KKKT, Walokole je, ni sawa kwa mwanamke alie kwenye hedhi kuendesha ibada?

KKKT, Walokole je, ni sawa kwa mwanamke alie kwenye hedhi kuendesha ibada?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hapo zamani KKKT hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa Walokole. Je, kwa mwanamke alie kwenye mzunguko, ni sawa kuendesha ibada takatifu?

Ni kinyume hata kwa agano jipya kitabu cha 1Timotheo 2 inayohusu maagizo ya utaratibu wa ibada.

1 Timotheo 2:12 >> "Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya."
 
Hayo ni mambo ya mwilini ya torati. Agano jipya linaangazia zaidi mambo ya rohoni. Kwanza hatuna utambuzi ni mwanamke yupi yupo hedhini, hayo ni mambo ya faragha yake anayajua mwenyewe. Sisi tunataka atuhubirie injili atimize wajibu wake
 
Hayo ni mambo ya mwilini ya torati. Agano jipya linaangazia zaidi mambo ya rohoni. Kwanza hatuna utambuzi ni mwanamke yupi yupo hedhini, hayo ni mambo ya faragha yake anayajua mwenyewe. Sisi tunataka atuhubirie injili atimize wajibu wake
Ninyi mnataka,siyo Neno linataka, pole.
 
Na hapo zamani kkkt hawakuruhusu ila nadhani walianza kuiga kwa walokole.

Je kwa mwanamke alie kwenye mzunguko , ni sawa kuendesha ibada takatifu ?
Mambo mengine ni faragha siyo kuleta humu kujadili kwa watu kama sisi wenye hela nyingi, elimu kubwa na exposure.

Disgusting sijafurshishwa kabisa hata kama mimi na wewe ni pro Israel
 
Back
Top Bottom