwenye viti [vya ibadani - Wazee wa Kanisa na waumini] ni matapeli pia. Mch. Dkt. Kimaro amekwenda mbali zaidi na kusema kuwa takwimu [hajataja ni takwimu gani na taasisi iliyotoa takwimu hizo] zinaeleza hayo aliyosema.

Kitheologia tunapata tafsiri kuwa Mch. Dkt. Kimaro hana imani na maadili ya Kikristo, hana imani na mafundisho ya Kikristo na pia hana imani hata na watumishi wenzake wote wa Kikristo kutoka madhehebu yote nchini Tanzania. Tafsiri hapa ni kuwa Mch. Dkt. Kimaro anaonesha kuwa ana imani na maadili ya Kiislamu, mafundisho ya Kiislamu na hata Mashehe wa Kiislamu. Pia, Mch. Dkt. Kimaro anaonesha kuwa hana imani pia na hata vijana wake wa Kikristo ndani ya KKKT na nje ya KKKT ambao siku zote yeye mwenyewe amekuwa akiwafundisha katika ibada, mikesha, semina, morning glory, bali ana imani kubwa na vijana wa Kiislamu ndio maana akawaajiri hao katika miradi yake.

Mtumishi ye yote (Mwinjilisti, Mchungaji/Padre au Askofu) kutoka katika madhehebu yetu ya Katholiko (RC, Moravian, Lutheran, Anglikana na Orthodox) akitoa kauli kama hizo, ni lazima aitwe na uongozi wake, ahojiwe na hata ikibidi achunguzwe. Hicho ndicho kilichotokea kwake Mch. Dkt. Kimaro kuitwa na uongozi wa KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani, kuhojiwa na kuchunguzwa. Kauli zake alizotoa zimepingana na imani, mafundisho na maadili ya Kikristo! Kauli ya Mch. Dkt. Kimaro hayakushambulia Ulutheri tu, bali kwa kujua au hata kutokujua, kauli yake ilishambuliwa Ukristo wote kwa ujumla katika nchi hii.

Kwa sababu hiyo, sisi Askofu tunatoa wito kwa waumini wote wa Kikristo nchini kuwa watulivu wakati KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani inashughulikia jambo la Mch. Dkt. Kimaro. Sisi tumelazimika kuandika baada ya kuona kuwa jambo hili limeanza kusambaa mitandaoni na kubeba hisia zaidi kuliko uhalisia na pengine kubeba upotofu mwingi zaidi kuliko ukweli.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki.
Huyu mtumishi huwa ninamuelewa sana,wengi wanapiga kelele na kulaumu tu bila kujua kuwa Matamshi ya Mchungaji Kimaro hayaleti picha nzuri Kimaadili ya Kikristo.
 
"kujiamini" sio sifa mbaya,maana yake kiongozi hatayaumbishwa akiawa kwenye mstari sahihi.
Kosa ni kusema Mungu akikupandisha hakuna wa kukushusha?? [emoji1787] .wana sababu mbovu zaidi ila wanajaribu kutengeneza uhalali wa waliyoyafanya tu. Wangeweza tu kumuhamisha kawaida bila kutengeneza kashfa kama kweli suala n kituo tu,ila hapa kuna Agenda ya kumuondoa kabisa kama mtumishi wa kanisa.Kuna chuki na hila nyingi,sababu sijui anazungumzia wizi na tabia ovu za viongozi??Mungu alitetee kanisa lake
Moral Theologist tu ndio wanaweza kuelewa kuwa Mchungaji Kimaro ana kosa na kilichofanyika ni sahihi kwaajili ya Ustawi wa roho za waumini.
 
Haya mambo ya Vyeo yanaleta kutukuzwa watu badala ya Mungu. Kiasi kwamba mtu anajiona yeye Yuko juu ya wengine

Bora Mashahidi wa Yehova(JEVOVA's WITNESS) hawana upuuzi huu. Wote mnakuwa wanafunzi wa Biblia.
Lkn Maandiko Matakatifu yenyewe yanatutaka tutii mamlaka,na mamalaka zote zimetoka kwake,kwa hiyo kinyume chake lazima ukutane na mkong'oto tu.
 
Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

Walitaka kumuhamisha lini?
Je, huo ndio utaratibu wa kuhamishwa?
Alikataa kwani akihama si wahumi I wanamfuata au?
Na wa online nimesoma wiki hii ni wengi Sana na ndio wanatoa sadaka kubwa, si watamfata alipo au?
Kariakoo mbona alitoka kwenye wafanya biashara?
 
Mkristo wa mashehebu yaliyo chini ya cct au rc chini ya tec. Kuna. Mambo mawili makubwa au sakramenti moja ubatizo na pili kipaimara .
Maana yake wewe unatambua utaratibu na kiuutii kuufuata.
Km alivyo askari anapokuja mzalendo ,kuruta mpaka kuwa mtumishi anafundishwa vitu vya kuishi maisha yake yoote.
Sasa km unaenda kinyume na hicho hata km unafanana lazima upewe jina jingine mfano unaweza kuwa muasi ,mwanamapinduzi nk
kuwa muasi si tusi Ila ww unataka kuendesha mambo tofauti na ulivyo yakutwa yamepangwa kwa utaratibu uliokuta.
Mruteli yeyote. Atakaye kwenda kinyume na mafundisho ya uruteli basi hakuiva anapaswa kuanzisha kanisa jingine au kwenda kwa wanao mfaa na si vinginevyo. Yaani mfano rc Kuna mashirika mbalibali ya kitawa,mtu umepewa parikia uiendeshe km shirika la kitawa wakati utaratibu wa kuendesha. Parokia upo na unajua na umeauapa kuutii. Unadhani askofu mkuu wa Jimbo husika achilia na papa atakuacha salama?
Unapaswa kutetea mapokeo yako bila kuangalia waislam watasemaje kwa sababu waislam sio wa dini yako. Na hamkai mkapa ga pamoja, wao Wana ya kwao Yana wasumbua na wanatafuta wao njia za kutatua na ww pia. Pambana bila kuangalia asie wa mapokeo yako anafanyaje.
Umeona eenhh?!!,Angalau wewe ni muelewa.
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
KKK ni taasisi ya kimakabila na wachaga wana nuio la kuamini ni dhehebu lao.
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
Hongera kwa uhandishi mzuri
 
Mleta uzi uko nashukuru kwa uchambuzi wako tena wa bila kuchukua upande, Mch. Kimaro awe myenyekevu na kuwatii viongozi na kuendelea na kazi ya kuhubiri neno la Mungu , asikubali shetani amtie majaribuni, Uongozi wa KKKT nao wasiwe wagumu sana katika hili shauri.
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
Pia ni mkabila yeye anadhani kanisa ni la Wachaga, na wanaotoa mapovu kumtetea wengi wao ni Wachaga wenzake, alishajiona yeye ndie yeye akasahau kuwa kanisa ndilo lililomfanya ajulikane na ndio lililomsomesha hadi akajawa na kibri kwa mwajiri wake, akwende zake akaanzishe kanisa lake na aondoke na hao chawa wake, amelikuta kanisa na ataliacha kanisa.
 
Mleta uzi uko nashukuru kwa uchambuzi wako tena wa bila kuchukua upande, Mch. Kimaro awe myenyekevu na kuwatii viongozi na kuendelea na kazi ya kuhubiri neno la Mungu , asikubali shetani amtie majaribuni, Uongozi wa KKKT nao wasiwe wagumu sana katika hili shauri.
Kweli kabisa mkuu
 
Pia ni mkabila yeye anadhani kanisa ni la Wachaga, na wanaotoa mapovu kumtetea wengi wao ni Wachaga wenzake, alishajiona yeye ndie yeye akasahau kuwa kanisa ndilo lililomfanya ajulikane na ndio lililomsomesha hadi akajawa na kibri kwa mwajiri wake, akwende zake akaanzishe kanisa lake na aondoke na hao chawa wake, amelikuta kanisa na ataliacha kanisa.
Tatizo kiburi
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
nimecopy vichache tu toka kwenye post yako, hivi hapa

  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
jambo la kwanza kuelewa ni kwamba, kazi ya kuhubiri sio ya mwanadamu, ni ya Mungu mwenyewe kwa njia ya Roto Mtakatifu. mtu asiye na Roho Mtakatifu hana uwezo kuhubiri au kufanya kazi yeyote ya Mungu. why nasema hivi? ni kwasababu hekima ya mwanadamu, elimu au uwezo wake wa kibinadamu hauna nguvu ya kubadilisha roho na kugeuka kuacha dhambi. ila hata tone tu la Roho Mtakatifu likikutana na roho ya mtu kwa kusikia toka kwa watu ambao Mungu anawatumia, linabadilisha. bahati mbaya, huwezi kumpata Roho mtakatifu kama hujaokoka, na kimaro amesoma tu theology ila hajaokoka. hivyo hata Roho Mtakatifu hana, hivyo mahubiri yake yote ni motivation speeches tu.

unasema kimaro anawjaua watu anaowahubiria. kwa kifupi ni kwamba, Mungu ndio anatakiwa awe anatujua, sio sisi. unapohubiri unatakiwa kutumika kama chombo tu, Roho Mtakatifu anakuwa ndani yako, anaongoea toka ndani yako kwa kukutumia wewe kama chombo. hivyo wee hautakiwi kumjua kiundani mtu unayemhubiria, bali Roho wa Mungu ndio anatakiwa kumjua kwasababuu yeye anao uwezo kuchunguza mioyo, na kujua huyu anahitaji Neno lipi. hivyo ukiona mchungaji anahubiri kwasababu anawajua watu anawahubiria jua hata hajui kwasababu uwezo wake kujua watu upo limited, unaishia tu mwilini.

ukisema kimaro hayumbishwi, kama kweli ni hivyo, basi huyo hafai hata kuwa kiongozi. hii ni kwasababu wewe ungekuwa mtu wa Mungu, unawajibika kusikiliza viongozi wako wanasema nini, kama wanasema jambo ambalo sio dhambi, unatakiwa kuwafuata kwasababu ni viongozi wako. huwezi kusema huyumbishwi kwasababu Mungu sio Mungu wa machafuko, ni Mungu wa utaratibu, na anataka watu wawe na taratibu na anakubaliana na jambo ambalo wanadamu wanakubaliana kwa Jina lake. kwahiyo kama mmekublaiana kufuata taratibu fulani za kiuongozi, wewe uliyepo humo kwenye hicho kikundi ukivunja umevunja kitu ambacho hata Mungu aliridhia na ni dhambi. kimaro kuwa mchungaji wa lutheran aliridhia kuwa chini ya taratibu za kilutheri. kuzivunja ni kosa na hawezi kusema hayumbishwi wakati yeye pale ni mwajiriwa tu, kanisa sio mali yake.

mwisho, nawashauri walutherani, mshaurini huyo mwenzenu awanyamazishe wale waumini wake aliowaingiza kwenye usaliti waacha fujo, waendelee na maisha kwasababu, kama kweli wanamwabudu Mungu, hawatakiwi kufuata mwanadamu bali Mungu, na Mungu anaweza kuamua kumtumia yeyote apendaye, hata kama wewe utajiona upo bora kuliko wengine au una umaarufu kuliko wengine.
 
nimecopy vichache tu toka kwenye post yako, hivi hapa

  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
jambo la kwanza kuelewa ni kwamba, kazi ya kuhubiri sio ya mwanadamu, ni ya Mungu mwenyewe kwa njia ya Roto Mtakatifu. mtu asiye na Roho Mtakatifu hana uwezo kuhubiri au kufanya kazi yeyote ya Mungu. why nasema hivi? ni kwasababu hekima ya mwanadamu, elimu au uwezo wake wa kibinadamu hauna nguvu ya kubadilisha roho na kugeuka kuacha dhambi. ila hata tone tu la Roho Mtakatifu likikutana na roho ya mtu kwa kusikia toka kwa watu ambao Mungu anawatumia, linabadilisha. bahati mbaya, huwezi kumpata Roho mtakatifu kama hujaokoka, na kimaro amesoma tu theology ila hajaokoka. hivyo hata Roho Mtakatifu hana, hivyo mahubiri yake yote ni motivation speeches tu.

unasema kimaro anawjaua watu anaowahubiria. kwa kifupi ni kwamba, Mungu ndio anatakiwa awe anatujua, sio sisi. unapohubiri unatakiwa kutumika kama chombo tu, Roho Mtakatifu anakuwa ndani yako, anaongoea toka ndani yako kwa kukutumia wewe kama chombo. hivyo wee hautakiwi kumjua kiundani mtu unayemhubiria, bali Roho wa Mungu ndio anatakiwa kumjua kwasababuu yeye anao uwezo kuchunguza mioyo, na kujua huyu anahitaji Neno lipi. hivyo ukiona mchungaji anahubiri kwasababu anawajua watu anawahubiria jua hata hajui kwasababu uwezo wake kujua watu upo limited, unaishia tu mwilini.

ukisema kimaro hayumbishwi, kama kweli ni hivyo, basi huyo hafai hata kuwa kiongozi. hii ni kwasababu wewe ungekuwa mtu wa Mungu, unawajibika kusikiliza viongozi wako wanasema nini, kama wanasema jambo ambalo sio dhambi, unatakiwa kuwafuata kwasababu ni viongozi wako. huwezi kusema huyumbishwi kwasababu Mungu sio Mungu wa machafuko, ni Mungu wa utaratibu, na anataka watu wawe na taratibu na anakubaliana na jambo ambalo wanadamu wanakubaliana kwa Jina lake. kwahiyo kama mmekublaiana kufuata taratibu fulani za kiuongozi, wewe uliyepo humo kwenye hicho kikundi ukivunja umevunja kitu ambacho hata Mungu aliridhia na ni dhambi. kimaro kuwa mchungaji wa lutheran aliridhia kuwa chini ya taratibu za kilutheri. kuzivunja ni kosa na hawezi kusema hayumbishwi wakati yeye pale ni mwajiriwa tu, kanisa sio mali yake.

mwisho, nawashauri walutherani, mshaurini huyo mwenzenu awanyamazishe wale waumini wake aliowaingiza kwenye usaliti waacha fujo, waendelee na maisha kwasababu, kama kweli wanamwabudu Mungu, hawatakiwi kufuata mwanadamu bali Mungu, na Mungu anaweza kuamua kumtumia yeyote apendaye, hata kama wewe utajiona upo bora kuliko wengine au una umaarufu kuliko wengine.
Kiburi ndo shida
 
Pia ni mkabila yeye anadhani kanisa ni la Wachaga, na wanaotoa mapovu kumtetea wengi wao ni Wachaga wenzake, alishajiona yeye ndie yeye akasahau kuwa kanisa ndilo lililomfanya ajulikane na ndio lililomsomesha hadi akajawa na kibri kwa mwajiri wake, akwende zake akaanzishe kanisa lake na aondoke na hao chawa wake, amelikuta kanisa na ataliacha kanisa.
Yashaisha
 
Back
Top Bottom